africa

  1. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge wamlaumu Uhuru Kenyata kwa kuwashawishi Vijana wa Africa mashariki walete mabadiliko kwa kushika madaraka

    Wabunge wazee wamemlaumu Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuwataka Vijana wa Africa mashariki waamke kutoka usingizini Wabunge hao wamesema Vijana wakipewa madaraka makubwa nchi za Africa mashariki hazitatawalika Source: Citizen tv Kwako kijana Lucas Mwashambwa
  2. nbayoungboy never broken

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Afrika wanafanana uwezo wa kufikiria

    Unakuta viongozi wote wa Afrika matatizo yanafanana. Hawana sera zozote za maendeleo wa kikaa kwenye kiti wamekaa na kujiona wako juu hicho ndo kitu wanataka. Ni tofauti na nchi za mwarabu kidogo wana uelewa. South nae awashukuru wazungu kubakizwa lakini hii ngozi na ubabe damudamu. Tutasanda...
  3. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Africa today; Do we need a third revolution for human rights?

    It is indisputable fact that colonial powers misused states agencies to torture, subdue and plunder our countries. These observations as bad as they were, they were no less of what was expected out of colonialism because their agenda was that of exploitation. Freedom fighters across the...
  4. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Haya mambo utayapata Africa tu Tamaa za madaraka wananchi wa tunisia waandama dhidi ya serikali kwa kukandamiza upinzani

    Haya mambo utayapata africa tu Tamaa za madaraka wananchi wa tunisia waandama dhidi ya serikali kwa kukandamiza upinzani. Haya mambo kama huelewi ndio anayofanya samira watu wamehamasisha uwepo wa haki kwenye taifa wanaitwa waahini, watu wameenda mahakamani wanaitwa wafanya vurugu, watu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi Jamii Forums

    Salamu wakuu! Wadau naomba mnikaribishe kwenye nyumba ya Great thinkers kijana mwenye damu changa, mwenye mawazo yanye tija Kwa taifa. Asanteni sana.
  6. Kichwa Ze Don

    JamiiForums Tanzania Nchi 11 tajiri Afrika kulingana na GPD

    Orodha ya nchi kulingana na pato la taifa; 1. Afrika Kusini $410.34b 2. Egypt $347.34b 3. Algeria $268.89b 4. Nigeria $188.27b 5. Morocco $165.84b 6. Kenya $131.67b 7. Ethiopia $117.46b 8. Angola $113.34b 9. Côte d'Ivoire $94.48b 10. Ghana $88.33b 11. Tanzania $85.98b
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Taswira ya uchaguzi wa nchi nyingi za Africa

    Chini ya meza, kuna wanajeshi kadhaa wakimpa kadi zaidi mtu huyu kwa siri, ikimaanisha kuna hila na msaada wa kijeshi kwa upande wake. Wengine wawili (mmoja mwenye mavazi mekundu na bereti, mwingine mwenye nguo za buluu), wanaonekana kuwa na wasiwasi, uchungu, na hali ya kutokuweza kushindana...
  8. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani hapa Afrika naweza kwenda kuishi kwa amani?

    Dah Mimi sio mwanasiasa, ila jambo lililotokea Leo limeniuma sana, nimewaza leo yanatokea kwa wenzagu kesho yanaweza kutokea kwa Familia yangu au watoto wangu, Mwisho nitaishi kwa visasi na chuki.. Naona hii sio siri tena, walioko madarakani hawataki kuachia kwa namna yoyote ile, tumekubali...
  9. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania TISS ya Burkina Faso Bora Africa

    Idara ya usalama ya Burkina Faso ANR ndio Bora kuliko idara za usalama Africa. Idara Hiyo chini ya bwana mdogo the son of Africa Ibrahim Traure imeweza kuzuia mapinduzi dhidi ya Traoure Kwa ustadi na mbinu ya aina Yake Kwa kufichua mbinu ovu za CIA, Mi6 pamoja na ufaransa na kuzuia kumwangamiza...
  10. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Will Africa get a black Pope? Thinking that there can be a black Pope from Africa is ignorance on steroids. Why does Africa still seek validation through western institutions? Wakristo wengi wa Afrika hawajui na hawaelewi kwamba papa sio tu kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani, bali pia...
  11. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Prof Janabi anaweza kushinda nafasi ya WHO Africa?

