Search results

  1. Kyenju

    Wapi miss chagga!

    Habari za siku wapendwa! Siku nyingi ijaingia kwenye mtandao wetu pendwa, ila baada ya kuperuzi kwa siku kama tatu hivi kuna baadhi ya members sijawaona lakini kuna mmoja nimeshawishika kuzijua habari zake ''miss chagga''. Wapi miss chagga?
  2. Kyenju

    Bei ya vifurushi vya internet kwa sasa ni fashion

    Halotel nao ni kimeo.
  3. Kyenju

    Msaada, Mabasi ya kwenda Bukoba.

    Habari za usiku Wanabodi, Naomba kujuzwa ni Kampuni gani yenye mabasi mazuri yanayotoka Dar es salaam kwenda Bukoba na nauli yake imesimamaje. Natanguliza shukrani.
  4. Kyenju

    Ujenzi wa UKUTA unaendelea.

    Kwa hii speed inawezekana kufika 01/Sept. utakuwa umekamilika.
  5. Kyenju

    Wakazi wa Kigamboni, msaada wa shule nzuri ya english medium

    Wakaazi wa sehemu tajwa hapo huu, nafuta shule nzuri ya Englsh Medium kuanzia maeneo ya Mwembe Mtengu mpaka Kibada au mbele yake kidogo. Tafadhali mwenye kuifahamu anifahamishe.
  6. Kyenju

    Ni matatizo gani ya Kijamii wanayoyapata wananchi Mkoani au Wilayani mwako?

    Ndugu Wanabodi, Kwa kuwa Jamiiforums ni mtandao unaosomwa na watu wengi kuanzia Vijana, Watu wazima, paomoja na Wazee bila kuwasahau Viongozi wa siasa pamoja Kiroho. Kupitia uzi huu ningeomba tuhainishe matatizo wanayoyopata Wananchi wa kipato cha chini hasa vijijini, changamoto wanazozuipata...
  7. Kyenju

    Kweli Tanzania ya Viwanda tutaipata?

  8. Kyenju

    Msikilize Idi Amin Dada katika hii clip.

    Hivi ni kweli huyu jamaa alikuwa ni mkweli kama anavyosema? Ni kweli alikuwa anaongoza kwa kufuata maelekezo ya Mwenyezi Mungu?
  9. Kyenju

    Angalia Tekinolojia ya utengenezaji wa Robot inavyopiga hatua

    Humanlike robots may seem creepy, but some roboticists are betting they are the key to unlocking a future in which humans and superintelligent computers coexist, work alongside each other and even develop relationships. Two teams working to develop the most humanlike robots on the planet —...
  10. Kyenju

    Tujikumbushe huyu muimbaji- Sipho Mabuse

    Sipho Mabuse alizaliwa Jijini Johannesburg- Afrika ya Kusini tarehe 2 Novemba 1951. Alianza kazi ya Muziki mwaka 1970, akiwa na wenzake walikuwa wakiimba muziki wenye vionjo vya Kiafrika. Lakini baada ya Ziara yao yenye mafanikio makubwa nchini Zimbabwe, walirejea nyumbani na kubadirisha jina...
  11. Kyenju

    The 20 Worst Slums in Africa.

    Wenzetu Kenya naona wanaongoza. The 20 Worst Slums in Africa
  12. Kyenju

    Top 10 Tallest Buildings in Africa 2015.

    Top 10 Tallest Buildings in Africa 2015
  13. Kyenju

    Kuhusu mtoto haramu

    Leo ningeomba kupewawa ufafanuzi kuhusu mtoto haramu. Katika dini ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa huwa anaitwa mtoto haramu. Kwa hoja hii huwa napata maswali kadhaa, yakiwemo haya. 1. Je, hawa watoto haramu huwa wanaumbwa na Mungu (Allah). 2. Je, mtoto alizaliwa nje ya ndoa (haramu)...
  14. Kyenju

    Filamu: Lone Survivor

    Hii ni story inayoelezea jinsi wanajeshi wa Marekani walivyoenyeshwa na WATALIBAN kwenye milima ya Afghanistan.
  15. Kyenju

    Msaada Wakuu: Clean master inazuia tubemate kuingia kwenye simu

    Simu yangu imegoma kukubali kuinstall tubemate, kuna program ya Clean Master inazuia hii program isiwe installed. Hata nikijaribu kui uninstall haikubali kutoka, toka nilipo update to lollipop.
Back
Top Bottom