Salaam to everyone, and Happy World Cup Holiday.
Kama ilivyo kawaida ya kwamba kila baya litalipwa hapa hapa duniani.
Leo kwenye World Cup mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na South Africa, wa-Africa wengi kwenye social media platforms mbalimbali wameanzisha campaign ya kui-support Mexico against South Africa kutokana na mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika kwa raia kutoka nchi mbalimbali za Africa kutoka kwa raia wa South Africa, nchini South Africa.
It has been encouraged as well for fans watakao hudhuria mechi hio uwanjani ku-show up banners za ku discourage Xenophobic characters on SA in general.
I hope Mexico wins it by an infinite margin.
Happy Holiday, everyone.
Kama ilivyo kawaida ya kwamba kila baya litalipwa hapa hapa duniani.
Leo kwenye World Cup mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na South Africa, wa-Africa wengi kwenye social media platforms mbalimbali wameanzisha campaign ya kui-support Mexico against South Africa kutokana na mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika kwa raia kutoka nchi mbalimbali za Africa kutoka kwa raia wa South Africa, nchini South Africa.
It has been encouraged as well for fans watakao hudhuria mechi hio uwanjani ku-show up banners za ku discourage Xenophobic characters on SA in general.
I hope Mexico wins it by an infinite margin.
Happy Holiday, everyone.