africa

  1. JamiiForums Tanzania DUNIA IMEBADILIKA KUTEGEMEA MISAADA KUMEPITWA NA WAKATI WAZIRI MKUU MWIGURU NCHEMBA AMEONGEA HAYO AKIWA ZIARANI..

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa kujitegemea na kuwajibika kutatua changamoto zao wenyewe. Dk Mwigulu amesema dunia ya sasa...
  2. JamiiForums Tanzania Kama wazee wetu walikutwa wanacheza bao na dhahabu, kwanini tuwalaumu mabeberu?

    Historia ya Afrika imejaa simulizi za utajiri wa rasilimali, lakini pia simulizi za kuporwa kwa rasilimali hizo. Mara nyingi lawama zote hupelekwa kwa mabeberu wakoloni na makampuni ya kimataifa kwa sababu ya kuhodhi thamani ya dhahabu, almasi, mafuta na madini mengine. Lakini tukirudi nyuma...
  3. JamiiForums Tanzania Kwa maoni na mtazamo wako, kesho Lambalamba anakufa chuma ngapi dhidi ya Yanga Africa?

    Na je, Yanga Africa ataenda kumkanda chuma ngapi mnyana fainali CRDB Cup?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  4. JamiiForums Tanzania Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  5. JamiiForums Tanzania Mtandao wa Kenyalogue.com unaonesha kuwa wastani wa IQ barani Africa ni 60.16

    130+ Very Superior / Gifted Top 2% High IQ 120–129 Superior Top 9% High 110–119 High Average Top 25% Above Average 90–109 Average 25–75% Typical / Normal range 80–89 Low Average Bottom 25% Below Average 70–79 Borderline Bottom 9% Low Below 70 Extremely Low Bottom 2% Very Low (disability range)
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ninawasiwasi hadi kufikia 2045 robo tatu ya bara la Africa itaangukia Civil War

    Kunauwezekano usio na shaka kabisa ,kama siasa za bara la Afrika zitakuwa hivi kwa chama kimoja kujiita dola na kuamulia vyama vingine viishije ,kupora uchaguzi waziwazi bila aibu,kuuwa wapinzani na wanaharakati wa tawala hizo, kueneza propaganda mfu kuwaita wasaliti tena sio wazalendo,kuna...
  7. JamiiForums Tanzania Nyerere hakupeleka familia yake ikalelewe na Kodi za mabeberu hii jeuri viongozi wa CHADEMA wanaitoa wapi huu ni umario wa Africa wanatuaibisha

    Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu? Je! familia zao zinaishije huko kwa mabeberu? Wanatudhalilisha waafrica tunaonekana hatuwezi kutunza...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya 50 Wakwama South Africa, Waomba Serikali Kuwarudisha Nyumbani Haraka

    Takriban Wakenya 50 wanaoishi South Africa kupitia kundi la Kenyan Diaspora in South Africa (KEDASA) wameiomba serikali ya Kenya kuingilia kati na kuwasaidia kurejea nyumbani kutokana na hali ya usalama inayozidi kuwa mbaya. According to reports, wengi wao wamepoteza ajira, wamekuwa wakikumbana...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President William Ruto Leaves For France to Represent Africa at G7 Summit

    President William Ruto has departed for the 2026 G7 Summit, where he will represent Africa at the high-level meeting of the world's leading economies. The summit, hosted in France, brings together leaders from the Group of Seven nations to discuss global economic growth, climate change, trade...
  10. JamiiForums Tanzania Swala la umeme africa bado sana kama ili tena kampuni moja inataka umeme wa nchi nzima na bado inakudai.

