Mpira wa Africa haupo stable na haupo serious. Licha wa Africa wengi kuwa na wendawazimu wa mpira labda uongozi wa mpira Africa ni kama Wana project yao tofauti na matarajio wa watu wengi.
Na kitu cha kushangaza zaidi asilimia kubwa ya timu za Africa zinazofanya vizuri kwenye AFCON huwezi kuona...
Tuna kila sababu ya kumpongeza Imani Lubaba, mwanzilishi wa @RubabaMedia, kwa kuteuliwa kuwania tuzo ya EAST AFRICA YOUTH AGRIPRENEUR EXCELLENCE AWARD kwenye maonesho ya East Africa Expo yatakayofanyika Zanzibar kuanzia tarehe 6 hadi 8 August 2025! 🏆🇹🇿
🙌 Mpigie kura kwa hatua hizi mbili:
✅...
Kuna tofauti kati ya leader (kiongozi) na boss.
Boss ana miliki chombo ambacho anawalipa nyie msaidie kukivusha ili anufaike zaidi ila kiongozi anasaidiana na nyie kukisukuma chombo ambacho kikivuka zaidi kitawasaidia wote kunufaika.
Lakini viongozi wa kiafrika wanakimbia traits za uongozi na...
Sasa mbona MAUAJI yanazidi sana NCHINI na EAST AFRICA KWA UJUMLA, Hawa majambazi wanazipata wapi ?hizi silaha, ?
Wanazikodi kutoka kwa mapolisi/wanajeshi walarushwa ?
Hebu shusha maoni yako .....
Below are the best airlines in Africa in 2025:
Rank
Airline
1
Ethiopian Airlines
2
Air Mauritius
3
RwandAir
4
South African Airways
5
Egyptair
6
Royal Air Maroc
7
Kenya Airways
8
FlySafair
9
LIFT
10
Fastjet
Wa Afrika mmerogwa na nani? Mmeshindwa kubaini wasio julikana wanaowateka na kuwaangamiza ndugu zenu mnakaa kusimuliana hekaya ambazo hata haziwahusu.
Kama haitoshi miaka nenda rudi ndugu zenu wa Congo wanaishi kama digidigi lakini hakuna anayejali. Natamani kuwaita kenge weusi nyie sema JF...
Ngozi ya chui hutumika kama ishara yenye nguvu ya uungu na mamlaka katika tamaduni mbalimbali za Kiafrika, inayojumuisha nguvu, uhusiano wa kiroho, na utambulisho wa jamii. Katika Kusini mwa Afrika, watu wa Himba wa Namibia wanaona ngozi ya chui kama ishara ya utajiri na uhalali wa viongozi...
Kosa kubwa sana la vyama vyetu hivi ni ukosefu wa hoja au itikadi inayotofautisha baina ya chama kimoja na Kingine. Mirengo ya vyama haviko wazi sana mbele ya wananchi.
Nilifuatilia uchaguzi wa Marekani kwa karibu sana. Kiukweli ilikuwa ni rahisi sana kutofautisha Democrat ( Progressive...
Pieter Willem Botha, of South Africa, 1988.
"Black people cannot rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society.
Give them guns, they will kill themselves.
Give them power, they will steal all the government money.
Give them independence and...
Louis Farrakhan, kiongozi wa Taifa la Uislamu, amekuwa akizungumza mara kwa mara kuhusu Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa Libya, hasa katika muktadha wa kifo chake mnamo mwaka wa 2011. Maoni ya Farrakhan mara nyingi yanaakisi mtazamo wake kuhusu rangi, siasa, na jukumu la nguvu za magharibi...
Nimetawaliwa na ma-rais wa awamu zote Rais Samia Suluhu ndiye rais bora zaidi kuliko wote, Mungu amlinde.
Kwenye TANU na CCM nilimpigia mbunge mmoja tu nae ni Severino Supa wa Dodoma mjini na nilipata sijampigia kura rais yoyote wa TANU na CCM ila safari hii uchaguzi unaokuja nitampigia kura...
Mwanza, Tanzania - Kwa mtazamo wa haraka, wanaonekana kama vijana wa kawaida wanaofanya mazoezi ya kukimbia. Wakiwa wamevalia sare za mazoezi zinazofanana na wakiwa na vitambaa vyekundu shingoni, wanakimbia kwa mpangilio asubuhi na mapema, wakiandamana na askari waliobeba silaha. Kwa mtu asiye...
Habar
Ukiacha itikadi za kidini waarabu wametuzidi mbali sana sisi watu weusi hasa kweny maeneo haya
1.Elimu
2. Maendeleo
3.Uzalendo
4.Uthubutu
5.Teknolojia
6.Sayansi
7.Miundombinu
8.Afya na Tiba
9.Michezo
10.Kujitambua
11. Kipato
12.Kilimo
13.Usimamizi wa rasilimali
14.Sio wanafiki na waoga...
Hili jambo la kutahiri wanaume na kuketa wanawake lilikuwepo Africa au lilitewa Africa na jamii za nje hususani Waarabu ?
Ukiangalia nchi ambazo ukeketaji ulikuwa umekithiri na bado umekithiri ni nchi za Mashariki ya kati za kiarabu na zilizopata ushawishi mkubwa wa utamaduni wa kiarabu kama...
Huyu jamaa anayritwa Ngugi wa Thiong'o kama walivyo activist wengi ambao nawaona fake, alikuwa akijinadi na kuitwa pia mkosoaji wa mabeberu, akijidai kukosoa mifumo ya elimu na lugha ya Kiingereza eti ni kutukuza mabeberu
Hadi akaamua kuandika kwa Kikuyu vitabu vyake badala ya English lengo eti...
1. Afrika ina utajiri mkubwa wa mitindo na tamaduni:
Kila nchi ina nguo za kipekee: Kitenge, Kente, Maasai Shuka, Shweshwe, na nyinginezo.
Tuna wabunifu wenye vipaji vikubwa kama Maxhosa (Afrika Kusini), Lisa Folawiyo (Nigeria), Anita Dongre, na wengine.
2. Tayari kuna nyota wakubwa wa...
Kama unabisha Fanya Utafiti utujuze taasisi gani iwe ya umma au NGO inaizidi CCM
1. CCM ina rasilimali kila Mkoa na Wilaya hadi kata
2. CCM ina Wanachama kila mtaa
3. CCM ina mbunge kila jimbo pale iliposhindwa kwa Kura imeweka wa viti maalum
4. CCM ina viwanja vikubwa vya michezo kila...
Teknolojia duni, imani za Mizimu na Mungu lakini magonjwa, umaskini na njaa bado zimetawala.
Bara limetawaliwa na mihemko kuliko akili. Bara ombaomba.
Sidhani kama Bara hili litakuja kujielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.