afrika kusini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Mahakama ya Afrika Kusini imetoa maamuzi ya Serikali ya Zambia kusimamia mazishi ya Edgar Lungu

    Mahakama ya Afrika Kusini imeamua kuwa Serikali ya Zambia ina haki ya kuusafirisha mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Edgar Lungu, na kumzika kwa heshima za kitaifa, licha ya pingamizi kutoka kwa familia yake Mahakama Kuu ya Pretoria imetoa uamuzi huo kwa upande wa Serikali ya Zambia, ambayo...
  2. Just Pray

    GE2025 Mgombea aahidi wajumbe akiwa mbunge, wajumbe watafanyia mikutano hoteli yenye kiyoyozi, na atawapeleka Afrika kusini kujifunza kuhusu bima

    Wakati watiania wanane wa ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Kibamba wakiendelea kunadi sera zao, ameibuka mtiania Alphonce Temba aliyeahidi kuwapeleka wajumbe Afrika Kusini kwa ajili ya kujifunza masuala ya bima ya kifo. Amesema wataenda kupata elimu ya bima ya kifo itakayosaidia...
  3. Stuxnet

    Operesheni Dudula huko Afrika Kusini, Watanzania kaeni kwa tahadhari

    Historia: Operesheni Dudula ni harakati iliyoanza kama kikundi cha kijamii kilichoanzishwa Soweto, Johannesburg na kisha kujigeuza kuwa. Jina "Dudula" linamaanisha "kusukuma nje" au "kugonga chini" kwa lugha ya Kizulu, likirejelea lengo la kikundi hicho la kuwafukuza wahamiaji wasio na hati za...
  4. concordile 101

    Fursa ya Kiiuchumi kwa Tanzania Kutokana na Machafuko ya Ubaguzi Afrika Kusini nafasi ya Bandari ya Dar es Salaam na Reli ya SGR kuelekea Dodoma

    Katika miaka ya karibuni, nchi ya Afrika Kusini imekumbwa na matukio ya mara kwa mara ya ubaguzi wa wageni, hasa dhidi ya raia wa mataifa ya Afrika kama vile Zimbabwe, Malawi, DRC na Mozambique. Hali hii imesababisha: Wimbi la uhamaji wa watu kutoka Afrika Kusini, Kupungua kwa imani ya...
  5. Roving Journalist

    Pinda ahutubia Kongamano la Vyama vya Ukombozi akimwakilisha Rais Samia nchini Afrika Kusini

    Wazuri Mkuu mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Mizengo Pinda, amesema ushirikiano na mshikamano wa vyama sita rafiki vya ukombozi Afrika unapaswa kudumishwa kwa kuzingatia maadili ya ukombozi, misingi ya haki, usawa wa maendeleo jumuishi kwa wananchi kwa...
  6. Rorscharch

    Katiba Nzuri Sana Huvunja Taifa Polepole: Hadithi ya Afrika Kusini, Onyo kwa Watanzania

    Kuna maradhi ya kimyakimya yanayoshambulia mataifa ya Kiafrika, si kwa mapanga wala risasi, bali kwa nyaraka nzuri zilizopambwa kwa wino wa kimataifa. Maradhi haya si mengine bali ni imani butu kwamba katiba nzuri, yenye maneno matamu ya haki na uhuru, ni tiba ya kila ugonjwa wa taifa. Afrika...
  7. Dalton elijah

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amelaani tishio la Donald Trump la kuongeza ushuru kwa mataifa ya BRICS

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa leo Jumatatu amelaani tishio la Rais wa Marekani Donald Trump la kuongeza ushuru kwa mataifa ya BRICS, akisema juhudi za Trump za "kuuadhibu" umoja huo zinawasikitisha. Trump amekuwa akilishutumu kundi hilo la mataifa 11 -- ambalo pia linajumuisha Brazil...
  8. Lord Denning

    Funzo zuri kutoka Afrika Kusini: Vyombo vya Dola Tanzania vikatae Wanasiasa kuwa juu yao na kuingilia kazi zao

    Wiki hii nchini Afrika Kusini kuna habari nzito inatamba kuhusu Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Kwa Zulu Natal Luteni Generali Nlanhia Mkhwanazi kumsema waziwazi mbele ya vyombo vya habari Waziri wa Masuala ya Polisi wa Afrika kusini kujihusisha na magenge ya kihalifu. Mkuu huyu wa Polisi alifikia...
  9. R

    Mazishi ya Faragha ya Edgar Lungu yasitishwa na Mahakama Kuu Afrika Kusini, baada ya Serikali ya Zambia kupeleka zuio mahakamani

    Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha mazishi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika jana, Jumatano Familia ya Lungu, ambayo imepinga ushiriki wa Rais wa sasa wa Zambia, Hakainde Hichilema, katika...
  10. R

    Mwili wa Rais wa Zamani wa Zambia, Edgar Lungu kuzikwa Afrika Kusini

    Familia ya aliyekuwa Rais wa Sita wa Zambia, Dkt. Edgar Lungu imetangaza kuwa mazishi yake yatafanyika nchini Afrika ya Kusini kwa ibada ya faragha Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Familia hiyo Mheshimiwa Makebi Zulu leo Juni 20 imeeleza kuwa nchini ya Afrika ya Kusini imeridhia kuipa familia...
  11. Lord Denning

