africa

  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Wazungu Wana-support Anarchy politics Africa ili nchi zishindwe kujenga uchumi wao Kuna vyama vya siasa vinapewa hela nyingi kuharibu amani za Nchi

    Kwa Tanzania chama ambacho kinapewa Hela nyingi na wazungu kwa lengo la kuvuruga Amani na uchumi ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) kipo Tanzania Vyama vingine ni New Patriotic Party kipo Ghana, chama cha Democratic Alliance kipo South Africa, Citizens coalition for change party...
  2. Streetot

    JamiiForums Tanzania Latest News: Federal Government Evacuates 269 More Nigerians from South Africa

    Breaking News: 269 More Nigerians Return from South Africa as Federal Government Intensifies Evacuation Efforts The Federal Government has successfully evacuated an additional 269 Nigerians from South Africa, increasing the total number of citizens brought home in the past week to 335. The move...
  3. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Ugandan Murdered in South Africa as Government Orders Emergency Evacuation

    The Government of Uganda has announced plans to evacuate its nationals from South Africa following an escalation in anti-immigrant violence and xenophobic attacks that have left hundreds seeking assistance to return home. In a press statement issued on June 28, 2026, the Ministry of Foreign...
  4. Mvinyo mpya

    JamiiForums Tanzania South Africa anaenda kufuzu hatia ya 16 Leo usiku

    Canada hawana mpira wa maana wamatumbi wakikaza na kuacha papara! Mechi saa nne usiku.
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Turudi nyuma huyu Okello inaonyesha Historia ya Africa mashariki mbona ina mkwepa

    Ili swala lipo uganda,lipo kenya na visiwani na sijajua tanzania. Ila mimi sio muelezaji mzuri kuandika ila naleta mafail ambayo tuanze kuulizana kwanza. Ina wezekana kuna nguvu kubwa ambayo hata walifikisha haya walifutwa nchi hizi zote tatu Africa mashariki na kwa nini waliuungana kwa uwoga
  6. Red black

    JamiiForums Tanzania Hawa the Africa wilddogs ni hatari sana wanashambulia in park yan 10mins buffalo yuko chini.

  7. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii wa kike Afrika anayemzidi Tems?

    She's ma favorite artist.. The first time nasikiliza wimbo wake.. Essence I was in awe! It was pure art, in its essence ngoma ya essence ilikuwa essential.. Ni mwanamziki asiyependa Kiki but ana Grammy yake mkononi. Hama makuu, polite hapendi Kiki, ni yeye na kazi tuu I love tems, till I die...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Huwezi kumtenganisha Mungu wa kweli na taifa la Israel huo ndo ukweli Haijalishi Israel walimuasi Mungu wao Kwa miaka mingapi lakini Mungu wao LAZIMA awarudishe kwenye Agano lake Biblia ni kitabu kinachoonyesha uhusiano wa Mungu wa kweli na taifa lake la Israel kuanzia Mwanzo Hadi Ufunuo...
  9. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Makerere University ranked 23rd in Africa

    Makerere University has been placed 23rd in Africa and 639 among global universities by the US News and World Report Best Global Universities Rankings 2026-2027. Makerere’s overall global score stood at 44.9 percent. The rankings serve as a benchmark for students, researchers and policymakers...
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Uingereza kama demokrasia imepitiliza sasa. Keir Starmer njoo Africa utafurahi

    Waingereza wamemtimua kazi Waziri Mkuu wao lakini sasa wanabishana walichomfukuzia kazi Keir Starmer ni kipi hata wenyewe hawaelewi! Haieleweki kwa nini amelazimishwa kujiuzulu na chama chake alichokiongoza kwenye ushindi mkubwa huku akitimiza ahadi zote alizoahidi. Keir Starmer aje Africa...
  11. political monger senior

    JamiiForums Tanzania DUNIA IMEBADILIKA KUTEGEMEA MISAADA KUMEPITWA NA WAKATI WAZIRI MKUU MWIGURU NCHEMBA AMEONGEA HAYO AKIWA ZIARANI..

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa kujitegemea na kuwajibika kutatua changamoto zao wenyewe. Dk Mwigulu amesema dunia ya sasa...
  12. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Kama wazee wetu walikutwa wanacheza bao na dhahabu, kwanini tuwalaumu mabeberu?

    Historia ya Afrika imejaa simulizi za utajiri wa rasilimali, lakini pia simulizi za kuporwa kwa rasilimali hizo. Mara nyingi lawama zote hupelekwa kwa mabeberu wakoloni na makampuni ya kimataifa kwa sababu ya kuhodhi thamani ya dhahabu, almasi, mafuta na madini mengine. Lakini tukirudi nyuma...
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni na mtazamo wako, kesho Lambalamba anakufa chuma ngapi dhidi ya Yanga Africa?

    Na je, Yanga Africa ataenda kumkanda chuma ngapi mnyana fainali CRDB Cup?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  15. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Kenyalogue.com unaonesha kuwa wastani wa IQ barani Africa ni 60.16

    130+ Very Superior / Gifted Top 2% High IQ 120–129 Superior Top 9% High 110–119 High Average Top 25% Above Average 90–109 Average 25–75% Typical / Normal range 80–89 Low Average Bottom 25% Below Average 70–79 Borderline Bottom 9% Low Below 70 Extremely Low Bottom 2% Very Low (disability range)
  16. S

    JamiiForums Tanzania Ninawasiwasi hadi kufikia 2045 robo tatu ya bara la Africa itaangukia Civil War

    Kunauwezekano usio na shaka kabisa ,kama siasa za bara la Afrika zitakuwa hivi kwa chama kimoja kujiita dola na kuamulia vyama vingine viishije ,kupora uchaguzi waziwazi bila aibu,kuuwa wapinzani na wanaharakati wa tawala hizo, kueneza propaganda mfu kuwaita wasaliti tena sio wazalendo,kuna...
  17. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Nyerere hakupeleka familia yake ikalelewe na Kodi za mabeberu hii jeuri viongozi wa CHADEMA wanaitoa wapi huu ni umario wa Africa wanatuaibisha

    Kama viongozi wa chadema kutwa wanakesha wanapitisha kapu la donation kuwatapeli watu nchini, Je! Wanauwezo wa kulipia land huko kwa mabeberu? Je wanauwezo wa kusomesha watoto huko kwa mabeberu? Je! familia zao zinaishije huko kwa mabeberu? Wanatudhalilisha waafrica tunaonekana hatuwezi kutunza...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya 50 Wakwama South Africa, Waomba Serikali Kuwarudisha Nyumbani Haraka

    Takriban Wakenya 50 wanaoishi South Africa kupitia kundi la Kenyan Diaspora in South Africa (KEDASA) wameiomba serikali ya Kenya kuingilia kati na kuwasaidia kurejea nyumbani kutokana na hali ya usalama inayozidi kuwa mbaya. According to reports, wengi wao wamepoteza ajira, wamekuwa wakikumbana...
  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Leaves France to Represent Africa at G7 Summit

    President William Ruto has departed for the 2026 G7 Summit, where he will represent Africa at the high-level meeting of the world's leading economies. The summit, hosted in France, brings together leaders from the Group of Seven nations to discuss global economic growth, climate change, trade...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Swala la umeme africa bado sana kama ili tena kampuni moja inataka umeme wa nchi nzima na bado inakudai.

    Kenya walishawai kupata dili la Microsoft wafungue data center ila kampuni ili hitaji gigawati 1 ya umeme.wakat Kenya kwa wakati huo ilikuwa na uwezo wa kuzalisha takribani MW 3,000–3,200 tu. Hapo ni kenya.
Back
Top Bottom