    Kenya walishawai kupata dili la Microsoft wafungue data center ila kampuni ili hitaji gigawati 1 ya umeme.wakat Kenya kwa wakati huo ilikuwa na uwezo wa kuzalisha takribani MW 3,000–3,200 tu. Hapo ni kenya.
  11. JamiiForums Tanzania Zamani nilipokuwa South Africa, leo na gundua kwamba wa Zanzibar wakiwa huku wanajiona ni watu Kenya toka Mombasa

    Watu Zanzibar kama mjawahi kukutana nao unaweza kujua ni watanzania. Ila hawa watu wapo kwa vyovyote kujionesha sio watanzania hata kuvaa bendera za kenya. Ili jambo sikuwahi kufikiria miaka nyuma sana ila leo kwa kauli zao zinaonesha ukweli. Kuwa muungano huu mkilazimisha kinachofata...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Full Time: Brazil 1-1 Morocco || 13.06.2026 || World CUP 2026 || Leo Africa tunasimama na Brazil

    Salaam to everyone. Hopefully everyone is having a great weekend out there. Kama inavyojulikana kwamba kila ubaya lazima ulipwe hapa hapa duniani. Na Leo kwenye muendelezo wa mashindano ya FIFA world cup, Brazil atashuka dimbani kucheza na Morocco, saa 7 kamili usiku. Katika hali...
  13. JamiiForums Tanzania Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU

    Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU. Wako tayari hospital zikose dawa wananchi wafe hospital kukosekana dawa ila wao na familia zao zinapata matibabu ulaya. Mwanza kuna ziwa victoria lakini wananchi wa mwanza maji ya kutumia nyumbani ni kama ndoto ya mchana...
  14. JamiiForums Tanzania Akon anasema lengo lake ni kuhakikisha Wamarekani weusi wengi mno wanarudi nyumbani Africa. Je unadhani atafanikiwa kwa hili?

    Mpango wa msanii na mfanyabiashara Akon unalenga kuhamasisha Wamarekani Weusi (African Americans) kuhamia na kuwekeza barani Afrika, kwa lengo la kuwakomboa kiuchumi na kuwaepusha na changamoto za ubaguzi wa rangi huko ughaibuni. Kupitia ushawishi wake na miradi mikubwa kama mji wa kisasa wa...
  15. JamiiForums Tanzania Nawaza tu yule mchezaji wa Simba mwenye asili ya Afrika Kusini. Nawaza tu

    Wabongo wanamua na wao kutuma ujumbe kwa waSouth Africa
  16. D

    JamiiForums Tanzania Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

    Salaam to everyone, and Happy World Cup Holiday. Kama ilivyo kawaida ya kwamba kila baya litalipwa hapa hapa duniani. Leo kwenye World Cup mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na South Africa, wa-Africa wengi kwenye social media platforms mbalimbali wameanzisha campaign ya kui-support Mexico...
  17. JamiiForums Tanzania Hii Retro Tour inadhihirisha Diamond Plutnumz ni moja ya performers wakubwa sana Africa

    Huyu kijana asingejiingiza kwenye mambo ya uchaguzi kwa kauli zile mwaka jana basi angejaza sana kwenye hii retro tour yake. Perfomance nzuri sana, mziki unapigwa live yaani bila chenga wala auto tune. Vifaa sasa wamejitahidi sana, trombone, saxophone, na sauti iko swaafi sana, yaani murua au...
  18. JamiiForums Tanzania Ukichunguza Marais na viongozi waliopita au wapo kwenye nchi zao waliweka mchango mkubwa na ndio zinamaendeleo makubwa tofauti Afrika

    Fikiria baba wa taifa wa Singapore kitabu chake kilikuwa na maono mpaka leo. Rais wa China mtu kabla ajashika uraisi lakini ana vitabu ambavyo china imefika hapo. Mfalme wa Dubai ana vitabu ambavyo mpaka leo nchi imefika leo. Hapo sija zungumzia ulaya,USA kama wengine .kwa urusi labda...
  19. E

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
  20. JamiiForums Tanzania Mpemba aliwahi kuniuliza "unajua kwanini Uislam umeshikilia sana Uarabuni na Africa" akasema "kwa sababu waafrika na waarabu wanaongozwa na mihemuko"

    This was 2019, Tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…