Hao nikuna wapuuzi watakuja hapa kusema na mama bora wa Africa ni........
Huyu dogo bila shaka ni yule Mwanaye, raisi mstaafu pia, Brig. Gen. Ian Khama
Toka kitambo nikiona mtu anasimama anasema Nyerere ni baba wa Taifa namuona kama mwijku tu
Cha ajabu baba yako alishindwa kuwa baba wa Taifa ili umuone vinginevyoToka kitambo nikiona mtu anasimama anasema Nyerere ni baba wa Taifa namuona kama mwijku tu
Baba yangu huo mwaka 61 alikuwa ana miaka 8 sasa sijui tumuite mjukuu wa Taifa au tumpe jina gani Mkuu? PendekezaCha ajabu baba yako alishindwa kuwa baba wa Taifa ili umuone vinginevyo
Sema no reforms no election Mkuu 😄😄Cha ajabu baba yako alishindwa kuwa baba wa Taifa ili umuone vinginevyo
Senegal imekuwa na changamoto nyingi za kidemokrasia japo imestahimili, pia alifuta vyama vingiLeopold Cedar Sengor (Rip) wa Senegal na ndiye rais wa kwanza katika Afrika kuachia ngazi kwa hiari yake mwenyewe mwaka 1980 na ndiye rais ambaye hakufuta mfumo wa vyama vingi baada ya kupata uhuru 1960.
Huuu ni upuuzi wa kumkwepesha Nyerere na lawama, Nyerere hapaswi kuepuka lawama ujinga na upumbavu wa nchi Nyerere ndio atabeba kama ishu ni population mbona Burundi ina watu wachache na haijawa kama ulaya? Acha upumbavu wakoMwalimu NYERERE ndio baba wa Taifa Bora kabisa duniani. Huwezi kulinganisha Taifa lenye watu 2.5m na Taifa lenye watu 70m ? Wilaya ya ilala pekee Ina watu wengi kuliko nchi ya Botswana ,tuweni tunalingajisha vinavyofanana.
Tanzania ingekuwa na watu 2.5 Leo hii ingekuwa ulaya