CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES
Maelezo ya picha, Edgar Lungu alisema hataki mrithi wake kwenye mazishi yake au "popote karibu" na mwili wake
Mahakama ya Afrika Kusini imetoa amri ya kuurudisha mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, nchini humo, muda mfupi baada ya serikali ya Zambia...
Mawakili wa kiongozi wa Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), Julius Malema, wamewasilisha maombi wakati mchakato wa utoaji hukumu kwa kiongozi huyo ulipoanza katika Mahakama ya Hakimu KuGompo, katika eneo la Eastern Cape, leo Jumatano Aprili 15, 2026.
Hakimu Twanet Olivier amesikiliza...
Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini Enoch Godongwana hivi karibuni amethibitisha kuwa, yeye na Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo Lesetja Kganyago hawajapata idhini ya Marekani ya kuingia kwenye nchi hiyo, ikimaanisha kwamba watashindwa kuhudhuria Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Wakuu wa Benki Kuu wa...
Chini ya mwanga hafifu wa mwanzoni mwa majira ya mpukutiko katika Kizio cha Kusini, mistari ya chupa inasikika kwa utulivu katika Kiwanda cha Mvinyo cha Diemersdal huko Cape Town Afrika Kusini. Msimu wa mavuno ndio kwanza umemalizika, na kuacha safu za mizabibu zikiwa zimechumwa zabibu zake...
Laana ni nini?
Kwa mujibu wa Biblia laana ina maana kadhaa wa kadhaa ikiwa ni pamoja na;
1. Kuwa na maisha yasiyo zaa
2.Kutambaa (kuwa na hatua hafifu kwenye maisha)
3.Kufa, hapa namaanisha kifo cha mwili au kuishi maisha kama mfu. Au kuishi mahali ambapo kila kitu kimekufa.
4.Kuzaa watoto...
Kufuatia kusambaa kwa video kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana anayedaiwa kuwa Mtanzania akishambuliwa nchini Afrika Kusini, Balozi wa Tanzania nchini humo, James Bwana, amesema uchunguzi umebaini kuwa mtu huyo si raia wa Tanzania.
Video hiyo, ambayo imekuwa ikisambazwa kwa wingi...
Serikali ya Ufaransa imefuta mwaliko kwa Afrika Kusini wa kuhudhuria mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi saba tajiri zaidi duniani (G7) utakaofanyika mwezi Juni, hatua inayoelezwa kutokana na shinikizo kubwa kutoka kwa Serikali ya Marekani.
Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini, Vincent Magwenya...
Mkuu wa jeshi la polisi Afrika Kusini ametakiwa kufika mahakamani kuhusiana na kandarasi ya huduma za afya ambayo ipo chini ya uchunguzi wa jinai.
Jenerali Fannie Masemola “amekabidhiwa notisi ya kufika mahakamani” tarehe 21 Aprili kutokana na madai ya kuhusika kwake katika utoaji wa zabuni...
Mkutano wa siku mbili wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 13, 2026.
Madhumuni ya mkutano huo yalikuwa ni kupanua kasi ya mtangamano wa kikanda kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ili kutengeneza ajira...
Beki wa Yanga na timu ya taifa 'Taifa Stars', Dickson Job leo amefanyiwa upasuaji wa goti nchini Afrika Kusini.
Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe leo, Machi 11, 2026 amesema kuwa upasuaji huo umeenda vizuri kwa beki huyo.
Job aliumia goti katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba, Machi Mosi...
Operesheni ya "Lion Roar" inapoanza leo, tarehe 28 Februari, tunazungumza sio tu kama wanajamii wa Iran nchini Afrika Kusini, bali kama wana na mabinti wa taifa la kale ambalo historia yake inafungamana na ile ya Israeli.
Katika wakati huu mtakatifu wa Purimu, wakati Wayahudi ulimwenguni kote...
Sijui huyu bwana aliongea nini hasa kuhusu ukoloni mambloeo wa wazungu, ila Mwanaharakati, Mange Kimambi, kamjibu hivi kupitia mtandao wa X:
No. @CyrilRamaphosa Africa must confront black colonialism before it starts shouting about white colonialism returning. The real and present danger to...
Mwaka 1960, ANC ilipigwa marufuku kufanya siasa nchini Afrika Kusini, viongozi wake kama Walter Sisulu na Nelson Mandela walikamatwa wengine wakakimbia nchi, Oliver Tambo akachukua jukumu la kukiongoza chama hicho akitokea Zambia.
ANC iliendelea kufanya kazi katika mazingira magumu lkn...
TAARIFA YA TAASISI YA THABO MBEKI KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OKTOBA 2025
Ni wakati wa kufungua haraka Sura Mpya!
Taasisi ya Thabo Mbeki inatoa taarifa hii kufuatia tafakari ya kina na yenye maumivu kuhusu Uchaguzi Mkuu uliofanyika Tanzania mnamo tarehe 29 Oktoba...
afrikakusini
mauaji ya uchaguzi tanzania
samia suluhu hassan
serikali batili
serikali ya samia
taasisi ya thabo mbeki
thabo mbeki
trt afrika
uchaguzi haramu wa tanzania
Baadhi ya wanasiasa vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanapata hifadhi nchini Kenya kwa kuhofia usalama wao baada ya vurugu zilizojiri nchini mwao wakati wa uchaguzi mkuu wa siku chache zilizopita.Wanasiasa hao wanaurai Umoja wa Mataifa kuingilia kati ili wapate sikio kuepusha...
"Itakua ni ajabu muislam akawa anaunga mkono tarehe 9 eti watu wakaandamane eti wanadai haki" - amesema Sheikh
Wasaa za Masheikh zinaendelea kuhusu haki na maandamano, ila wajue tu wasihusishe masuala ya dini na ubaguzi katika kudai haki.
Sheikh unamkataza huyo muumini wa kiislamu kuandamana...
Mamlaka ya Paris yanafanya uchunguzi juu ya kifo cha balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nkosinathi Emmanuel Mthethwa, ambaye alipatikana nje ya hoteli ya ghorofa nyingi siku ya Jumanne, Septemba 30, 2025.
Diplomasia huyo mwenye umri wa miaka 58 alikuwa ameripotiwa kupotea na mke wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.