Wakati muda wa mwisho uliowekwa na makundi yanayopinga wageni nchini Afrika Kusini unakaribia, maelfu ya raia wa kigeni wanakusanya virago na kuondoka.
Makundi hayo yametoa muda wa hadi Juni 30 kwa raia wote wageni kurejea makwao wakisema baada ya muda huo watafanya msako na kutumia nguvu...
Huku kukiwa na malalamiko yanayoongezeka yanayohusiana na mzozo wa uhamiaji wa nchi hiyo, wasanii wa Afrika Kusini wanaripoti kufutwa kwa maonyesho yao na kupoteza mapato katika maeneo mbalimbali barani Afrika, afisa mmoja wa serikali amesema.
Mmamoloko Kubayi, Waziri wa Sheria na Maendeleo ya...
Yapo mambo tunaweza bishana kuwa ama tumefanya vizuri ama tumefanya vibaya; lakini kwenye swala la demokrasia hata anayejifanya kutetea kuwa tunafanya vizuri, ukimwangalia usoni atakwepesha macho kwa aibu.
Kwenye swala la demokrasia nchi zetu nyingi hapa Afrika zivunja moyo. Tukiwa wakweli...
Ukweli mchungu na mchungu kweli.Asilimia kubwa ambayo bwana mwamedi msangi anazidi kuipambania utamkuta Facebook shukrani kwake ndio watu wanatakiwa kuwa serikalini ila vilaza wapo serikalini.
Vijana wengi wanadanganyika na kuambiwa na watanzania wenzao kuwa maisha yapo kule.
Mfano kuna nguvu...
Kila nchi na serikali yake zinajitahidi kuwasaidia raia wao kwa kinachoendelea.
Ila Tanzania ni sikio la kufa wala hata kujionesha kuwa wameguswa na kusaidia raia wao.Zaidi ya kukaa kimya kila ucheo.
Ndiyo, leo ndiyo siku ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026! ⚽🌎
Mexico itafungua Kombe la Dunia dhidi ya Afrika Kusini mjini Mexico City. Hii ni marudio ya mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2010, ambapo timu hizi zilitoka sare ya 1–1 nchini Afrika Kusini.
Jambo la kipekee ni kwamba Estadio...
Hivi karibuni kwenye mitandao mbalimbali kumeenea video kadhaa zikionesha raia wa Afrika kusini wakiwapiga na kuwafukuza raia kutoka maifa mengine barani Afrika kwa madai kwamba wamechukua kazi zao, pia ni sababu huduma nyingi za kijamii haziwafikii raia wa Afrika Kusini pamoja na hali ngumu kwa...
Polisi wa doria ya mipakani nchini Afrika Kusini wamekamata lori lililokuwa likitokea nchini Malawi likiingia nchini humo likiwa limesheheni dawa za kulevya zenye thamani ya karibu randi bilioni moja (sawa na dola milioni 61). Katika msako huo, vikosi vya usalama viligundua zaidi ya kilo 700...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akijibu swali Bungeni Dodoma leo Mei 26, 2026
"Katika nchi inayoongoza barani barani Afrika, nchini South Africa kuwa na vitambulisho halali vya Watanzania waliokuwa kule ni sisi Tanzania, wengi wana...
Ubalozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini umethibitisha kukamatwa kwa zaidi ya raia 90 wa Tanzania na kuwekwa katika Kituo cha Lindela kufuatia msako wa Wahamiaji Haramu unaoendelea Nchini humo.
Akizungumza kwa njia ya simu na AyoTv_ Balozi wa Tanzania Nchini humo James Bwana amethibitisha...
Aliyekuwa Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika Kusini, Naledi Pandor, pamoja na familia yake, walivamiwa na kushikiliwa kwa mitutu ya bunduki na majambazi wenye silaha nyumbani kwao mkoani Pretoria, usiku wa kuamkia Mei 23, 2026.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kitaifa, Brigedia...
Kuna mwanga mkubwa umeanza kuonekana ndani ya Chadema, ndio maana wenye akili wameanza kurudi na walio ndani ya CCM wanaki-sapoti kwa siri.
Watu wameanza kugundua Chadema ni chama halisi cha siasa (Right-Center Party) ambacho msingi wake mkuu ni Watu, Upendo, Haki, Usawa na Amani.
Nguvu ya...
Historia inajirudia kwa namna ya kutofurahisha wakati mifumo ya usalama inapogeuka kuwa zana za kuangamiza ukosoaji wa kisiasa. Eugene Alexander de Kock, mkuu wa kikosi cha siri cha polisi cha Vlakplaas nchini Afrika Kusini wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, anafahamika kwa ukatili...
Siku za hivi karibuni, taifa la Afrika Kusini limeendelea kukumbwa na changamoto ya kuongezeka kwa mashambulizi na vurugu za chuki dhidi ya wageni (xenophobia). Maandamano hayo yanadaiwa kulenga kuwaondoa raia wa kigeni nchini humo.
Pamoja na kuendelea kwa matukio hayo, kumekuwa pia na ongezeko...
Mahakama ya Juu kabisaAfrika Kusini imeamua kuwa Bunge lilivunja Katiba mwaka 2022 lilipozuia jitihada za kumwondoa Rais Ramaphosa madarakani (impeachment). Wakati huo, chama chake cha ANC kilitumia wingi wake wa kura bungeni kumlinda rais asichunguzwe zaidi.
Chanzo cha mgogoro ni nini?
Yote...
Mahakama Nchini Afrika Kusini imeamuru Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, Bellarmine Mugabe, kufukuzwa Nchini humo baada ya kukiri kosa la kumiliki silaha kinyume cha sheria pamoja na ukiukwaji wa taratibu za uhamiaji.
Katika hukumu hiyo, Mahakama imeeleza kuwa Mugabe mwenye...
Nendeni mkirudi nchi zenu, nyinyi watu wasiofaa!” Mwanaume mmoja wa Afrika Kusini amewashambulia kwa maneno wanafunzi wahamiaji pamoja na wazazi wao, huku vurugu zikizuka katika taasisi ya elimu katikati ya mashambulizi yanayoendelea ya chuki dhidi ya wageni nchini.
Soma Pia: Afrika Kusini...
Mamlaka nchini Afrika Kusini siku ya Ijumaa zimeahidi kuwachukulia hatua kali wale wote wanaohusika na mashambulizi ya kibaguzi (xenophobia) dhidi ya Waghana na raia wengine wa kigeni. Hatua hii inakuja siku moja tu baada ya Ghana kulalamika vikali kufuatia kusambaa kwa video za matukio ya...
HAKUNA RAIA WA TANZANIA ALIYESHAMBULIWA NCHINI AFRIKA KUSINI
Wizara inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania kuwa hakuna raia wa Tanzania anayeishi Afrika Kusini aliyeshambuliwa kutokana na ghasia dhidi ya wageni nchini humo (xenophobia).
Aidha, Wizara inauhakikishia umma wa Watanzania kuwa...
Wanafunzi vijana kutoka kote Cape Town, nchini Afrika Kusini, walileta nguvu na shauku kubwa katika sherehe ya utamaduni wa Kichina siku ya Jumamosi, wakati Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Cape Town (CIUCT) ilipoandaa Shindano lake la tano la Kuimba kwa Kichina, ikiangazia wazo kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.