afcon 2027

The 2025 Africa Cup of Nations, known in short as the 2025 AFCON or CAN 2025, is scheduled to be the 35th edition of the biennial African association football tournament organized by the Confederation of African Football. The tournament was supposed to be hosted in June-July 2025, however due to the formation of the expanded FIFA Club World Cup scheduled to be held in June-July 2025, the 2025 AFCON might be hosted in January-February 2026.
This edition of the tournament was supposed to be the 2nd to take place in the northern hemisphere summer since the 2019 edition to reduce scheduling conflicts with European club teams and competitions after the previous edition in 2023 was moved to January and February 2024 owing to the adverse summer weather conditions in Ivory Coast.Guinea was the set to be the original host of this edition of the tournament but CAF stripped it of hosting rights after affirming its inadequacy of hosting preparations. After a second bidding process, Morocco was given the hosting rights

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Tusipokuwa makini na watu kuwajibika, basi AFCON 2027 inaweza kuwa bonge la failure badala ya fahari

    Suala la kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 kwa Tanzania, Kenya na Uganda ulitangazwa kama ushindi wa kihistoria kwa Afrika Mashariki. Lakini kadri siku zinavyosonga, ndivyo uhalisia unavyozidi kuwa mchungu. Ila nimeshangazwa sana na taarifa na habari za Tanzania kuomba msaada wa taifa la China mwaka...
  2. Waufukweni

    Tanzania yaomba msaada China kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya AFCON 2027

    Serikali yaiomba China kuunga mkono jitihada za kuendeleza miundombinu ya kisasa ili kuhakikisha Tanzania iko tayari kuwa mwenyeji mwenza wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2027 (AFCON) pamoja na majirani zake wa Afrika Mashariki. Ombi hilo lilitolewa Ijumaa, Februari 6, na Naibu Waziri wa Mambo ya...
  3. Da Dona

    Uganda's Top sports Leaders Clash ahead of AFCON 2027: What this means for PAMOJA

    A public clash between Uganda' s Football president (FUFA) Engineer Moses Magogo and Sports Minister Peter Ogwang over AFCON 2027 budgeting has exposed a deeper power struggle in Uganda’s sports leadership. Ogwang argues that FUFA acted outside the agreed government framework, insisting all...
  4. Yoda

    Kuelekea AFCON 2027: Kuanzishwe dalaladala na Mwendokasi VIP

    Usafiri wa umma wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana na haujawahi kuwa wa kistaarabu, sehemu ya kwenda kwa dakika 45 yanatumika hadi masaa mawili tena huku abiria wamebambiana kama ndizi pamoja na kuvujiana jasho. Sasa tusiwafanyie hivyo wageni wa AFCON ikiwa...
  5. Waufukweni

    AFCON 2027: Tanzania, Kenya na Uganda wakabidhiwa bendera na CAF

    Afrika Mashariki PAMOJA AFCON 2027 tayari imekabidhiwa kwa viongozi wa Tanzania, Kenya na Uganda tayari kwa Kombe la Mataifa 2027. Upande wa Tanzania umewakilishwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda akiambatana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Wallace Karia.
  6. Mhaya

    Mwandishi wa Ivory Coast ahoji AFCON 2027 kufanyika Afrika Mashariki yenye barabara mbovu na miundombinu mibovu

    Katika mkutano wa CAF uliofanyika hivi karibuni, Kuna kipande cha video cha mkutano huo kimeibua maswali mengi hususani kwa watu wa Afrika Mashariki, ikiwemo wakenya ambao kwenye kurusa za mitandao yao ya kijamii video hii imekuwa ikisambaa sana. Video hii inamhusu muandishi wa habari kutokea...
  7. Chakaza

    Tuwe wakweli, kwa siasa za huyu waziri AFCON 2027 itafanikiwa au tusubiri aibu?

    Tumeona maandalizi na utekelezaji wa mashindano makubwa ya AFCON kule Ivory Coast na ya Sasa Morocco yenye ufanisi mkubwa. Sasa mwaka ufuatao nasi ni waandaaji pamoja na Kenya pia Uganda. Jee kwa kupewa uwaziri wa michezo Bwana Makonda wizara ambayo itaongoza na zingine katika kuratibu...
  8. T

    Je, Tanzania bado ni salama kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 baada ya matukio ya uchaguzi mkuu?