    What is happening ni kwamba Wamarekani waliiahidi Serikali ya Tanzania kuipa chanjo za magonjwa mbali mbali kwa masharti kwamba Tanzania lazima ikubali genetic experiments zifanyike on the Tanzanian population. Yaani hizi genetic experiments zifanyike with no or limited monitoring by our own...
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Nchi za Ulaya wafungwa magerezani wanaishi maisha mazuri kuliko binadamu wengi wa Africa.

  13. Now and then

    JamiiForums Tanzania Je Elimu inachangia mtu kuongoza nchi vizuri huko Africa ?

    Je Elimu inachangia mtu kuongoza nchi vizuri huko Africa ? Kuna nchi moja huko Africa imepata rais ana PhD ya uongo n nyingine imepata Rais aliyefeli form four . Je elimu Ina mchango gani.?
  14. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Tafakari picha hii na yanayoendelea Africa

    Hivi ni lini waafrika tutaacha upumbavu ili tukue. Hapa ni waafrika wamegeuza maroboti wauwane Chini wakuu wa dunia wanapora madini. Akili zetu zipo kwenye kupigana wao uchukua madini.
  15. E

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe: Mfanyabiashara wa Ghana Kofi Amoah aivyomtaka Elon Musk kuinunua Afrika, kisha kufuta viongozi wote!

    Mfanyabiashara Toka Ghana Dr.Kofi Omoha amtaka Billionaire Elon Musk kuinunua Africa Kisha kufuta viongozi wake wote
  16. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Donald Trump plans to shut dozens of US embassies – including 8 in Africa

    Donald Trump plans to shut dozens of US embassies – including 8 in Africa According to an internal State Department memo seen by CNN, the Trump administration is considering the closure of up to 10 embassies and 17 consulates around the world, many of them in Europe and Africa. Trump’s plan to...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Infobip pushes conversational AI as game-changer at Africa CX Conference

    Head of Enterprise Business - East Africa, George Muhia Infobip, a global leader in cloud communications, championed the use of conversational AI to transform customer experience and help businesses stay competitive, grow their customer base and drive sustainable growth. In partnership with...
  18. Stability

    JamiiForums Tanzania Pastor wa Mmarekani alietekwa huko South Africa akiwa anahuburi ameokolewa

    Mchungaji wa Kimarekani, Josh Sullivan, aliyetekwa na wanaume wenye silaha wakati wa ibada nchini Afrika Kusini, amepatikana akiwa salama baada ya majibizano ya risasi makali yaliyopelekea vifo vya watu watatu, kwa mujibu wa polisi. Sullivan, mwenye umri wa miaka 45, alipatikana Jumanne jioni...
  19. sanalii

    JamiiForums Tanzania Ukitoa wazungu, Ulokole ndio Ukiristo halisi wa Africa

    Hizi taasisi unazoziona zimesimama, kama vile Roma au Lutheran, ni utaratibu na misingi ya wazugu na haina uhusiano na ukiristo, hata ile chain of command mfano utoka papa hadi muumini wa kawaida pale kimara temboni, ni taratibu za kizungu ambazo hazina uhusiano wa moja kwa moja a ukiristo...
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika sana. Sisi Africa katika soko la China hata kwenye 3 bora hatumo

    Nlitegemea sisi Afrika tungekuwa moja ya masoko makubwa kabisa ya bidhaa za China. Sivyo. Why? Huku wanatuletea tu takataka soko lao kubwa lipo Ulaya na Marekani. Ndo maana jamaa wanatudharau tu wanaamua kutengeneza takataka ndo wanaleta huku. Ila vitu vya maana wanapeleka kwa wazungu...
Back
Top Bottom