africa

  1. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania WIMA yatambua Mchango wa Dkt. Upendo katika Sekta Milki

    Mkurugenzi wa Milki Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Upendo Matotola, ameibuka mshindi miongoni mwa washindi wa Tuzo ya WIMA (Women in Management Africa) kwa mwaka 2026, kutokana na mchango wake mkubwa katika kukuza na kuimarisha sekta ya milki nchini. Tuzo hiyo ni ushahidi wa...
  2. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AFCON 2027 huenda ikapelekwa South Africa

    Tukiwa tunapambana na Ripoti ya Jaji Chande. Huenda AFCON 2027 ikapelekwa Bondeni kutokana na na maandalizi duni. Viwanja bado, hoteli duni, barabara hoi. **Tujiandae kwenda bondeni.
  3. Think2

    JamiiForums Tanzania Serikali ina mpango gani na watanzania wanaoishi Afrika Kusini

    Serikali tunaomba ndugu zetu waliopo South Africa warudishwe nyumbani. Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mtz akipigwa sana kama mbwa huko South africa Hizi ngozi nyeusi zimelaaniwa haya mambo huwezi yakuta ulaya
  4. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kikubwa cha Dangote Cha kusafisha mafuta Kujengwa East Africa.

    Bilionea Aliko Dangote ametangaza mpango wake wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) Afrika Mashariki.Tanga, Tanzania Akizungumza katika mkutano wa Africa We Build Summit 2026 uliofanyika Nairobi siku ya Alhamisi, Dangote alisema kuwa kiwanda kinachopendekezwa kitakuwa na uwezo wa...
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kama tusipoanza kuzijenga nchi za Africa sasahivi, sijui lini tutaanza kujenga

    Ukiwa unasema Tanzania tuko slow kimaendeleo wanakuja machawa wa Samia wanakuambia kama huridhiki basi hama nchi. WTF! Hivi kwa nini machawa wa Samia mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu na Samia wenu? Watu wanataka tubadilike tuwe serious, sio kuhama nchi Nadhani sasahivi mnaona dunia...
  6. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Huu mpango wa Dangote kujenga refinery East Africa umekaaje?

  7. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni calls for strategic infrastructure investment in Africa

    President Museveni has asked African governments to invest in strategic infrastructural development that will drive the continent’s industrial development. He made the call during the opening ceremony of the Africa We Build Summit 2026 at JW Marriott Hotel in Nairobi, Kenya. Museveni called...
  8. Ofisho mlinzi

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watu waliozaliwa nchi za ughaibuni na wenye asili ya Africa wanaonekana kuwa na shauku ya kurudi Africa

    Wakuu Masiku kadhaa yaliopita nilipatana na kìjana mmoja mwenye uraia wa USA na mwenye asili ya Afrika. Tulipata kuzungumza mawili matatu nilimsikia akisema amekua na shauku kubwa sana kujua chimbuko lake. Ameonekana mwenye furaha sana kuwa sehemu ya Africa Alienda mbali kwa kusema...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Ona ukatili unaofanywa na Africa ya Kusini kwa wageni

    Wanawapiga wageni!
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto vs Tanzania: Vita ya Barabara na Fuel Yachacha East Africa!

    Mambo imechemka East Africa baada ya William Ruto kulinganisha Kenya na majirani wake kuhusu barabara na bei ya mafuta. Akiongea church service April 19, Ruto alisema Kenya iko na about 20,000km za tarmac roads akidai ni zaidi ya nchi zingine zote za East Africa combined. Lakini serikali ya...
  11. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania IMF: Wakati Tanzania Inatarajia Kufikia GDP ya $ Bilioni 💯 ,DRC Kuipita Ethiopia na Kuwa Nchi ya 5 Kwa Uchumi Mkubwa Africa 2026.

    My Take SSH ndio ataandika historia ya kukuza Uchumi kutoka Dola Bilioni 70 na Kufikia Dola Bilioni 💯 Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Tanzania. https://www.threads.com/@africaviewfacts/post/DXPPfhxkaJ2?xmt=AQF0bBngHHIzlkgokmYGVVuwVBsecSwiOLLHMz28k-srvW3l8fXay2lmKA6cb0Hq9vuKSnY&slof=1
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanasiasa na watawala wa Afrika huwa wanaitwa na kuitana waheshimiwa?

    Hili suala la wanasiasa na watawala kuitwa na kuitana waheshimiwa ni mojawapo ya mambo ya ajabu sana ya Waafrika.
  13. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Lugha zinazoongoza Africa kwenye nyimbo zinazosikilizwa

  14. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 za Afrika zenye bei rahisi zaidi za mafuta (petrol) April 2026

    Hizi ndio nchi 10 za Africa zinazoongoza kwa bei rahisi zaidi za Mafuta (Mafuta ya petrol) Bei zipo kwa USD na chini kuna equivalent yake ukicompare na Tanzanian shilling 1. Libya $0.023/litre Tsh 59.58 2. Angola $0.327/liter Tsh 847.11 3. Algeria $0.354/liter Tsh 917.06 4. Egypt...
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hivi hili tatizo la njaa Afrika hatuwezi kulimaliza sisi wenyewe?

    Mara nyingi tunaona nchi kama Sudan South Sudan Chad Somalia Burundi Madagascar And some parts of Nigeria Kenya Ethiopia Kila mwaka lazima usikie kutoka hizi nchi kuwa millions wanaface hunger. Kwa nini AU wasijadili jinsi ya kumaliza hili tatizo? Mfano Tanzania huku huwezi kusikia...
  16. Orchid Island Real Estate

    JamiiForums Tanzania GITEX Africa 2026 in Marrakech: Towards a new era of technology-driven real estate

    The real estate Marrakech market is undergoing a major strategic transformation—and the timing couldn’t be more powerful. Today marks the official opening of GITEX Africa 2026 in Marrakech, an event that positions the city at the heart of technological innovation on the continent. The energy...
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027 Dates Zimetoka! East Africa Bado Nyuma Kwa Maandalizi?

    Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host! Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
  18. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ni Afrika pekee watu kama IPM wanapewa hadhi ya unabii iliwali wao ni comedians

  19. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda’s Finance ministry pledges continued support to Inspire Africa coffee Park.

    Government of Uganda is expanding investments in the Africa Coffee Park in Ntungamo District to shift from raw coffee exports to value added products like processed and instant coffee, aiming for higher global market prices and industrialization. During site inspection by the state minister for...
  20. B

    JamiiForums Tanzania South Africa is now on fire ! A raging fire destroyed the Botha Sigcau Building in Mthatha !

    The historical Botha Sigcau Building in Mthatha in the Eastern Cape, which accommodates more than eleven government departments, is on fire on March 24, 2026 . It’s still unclear what caused the fire. The building accommodates departments such as Health, Education and Land Affairs. Earlier...
Back
Top Bottom