africa

  1. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania IMF: Wakati Tanzania Inatarajia Kufikia GDP ya $ Bilioni 💯 ,DRC Kuipita Ethiopia na Kuwa Nchi ya 5 Kwa Uchumi Mkubwa Africa 2026.

    My Take SSH ndio ataandika historia ya kukuza Uchumi kutoka Dola Bilioni 70 na Kufikia Dola Bilioni 💯 Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Tanzania. https://www.threads.com/@africaviewfacts/post/DXPPfhxkaJ2?xmt=AQF0bBngHHIzlkgokmYGVVuwVBsecSwiOLLHMz28k-srvW3l8fXay2lmKA6cb0Hq9vuKSnY&slof=1
  2. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanasiasa na watawala wa Afrika huwa wanaitwa na kuitana waheshimiwa?

    Hili suala la wanasiasa na watawala kuitwa na kuitana waheshimiwa ni mojawapo ya mambo ya ajabu sana ya Waafrika.
  3. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Lugha zinazoongoza Africa kwenye nyimbo zinazosikilizwa

  4. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 za Afrika zenye bei rahisi zaidi za mafuta (petrol) April 2026

    Hizi ndio nchi 10 za Africa zinazoongoza kwa bei rahisi zaidi za Mafuta (Mafuta ya petrol) Bei zipo kwa USD na chini kuna equivalent yake ukicompare na Tanzanian shilling 1. Libya $0.023/litre Tsh 59.58 2. Angola $0.327/liter Tsh 847.11 3. Algeria $0.354/liter Tsh 917.06 4. Egypt...
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi hili tatizo la njaa Afrika hatuwezi kulimaliza sisi wenyewe?

    Mara nyingi tunaona nchi kama Sudan South Sudan Chad Somalia Burundi Madagascar And some parts of Nigeria Kenya Ethiopia Kila mwaka lazima usikie kutoka hizi nchi kuwa millions wanaface hunger. Kwa nini AU wasijadili jinsi ya kumaliza hili tatizo? Mfano Tanzania huku huwezi kusikia...
  6. Orchid Island Real Estate

    JamiiForums Tanzania GITEX Africa 2026 in Marrakech: Towards a new era of technology-driven real estate

    The real estate Marrakech market is undergoing a major strategic transformation—and the timing couldn’t be more powerful. Today marks the official opening of GITEX Africa 2026 in Marrakech, an event that positions the city at the heart of technological innovation on the continent. The energy...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027 Dates Zimetoka! East Africa Bado Nyuma Kwa Maandalizi?

    Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host! Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
  8. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ni Afrika pekee watu kama IPM wanapewa hadhi ya unabii iliwali wao ni comedians

  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda’s Finance ministry pledges continued support to Inspire Africa coffee Park.

    Government of Uganda is expanding investments in the Africa Coffee Park in Ntungamo District to shift from raw coffee exports to value added products like processed and instant coffee, aiming for higher global market prices and industrialization. During site inspection by the state minister for...
  10. B

    JamiiForums Tanzania South Africa is now on fire ! A raging fire destroyed the Botha Sigcau Building in Mthatha !

    The historical Botha Sigcau Building in Mthatha in the Eastern Cape, which accommodates more than eleven government departments, is on fire on March 24, 2026 . It’s still unclear what caused the fire. The building accommodates departments such as Health, Education and Land Affairs. Earlier...
  11. Yesha

    JamiiForums Tanzania Hearing in Chatunga Mugabe Attempted Murder Case Delayed Again in South Africa

    The Alexandra Magistrates Court has once again postponed proceedings in the attempted murder case involving Chatunga Mugabe, drawing renewed attention to one of Zimbabwe’s most high-profile legal matters abroad. The next hearing has been set for April 17. The case first made headlines after...
  12. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Je kuna raia wengine nje na watu wa africa mashariki wanao tumia JF??

    Naona kuna majukwaa ya zambia sijui zimbabwe kwene communities lakini sijawai ona comment au michango ya hoja ya hawa watu nje n tz n kenya?? Je kuna hap member nje na africa mashariki
  13. Yesha

    JamiiForums Tanzania Britain Slashes Aid to Africa by More Than Half Amid Global Budget Reallocation

    The United Kingdom has announced significant cuts to its international development aid, with bilateral aid to African countries set to fall by more than half. The move is part of a broader reduction in the UK’s Official Development Assistance (ODA) budget as the government prioritises crisis and...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Wadau wahoji na kushanga jinsi migahawa ya KFC imekuwa ni kwa ajili ya wenye kipato au matajiri nchi nyingi za Africa wakati nchi zilizoendea huko duniani kuanzia Marekani, Canada, Ulaya, Japan n.k KFC ni kwa ajili ya masikini au watu wenye kipato cha chini! Wadada wa mjini wanavyopenda kuku wa...
  15. Yesha

    JamiiForums Tanzania Africa Is Blocking Raw Mineral Exports — Smart Power Move or Risky Gamble?

    Zimbabwe, Malawi, and now Botswana are taking a bold step — restricting or banning the export of raw minerals. The idea is simple: Stop exporting raw resources and start processing them locally to create jobs, build industries, and keep more value within Africa. But this shift is happening at...
  16. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Bara la Africa ndipo ambapo dini za wazungu na Waarabu za Ukristo na Uislamu ziliweza kufuta kabisa dini za wenyeji na kuchukua nafasi kama dini kuu mpya. Jambo hili halikuwezekana kwa mataifa ya kale kama China, Japan na India pamoja na mengine kama Vietnam, Korea, Nepal, Thailand, Mongolia n.k...
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni

    Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni. Kwa hii serikali haramu sishangia kusikia star tv imekataliwa iuuzwa kwa wahuni na hakuna utawala wa kisheria ndio sababu kuu ya kuanza kuiba na...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Urges Africa to Put Human Dignity at the Centre of the Fight Against Drug Abuse

    Kenya has called on African nations to place human dignity and public health at the heart of continental efforts to combat drug abuse as the global community gathers for the 69th session of the Commission on Narcotic Drugs in Vienna. Speaking during the high-level meeting, Kenyan...
  19. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Vijiji vingi vilivyopo nje ya Africa ni vizuri sana

    Kwa hapa Africa maeneo mengi yenye muonekano mzuri ni maeneo ya mijini. Hapo kwenye miji yetu kidogo utakuta kuna mitaa ya kishua, kuna town centre iliyokaa unyama, yani miji yetu huwa na baadhi ya mitaa mizuri at least, ingawa bado inasumbuliwa na slums pia Sasa ukija kwenye vijiji vyetu, ni...
  20. Yesha

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe’s Barbara Rwodzi Wins Africa Tourism Minister of the Year

    Zimbabwean Minister Barbara Rwodzi has been named Tourism Minister of the Year (Africa) at ITB Berlin 2026 in Germany, officially hosted by Angola. The event, celebrating its 60th anniversary, focuses on sustainable tourism, AI in travel, and industry growth. Zimbabwe was also recognized as...
Back
Top Bottom