africa

  1. Infropreneur

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Will Africa get a black Pope? Thinking that there can be a black Pope from Africa is ignorance on steroids. Why does Africa still seek validation through western institutions? Wakristo wengi wa Afrika hawajui na hawaelewi kwamba papa sio tu kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, bali pia...
  2. Poppy Hatonn

    Prof Janabi anaweza kushinda nafasi ya WHO Africa?

    What is happening ni kwamba Wamarekani waliiahidi Serikali ya Tanzania kuipa chanjo za magonjwa mbali mbali kwa masharti kwamba Tanzania lazima ikubali genetic experiments zifanyike on the Tanzanian population. Yaani hizi genetic experiments zifanyike with no or limited monitoring by our own...
  3. Yoda

    Nchi za Ulaya wafungwa magerezani wanaishi maisha mazuri kuliko binadamu wengi wa Africa.

  4. Now and then

    Je Elimu inachangia mtu kuongoza nchi vizuri huko Africa ?

    Je Elimu inachangia mtu kuongoza nchi vizuri huko Africa ? Kuna nchi moja huko Africa imepata rais ana PhD ya uongo n nyingine imepata Rais aliyefeli form four . Je elimu Ina mchango gani.?
  5. The redemeer

    Tafakari picha hii na yanayoendelea Africa

    Hivi ni lini waafrika tutaacha upumbavu ili tukue. Hapa ni waafrika wamegeuza maroboti wauwane Chini wakuu wa dunia wanapora madini. Akili zetu zipo kwenye kupigana wao uchukua madini.
  6. E

    Tujikumbushe: Mfanyabiashara wa Ghana Kofi Amoah aivyomtaka Elon Musk kuinunua Afrika, kisha kufuta viongozi wote!

    Mfanyabiashara Toka Ghana Dr.Kofi Omoha amtaka Billionaire Elon Musk kuinunua Africa Kisha kufuta viongozi wake wote
  7. Lady Whistledown

    Donald Trump plans to shut dozens of US embassies – including 8 in Africa

    Donald Trump plans to shut dozens of US embassies – including 8 in Africa According to an internal State Department memo seen by CNN, the Trump administration is considering the closure of up to 10 embassies and 17 consulates around the world, many of them in Europe and Africa. Trump’s plan to...
  8. N

    Infobip pushes conversational AI as game-changer at Africa CX Conference

    Head of Enterprise Business - East Africa, George Muhia Infobip, a global leader in cloud communications, championed the use of conversational AI to transform customer experience and help businesses stay competitive, grow their customer base and drive sustainable growth. In partnership with...
  9. Stability

    Pastor wa Mmarekani alietekwa huko South Africa akiwa anahuburi ameokolewa

    Mchungaji wa Kimarekani, Josh Sullivan, aliyetekwa na wanaume wenye silaha wakati wa ibada nchini Afrika Kusini, amepatikana akiwa salama baada ya majibizano ya risasi makali yaliyopelekea vifo vya watu watatu, kwa mujibu wa polisi. Sullivan, mwenye umri wa miaka 45, alipatikana Jumanne jioni...
  10. sanalii

    Ukitoa wazungu, Ulokole ndio Ukiristo halisi wa Africa

    Hizi taasisi unazoziona zimesimama, kama vile Roma au Lutheran, ni utaratibu na misingi ya wazugu na haina uhusiano na ukiristo, hata ile chain of command mfano utoka papa hadi muumini wa kawaida pale kimara temboni, ni taratibu za kizungu ambazo hazina uhusiano wa moja kwa moja a ukiristo...
  11. Komeo Lachuma

    Nimesikitika sana. Sisi Africa katika soko la China hata kwenye 3 bora hatumo

    Nlitegemea sisi Afrika tungekuwa moja ya masoko makubwa kabisa ya bidhaa za China. Sivyo. Why? Huku wanatuletea tu takataka soko lao kubwa lipo Ulaya na Marekani. Ndo maana jamaa wanatudharau tu wanaamua kutengeneza takataka ndo wanaleta huku. Ila vitu vya maana wanapeleka kwa wazungu...
  12. Komeo Lachuma

