Mkurugenzi wa Milki Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Upendo Matotola, ameibuka mshindi miongoni mwa washindi wa Tuzo ya WIMA (Women in Management Africa) kwa mwaka 2026, kutokana na mchango wake mkubwa katika kukuza na kuimarisha sekta ya milki nchini.
Tuzo hiyo ni ushahidi wa...
Tukiwa tunapambana na Ripoti ya Jaji Chande. Huenda AFCON 2027 ikapelekwa Bondeni kutokana na na maandalizi duni. Viwanja bado, hoteli duni, barabara hoi.
**Tujiandae kwenda bondeni.
Serikali tunaomba ndugu zetu waliopo South Africa warudishwe nyumbani.
Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mtz akipigwa sana kama mbwa huko South africa
Hizi ngozi nyeusi zimelaaniwa haya mambo huwezi yakuta ulaya
Bilionea Aliko Dangote ametangaza mpango wake wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) Afrika Mashariki.Tanga, Tanzania
Akizungumza katika mkutano wa Africa We Build Summit 2026 uliofanyika Nairobi siku ya Alhamisi, Dangote alisema kuwa kiwanda kinachopendekezwa kitakuwa na uwezo wa...
Ukiwa unasema Tanzania tuko slow kimaendeleo wanakuja machawa wa Samia wanakuambia kama huridhiki basi hama nchi.
WTF! Hivi kwa nini machawa wa Samia mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu na Samia wenu? Watu wanataka tubadilike tuwe serious, sio kuhama nchi
Nadhani sasahivi mnaona dunia...
President Museveni has asked African governments to invest in strategic infrastructural development that will drive the continent’s industrial development.
He made the call during the opening ceremony of the Africa We Build Summit 2026 at JW Marriott Hotel in Nairobi, Kenya.
Museveni called...
Wakuu
Masiku kadhaa yaliopita nilipatana na kìjana mmoja mwenye uraia wa USA na mwenye asili ya Afrika.
Tulipata kuzungumza mawili matatu nilimsikia akisema amekua na shauku kubwa sana kujua chimbuko lake.
Ameonekana mwenye furaha sana kuwa sehemu ya Africa
Alienda mbali kwa kusema...
Mambo imechemka East Africa baada ya William Ruto kulinganisha Kenya na majirani wake kuhusu barabara na bei ya mafuta. Akiongea church service April 19, Ruto alisema Kenya iko na about 20,000km za tarmac roads akidai ni zaidi ya nchi zingine zote za East Africa combined.
Lakini serikali ya...
My Take
SSH ndio ataandika historia ya kukuza Uchumi kutoka Dola Bilioni 70 na Kufikia Dola Bilioni 💯 Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Tanzania.
https://www.threads.com/@africaviewfacts/post/DXPPfhxkaJ2?xmt=AQF0bBngHHIzlkgokmYGVVuwVBsecSwiOLLHMz28k-srvW3l8fXay2lmKA6cb0Hq9vuKSnY&slof=1
Hizi ndio nchi 10 za Africa zinazoongoza kwa bei rahisi zaidi za Mafuta
(Mafuta ya petrol)
Bei zipo kwa USD na chini kuna equivalent yake ukicompare na Tanzanian shilling
1. Libya
$0.023/litre
Tsh 59.58
2. Angola
$0.327/liter
Tsh 847.11
3. Algeria
$0.354/liter
Tsh 917.06
4. Egypt...
Mara nyingi tunaona nchi kama
Sudan
South Sudan
Chad
Somalia
Burundi
Madagascar
And some parts of
Nigeria
Kenya
Ethiopia
Kila mwaka lazima usikie kutoka hizi nchi kuwa millions wanaface hunger. Kwa nini AU wasijadili jinsi ya kumaliza hili tatizo?
Mfano Tanzania huku huwezi kusikia...
The real estate Marrakech market is undergoing a major strategic transformation—and the timing couldn’t be more powerful. Today marks the official opening of GITEX Africa 2026 in Marrakech, an event that positions the city at the heart of technological innovation on the continent. The energy...
Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host!
Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
Government of Uganda is expanding investments in the Africa Coffee Park in Ntungamo District to shift from raw coffee exports to value added products like processed and instant coffee, aiming for higher global market prices and industrialization.
During site inspection by the state minister for...
The historical Botha Sigcau Building in Mthatha in the Eastern Cape, which accommodates more than eleven government departments, is on fire on March 24, 2026 . It’s still unclear what caused the fire.
The building accommodates departments such as Health, Education and Land Affairs.
Earlier...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.