Sharpeville massacre - Wikipedia Sharpeville massacre - Wikipedia
Sharpeville massacre
The Sharpeville massacre occurred on 21 March 1960, when police opened fire on a crowd of people who had assembled outside the police station in the township of Sharpeville in the then Transvaal Province of...
Kama tunavusoma historia ya Nyerere na wenzake kutafuta Uhuru na kuingia madarakani bila umwagikaji wa damu ,
Ndivyo watoto wetu watasoma historia ya Mama Samia kuingia madarakani kukiwepo umwagikaji wa damu,
Wataenda mbali zaidi na kujiuliza baada ya hapo alichukua hutua gani baada ya mababu...
Maandamano hayazuiliki na yamekwisha fanikiwa kwa asilimia zote yatakuwa makubwa sana kuliko yoyote africa.
Lazima uchaguzi ufutwe , mateka waachiliwe, katiba mpya, wauwaji wafungwe minyororo kichwani miguuni na mikononi kila aliyehusika.
Hakuna mwenye nguvu kuliko wananchi!
Enzi zile RADIO FREE AFRIKA ilikuwa moto wa kuotea mbali!
Moja ya redio zilizofanya mapinduzi makubwa kwenye burudani, elimu na vipindi vya redio Tanzania.
Hapa tunawakumbuka watangazaji waliotikisa nchi na vipindi vilivyotupa utamu ambao watoto wa 2000 hawaufahamu kabisa 😄👇
Orodha ya...
Company Description
Amref Health Africa – Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria, and Nutrition in Tanzania 1987. Amref Health Africa in Tanzania is funded by...
Mwaka 1977 jumuia ya Africa mashariki ilikufa lakini msababishi alikuwa ni huyuhyu anayeleta vurugu Leo,
Sioni haya ya kuwa na regional integration ambayo Haina Tija ambayo inaendesha harakati za vurugu ndani ya jumuia.
Ni vema juumu Kama Taifa tuangalie hili swala huku tukikumbukua kuwa...
#Unitedpeopleofafrika.org
Vision Empowering Africa Together as a United Continent. Mission To unite the people of Africa
🌍
Greetings to all good people of Africa 🌍
We are so grateful for what's Unveiling in Africa 🌍 especially in countries that were captured by Dictators
I Godfrey Matovu...
There is something profoundly disturbing about what just happened in Tanzania and perhaps even more disturbing about how the region responded to it
When President Samia Suluhu Hassan was declared to have won 98% of the vote, it was not just an election result; it was a loud alarm bell for...
PRELIMINARY STATEMENT ON THE 29 OCTOBER 2025 GENERAL ELECTIONS IN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Today, 31st October 2025 – In line with its mission to promote credible, peaceful, free, and fair elections through impartial regional observation and analysis across the East and Horn of Africa...
Tundu Lissu wapewa heshima ya kuwa bingwa wa demokrasia barani Afrika hii huwezi kuona machawa wakipost
lissu sio muhaini ni kesi za vitoto vya shetani
Tesla hadi sasa ameshafungua stores zake kwenye mabala matano kati ya saba, kasoro Africa na Antarctica.
Sio mara ya kwanza Elon Musk aliwahi kuulizwa kuhusu kutaka kuingia Africa, sana sana bara alipozaliwa South Africa, akaishia kusema tu soon.
Sasa nadhani ndio soon aliyoisema, kwani...
Position: Accountant
Location: Dar es Salaam – Tanzania
Industry: Automotive
Company: Safari Automotive Africa
Employment Type: Full-Time
Date: 20th October 2025 – 28th October 2025
ABOUT US:
Safari Automotive Africa is a trusted and rapidly growing automotive company with a presence in...
Jioni hii wakati nazurura zurura mtandaoni basi nimekutana na kesi mbili zilizohusiana na kampuni ambayo kwa sasa imepata umaarufu sana mjini: ITEL.
Soma attachments. Kwa wale wenzangu na mie wa you know you know basi nimekuekea summary hapa chini kutoka kwa LLM, ChatGPT.
-————————————————————...
The struggle continues...
Our fourth week will resume with Bunyoro sub-region on Monday and close with Lango on Saturday. The revolutionary train is still on track to advance the message of the #ProtestVoteUg2026
#PeoplePowerOurPower
#ANewUgandaNow #FreeUgandaNow #M7Mustgo
Sina mengi ya kusema ila Africa kwa madikteta, nainua mikono 😂😂🙌
“Africa never ceases to amaze the world with how it keeps producing new dictators every now and then.”
Congratulations Africa, you just got yourself a female dictator 🏃🏽🏃🏽
Assume umepewa nafasi ya kazi Moja na mshahara mmoja ila katika nchi hizi tano(5) umeambiwa uchague Nchi Moja utachagua ipi kati ya Misri,SA, Indonesia,au Brazil, au Israel utachagua ipi?
Kwa yanayoendelea nchini, bila shaka Tanzania inaongoza kuwa ni nchi hatari zaidi kwa upande wa Africa mashariki maana kila kukicha matukio ya utekaji yanaongezeka, hofu zinazidi kutanda na watawala hawaoneshi nia yoyote kukabiliana na hali iliyopo au kutoa tamko lolote kwa yanayoendelea hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.