    Acheni kulishana Upepo. Simba haiwezi kuchukua kombe hili la CAF. Anaenda kuzikwa South Africa

    Ile kushinda jana kuna mabwege wameshaanza kuandika upuuzi. Yaani hii Simba tia maji tia maji ya kufika Fainali? Nyie mnafanya masikhara sana. Labda umri wenu ndo changamoto. Mnaanza kulishana upepo mkidhani mtashiba kutokana na njaa kali ya Makombe mliyo nayo kwa miaka hii 4. Na mwaka huu...
  13. R

    Simba imepanda kuwa timu ya nne kwa ubora Africa kwa vigezo vya CAF 5 Year ranking,

  14. Loading failed

    Africa tujifunze kucheza na fursa kupitia hii adhabu walopewa china na trump

    Mataifa ya afrika ni wakati wetu wa kuamka na kupigana hii vita ya tatu ya dunia iliyobadilishwa upepo na kugeukia kwenye vita ya kiuchumi. Waafrika hii vita ni yetu na tukicheza vizuri hakika tunatoboa na kusonga mbele na kuacha kuwapigia magoti mabeberu kuwaomba msaada ili hali tuna maligafi...
  15. Jamii Opportunities

    Office Administrator at Safari Automotive Africa April 2025

    POSITION: OFFICE ADMINISTRATOR Location: Tanzania Industry: Automotive Company: Safari Automotive Africa Employment Type: Full-time Remote work opportunities Date: 07th April 2025 – 12th April 2025 About Us: Safari Automotive Africa is a trusted company, with...
  16. ngara23

    Mambo yanatambulisha Ujinga wa ki Africa

    1. Mke laZima Kulala ukutani 2. Kukojoa nyuma ya choo 3.ufagio unakaa nyuma ya mlango 4. Kila tajiri ni freemason au alitoka kafara 5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya kuoga 6 kuisha vyombo kabla ya sufuria 7. Chai chapati 2 ndo sheria 8. Kula supu ya maharage. Maharage Yana supu? 9...
  17. R

    Radio Free Africa mna shida gani??

    Ni wiki sasa nikifungulia radio yenu kusikiliza vipindi vya asubuhi vya magazeti na matukio nakutana na miziki na matangazo ya biashara tu. Kulikoni???
  18. S

    Aziz Ki ni kati ya Wachezaji 8 Wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi ligi ya Afrika

    𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄...! Kwa Mujibu wa AfrikaFactsZone Hawa Hapa ni Wachezaji Wanaolipwa Zaidi Katika Ligi za Afrika Kila Mwaka. 01: Egypt 🇪🇬 - Ali Maaloul 🇹🇳 | $1.5 million | Al Ahly 02: South Africa 🇿🇦 - Ronwen Williams 🇿🇦 | $320,000 | Mamelodi Sundowns 03: Angola 🇦🇴 - Tiago Azulão | $263,000 | Petro de...
  19. Mhaya

    CAF Champions League nusu fainali ni timu za "South Africa Vs Egypt"

    Kwa mwenendo wa matokeo haya, kuna uwezekano Nusu Fainali hadi Fainali zikawa ni Timu za Falao na Wazulu zitakazo Chuana.
  20. Tlaatlaah

    Prof. Mohamed Janabi ana nafasi kubwa zaidi ya kuchaguliwa kua mkurugenzi mtendaji wa who kanada ya Afrika

    Licha ya kua ana sifa zote, vigezo na masharti tajika ya kitaaluma kulingana wajibu anaoelekea kuutwaa, uzoefu usio na shaka wa Prof.Janabi katika kazi za kada ya Afya kitaifa na kimataifa ni wa kuaminika. Lakini pia umahiri, bidii na ubobevu wake katika masuala ya tiba na tafiti mbalimbali za...
Back
Top Bottom