Ukichunguza Marais na viongozi waliopita au wapo kwenye nchi zao waliweka mchango mkubwa na ndio zinamaendeleo makubwa tofauti Afrika

Ukichunguza Marais na viongozi waliopita au wapo kwenye nchi zao waliweka mchango mkubwa na ndio zinamaendeleo makubwa tofauti Afrika

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,967
Reaction score
35,668
Fikiria baba wa taifa wa Singapore kitabu chake kilikuwa na maono mpaka leo. Rais wa China mtu kabla ajashika uraisi lakini ana vitabu ambavyo china imefika hapo.

Mfalme wa Dubai ana vitabu ambavyo mpaka leo nchi imefika leo.

Hapo sija zungumzia ulaya,USA kama wengine .kwa urusi labda wanasayansi tu,wao zaidi ubabe,kuwa gachi,kugundua sumu gani itamaliza mtu na mtindo wa CCM.

Tuje sasa huku Afrika .Picha linaanza Rais anaomba msamaha kwa aliyofanya sababu kakaribia kufa.
 
Fikiria baba wa taifa wa Singapore kitabu chake kilikuwa na maono mpaka leo.Raisi wa china mtu kabla ajashika uraisi lakini ana vitabu ambavyo china imefika hapo.

Mfalme wa dubai ana vitabu ambavyo mpaka leo nchi imefika leo.

Hapo sija zungumzia ulaya,USA kama wengine .kwa urusi labda wanasayansi tu,wao zaidi ubabe,kuwa gachi,kugundua sumu gani itamaliza mtu na mtindo wa CCM.

Tuje sasa huku afrika .Picha linaanza raisi anaomba msamahaa kwa aliyofanya sababu kakaribia kufa.
Na hao Marais hawakutegemea misaada kujenga nchi zao ... Ubinafsi ubinafsi.... Na kutekana 😓
 
Tuje sasa huku Afrika .Picha linaanza Rais anaomba msamaha kwa aliyofanya sababu kakaribia kufa.
Mzee Daniel Troirot arap Moi aka professor wa siasa, walipotezwa kina Thom Mboya, JM Kariuki etc baadae anakuja kuwaomba msamaha wakenya dakika za jioniii
 
Back
Top Bottom