    Yametimia: Yote yaliyofanywa na Serikali ya Makabulu dhidi ya ANC Afrika Kusini, Yafanywa na Serikali ya CCM dhidi ya Chadema

    Afrika kusini, Serikali ya Makabulu ilimkamata Mandela na kumfungulia Kesi ya Uhaini hapa Tanzania Serikali ya CCM imemkamata Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu na kumfungulia kesi ya Uhaini. Afrika kusini, Serikali ya Makabulu kupitia njia za kisheria walikifungia kufanya siasa Chama cha ANC...
  12. Mr Dudumizi

    Kisa cha mtoto wa miaka 13 alierudishwa Tanzania kutoka South Africa, nina maswali kadhaa

    Habari zenu wanaJF wenzangu Kwa wale wafuatiliaji wa mitandao ya kijamii, haswa inayohusu habari za nje ya Tanzania. Kuna tukio fulani limetokea hapa Kaburu ambalo linamhusu dogo fulan kwa jina anaitwa Joel au Juma mwenye umri wa miaka 13, ambae imeonekana kuwa kiasili mzazi wake mmoja (baba)...
  13. Daby

    Trump amemuuliza Rais wa Afrika Kusini kwanini hawamkamati Julius Malema? Kweli?

    Moja ya ziara zilizotikisa vyombo vya habari week hii ni hii ya Rais wa Afrika Kusini kuitembelea Marekani. Kama kawaida ya Trump alimkalisha chini Ramaphosa Oval office. Lakini safari hii Ramaphosa hakufanya mistakes za Zelensky alikuwa humble and composed. Hili likamfanya Trump naye...
  14. Echolima1

    Rais wa Afrika kusini aumbuliwa na Trump kuhusu kesi ya mauaji ya kimbari Gaza

    Afrika Kusini inafuatilia kesi dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki mjini The Hague, ikiishutumu Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki huko Gaza leo wameumbuliwa mchana kweupe!! Rais Trump aliweka mtego kumuumbua rais wa Afrika Kusini, ambaye alikutana naye jioni ya leo katika...
  15. Canto

    Jinsi nilivyotazaa Mkutano wa Rais wa Marekani, Donald Trum na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa

    Maoni yangu juu ya tukio hilo kati ya Rais Donald Trump na Rais Cyril Ramaphosa ni haya yafuatayo: 1. Siasa za Maonyesho na Msukumo wa Ndani wa Trump Trump ana historia ya kutumia matukio yenye hisia kali ili kuvutia wafuasi wake wa mrengo wa kulia. Kwa kuonyesha video ya madai ya “mauaji ya...
  16. Yoda

    Africa Kusini haijawahi kuwa na Rais wa kueleweka tena baada ya Nelson Mandela

    Nimeangalia mkutano wa waandishi wa habari kati ya Rais wa Africa Kusini, Cyril Ramaphosa na mwenyeji wake Rais wa Marekani, Trump katika Ikulu ya Marekani nimeishia kumuhurumia na kuisikitikia Africa Kusini. Ni kama bwana Cyril hakujiandaa au hakuandaliwa kabisa na watu wake kumkabili...
  17. Daby

    Kundi la kwanza la makaburu wa Afrika Kusini limeanza safari ya kuelekea Marekani kama walivyoahidiwa na Donald Trump

    Vyanzo vya habari vya SA vimeonyesha kundi la kwanza la Makaburu wanaotarajia kuanza maisha yao mapya Marekani. Mtakumbuka miezi michache kumekuwepo na mvutano kati ya serikali ya Marekani na South Africa. Moja ya mivutano ni Trump kuilaumu serikali ya Afrika Kusini kuwanyanyasa Makaburu. Hii...
  18. Ojuolegbha

    Tanzania Afrika Kusini Zakubaliana Kushirikiana Kiuchumi

    Tanzania Afrika Kusini Zakubaliana Kushirikiana Kiuchumi Tanzania na Afrika Kusini zimekubaliana kuendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja ili kukuza Ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa Mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
  19. Jamiitrailer

    Endapo jumuiya ya SADC isingekuwa na ubovu na uzembe katika utendaji, mzozo wa kibiashara kati ya Malawi, Afrika kusini na Tanzania usingekuwepo

    Habari wakuu, Huu mzozo wa kibiashara kati ya Malawi,Afrika ya Kusini na Tanzania sidhani kama ungekuwepo kama Jumuiya ya SADC ingekuwa inafanya kazi zake sawasawa kwa mantiki ya kusimamia utekelezaji wa maazimio yake. Nasema hivi kwa sababu nchi zote hizi tatu katika mgogoro ni wanachama wa...
  20. Just Pray

    Bashe apiga marufuku mazao ya kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini kuingizwa nchini

    Tamko la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Biashara ya Mazao ya Kilimo na nchi za Malawi na Afrika Kusini. Pia soma: Malawi yazuia unga na mchele kutoka Tanzania, Serikali yaitaka nchi hiyo kufungua masoko, yatishia kuzuia === Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametangaza uamuzi...
Back
Top Bottom