    AFCON 2027 Nitashangaa sana kuona CAF inaicha Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027 baada ya yote yaliyotokea Nashauri CAF waiondoe Tanzania mapema kabisa katika nchi mwenyeji wa AFCON 2027
  9. ngara23

    Nina uhakika Tanzania tutapoteza fursa ya kuandaa AFCON 2027

    Hali ya uwanja wa Taifa na ukarabati wake unaenda Kwa kasi ya kunyonga ambapo walitengewa kiasi cha billions 31 ambapo ni pesa ndefu inayoweza kujenga kiwanja kipya Ujenzi wa uwanja huko Arusha upo kimya na huko Dodoma Najiuliza Waziri Kabudi na Mwana FA wanafanya Nini ofsini hadi Leo...
  10. Luis 505

    AFCON 2027: Naona kama kuna aibu kubwa inakuja mbele yetu kwa "international community" miaka 2 ijayo

    Wakuu, mbona naona kama kuna aibu kubwa inakuja kuchafua taswira ya Tanzania katika mashindano ya AFCON 2027?? Mtiririko wa matukio ya hivi karibuni ya kimichezo hususan soka pamoja na kukosa seriousness kwa viongozi wa mchezo husika, kunanipa wasiwasi sana wakuu.
  11. Rorscharch

    Wachezaji wa Kiafrika Wanatumika Kama Bidhaa Ulaya: AFCON Kudharauliwa na FIFA Kupuuza Maendeleo ya Soka la Afrika

    Soka ni mchezo unaopendwa zaidi ulimwenguni, lakini je, kweli Afrika ina nafasi sawa katika uwanja huu wa kimataifa? Ukweli mchungu ni kwamba mpira wa miguu umetumiwa kama silaha ya kudhibiti bara la Afrika—kutufanya tuhisi duni, kutudanganya kwamba hatustahili, na kutufanya tuendelee kuwa...
  12. Waufukweni

    VIDEO: Ujenzi wa Uwanja wa AFCON Arusha wafikia 25%

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya mashindano ya Fainali za AFCON 2027 umefikia 25% za ujenzi wake. Msigwa amesema hayo leo tarehe 3 Februari...
  13. Damaso

    Tanzania Inapaswa Kujiondoa kama mwenyeji wa Afcon 2027

    Mwaka 2027, Tanzania, Uganda, na Kenya zitakuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon). Hata hivyo, maandalizi ya mashindano haya bado ni hafifu, na hadi sasa hakuna viwanja vya kiwango cha kimataifa vya kutosha kwa ajili ya mashindano makubwa haya. Katika hali hii, Shirikisho la...
  14. Waufukweni

    Gerson Msigwa: Ujenzi wa Uwanja wa AFCON Arusha wafikia zaidi ya 16%

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya Fainali za AFCON 2027 unaendelea vizuri licha ya mvua kubwa zinazonyesha na sasa umefikia 16% za...
  15. SSH2025_2030

    AFCON 2027 NI kutengeneza pesa!

    Wenye akili wameanza kujenga apartments, restaurants na sehemu za starehe (night clubs etc.). Wengine huko Lindi na Mtwara muendelee kulaumu tu
  16. fimboyaukwaju

    Afcon 2027

    Hivi kweli kuwa kenya wamenyang'anywa nafasi ya kuandaa hayo mashindano?
  17. chiembe

    Kwa jinsi Rwanda anavyojenga na kukarabati kwa kasi viwanja vyake vya mpira wa miguu, ni kama kuna kitu wanajua kitatokea kuelekea AFCON 2027

    Rwanda nadhani kuna nchi wameisoma inaweza kutema au kutemeshwa tenda ya AFCON 2027. Rwanda wanakarabati na kujenga viwanja kwa kasi kubwa sana. Juzi ninemsikia Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro, sikumuelewa, anasema iwanja wa taifa unaingiza watu karibu 60,000, lakini anasema wameagiza viti...
  18. Waufukweni

    Picha: Mwonekano mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha, utakaotumika kwenye michuano ya AFCON 2027

    Matukio mbalimbali katika picha wakati Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Methusela Ntonda alipokwenda kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha, wakati wa kikao kazi cha mwezi cha maendeleo ya mradi huo. Ntonda alikuwa ameambatana na...
  19. Pfizer

    Ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha utakaotumika kwenye Fainali za AFCON 2027 wafikia 11%

    UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA WAFIKIA 11% Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema anaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya Fainali za AFCON 2027 ambao hadi sasa umefikia 11% za ujenzi. Msigwa...
  20. Wizara ya Ardhi

    Samia AFCON City kuoamba Jiji la Arusha

    Arusha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi ametembelea eneo utakapojengwa Mji wa “Samia AFCON City” kwenye eneo linalozunguka Uwanja Mpya wa Michezo unaojengwa eneo la Mirongoine jijini Arusha. Waziri Ndejembi amefanya ziara hiyo Oktoba 03, 2024 kukagua eneo...
Back
Top Bottom