Position: HR Associate
Six Rivers Africa (SRA) is a non-profit organization with a mission to protect, restore, and preserve wilderness areas, and increase the wildlife population so that the flora and fauna can be enjoyed for generations to come.
Six Rivers Africa is recruiting an experienced...
Habari zenu..
Napenda kuleta huu uzi ulio na mapenzi ya dhati juu ya timu yangu pendwa kuliko timu zote duniani DAR YOUNG AFRICANS.
Mahaba yalianza toka nikiwa mtoto mdogo sana, kweli naweza kusema naipenda yanga sana, ni timu iliyojaa historia kubwa sana Africa mashariki na kati,WE GREENS...
King Charles III owns the largest clear cut diamond in the world Known as 'The Great Star of Africa' the 530 carats gem was mined in South Africa back in 1905.
It was stolen from South Africa. It has an estimated worth of $400 million.
The British claim that it was given to them as a symbol...
Huu mradi katika ukanda wa kati njia hii kutoka Cairo mpaka captown utapitia dsr es salaam nomba kujua mikoa mengine.
Hii hapa nimepata nchi itakamo pita.
KISASI NI HAKI🔰
Mwaka 2001 Yanga ilikutana na Mamelodi Sundowns katika hatua za awali kwenye ligi ya mabingwa barani Africa .Mamelodi ilikua ya moto kwelikweli ikiwa Chini ya Mwanamama Natasha Tshiclas aliyekua mkurugenzi mkuu kabla ya kumuachia timu Patrice Motsepe.
Matokeo yalikua 3-3 uwanja...
Terms of Reference
ROLI Africa- ABA ROLI Freedom of Expression Consultant; April 2024 – June 2024
Background.
For 30 years, and through our work in more than 100 countries, ABA ROLI and our partners have sought to strengthen legal institutions, support legal professionals, foster respect for...
Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada...
Rais Ruto amesisitiza hilo leo Alhamis 7/3/2024 kuwa ataendelea kuhakikisha sheria ya 2/3 ya jinsia imetekelezwa kikamilifu katika chama chake cha United Democratic Alliance (UDA) na katika serikali ya Kenya Kwanza kwa ujumla.
Katika uzinduzi wa Mkakati wa Baraza la Magavana Wanawake G7 jijini...
Baada ya kuzunguka ulimwenguni nimegundua siri moja kubwa sana kutoka sehemu nyeti sana.
Siku Africa tutakapoungana UMASIKINI utakuwa bye bye....hata 🇺🇸 hawatatupata labda 🇨🇳
Ni Ibris ndio anakudanganya eti ukiwa siglemama ndio utafanikiwa, utakuwa huru na utajitawala.
Wale ambao kama mimi wameruhusu akili zao ziathiliwe na Biblia watajua wanawake wenye ushawishi, matajiri na wanawake wa maana wenye adabu walikuwa ni wake za watu, sio Masingle mama au wanakejeli...
Maisha ambayo raia wa Africa na Tanzania kwa ujumla tunaishi ni aibu, huzuni na mateso matupu. Maji shida, umeme shida, ajira hakuna, huduma za afya mbovu Yani Kila kitu tatizo.
Waafrika na Tanzania kwa ujumla tunaishi katika umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa. Hakika hii ni laaana...
Position: Nurse-Midwife
Reference: MA/NM/KHS/05/03/24
Organization: Maternity Africa
Duty Station: Kivulini Maternity Centre, Ngaramtoni yaChini – Arusha
Duties and Responsibilities
• Ensure compliance of day to day clinical duties as allocated and required within the unit-including clinic...
Request For Proposal (RFP)
TradeMark Africa (TMA) is a leading African Aid-for-Trade organisation that was established in 2010. TMA aims to grow intra-African trade and increase Africa’s share in global trade, while helping make trade more pro-poor and more environmentally sustainable. Our...
Hebu tafakari kama German East Africa ingepata uhuru pamoja bila Rwanda Na Burundi kumegwa na Belgium baada ya ujerumani kushindwa vita vya kwanza vya Dunia;
Ingewezekana kama tungepata uhuru kutoka kwa Ujerumani au hata kama kwa Uingereza ingewezekana tusingeungana na Zanzibar na muhimu zaidi...
Habari za leo wana JF,
Kama kichwa Cha habari kinavosema ngoja nianalyse mtazamo wangu Kwa kuangalia connection iliopo ktk past event baada ya uhuru wa nchi za Africa, current events tulipo na mtazamo wangu tunapoelekea. Nikiwachambua iconic hero's Kwame Nkuruma na Julius Nyerere Je! nani ni...
Below are African countries with the highest beer consumption per capita:
Rank
Country
Beer Consumption per capita
Global Rank
1
Namibia
95.5 L
6
2
Gabon
67 L
25
3
South Africa
60.1 L
28
4
Democratic Republic of the Congo
54.8 L
35
5
Kenya
12 L
52
6
Tanzania
8 L
57
7
Uganda
6 L
58
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.