Kuhusu mtoto haramu

Status
Not open for further replies.

Kyenju

JF-Expert Member
Jun 16, 2012
4,632
1,773
Leo ningeomba kupewawa ufafanuzi kuhusu mtoto haramu.

Katika dini ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa huwa anaitwa mtoto haramu.

Kwa hoja hii huwa napata maswali kadhaa, yakiwemo haya.
1. Je, hawa watoto haramu huwa wanaumbwa na Mungu (Allah).
2. Je, mtoto alizaliwa nje ya ndoa (haramu), ambaye mamaye na babaye ni waislamu japo ni nje ya ndoa, huyu mtoto haramu akuwa ni mwislamu au siyo Mwislamu?

Karibu mnaojua hii kitu mnipe ufafanuzi.
 
hakuna mtoto haramu ,, kwanza kuni dhalilisha mtoto unapomwita haramu.. haramu ni wazazi waliomzaa
Ni udhalilishaji wa kukemewa kwa nguvu zote!! Shosti mie hakuna uharamu hata kwa wazazi maana baadhi ya hao watoto ndio huwa ndio wanakujaga kuokoa jahazi mbele ya safari. So eventually, unaishia kumshukuru Mungu aliekujalia kupata huyo mtoto, regardless of circumstances.
 
Wapi UISLAMU umemuita mtoto wa ZINAA kuwa ni Mtoto wa HARAMU?

Wagalatia km kawaida yenu mnaropoka bila kufikiri.

Na unapouliza Swali jaribu kushirikisha Kichwa japo siku moja.
Toka lini chanzo cha Kuzaliwa kwa mtoto kikahusishwa na Imani yake?

Kwaya na ulaji wa kiti moto vinawadhuru nyie.

Kitabu kilichotaja MTOTO WA HARAMU ni BIBLIA ambacho Kimepiga Marufuku Watoto hawa HATA Kuingia KANISANI (makutano ya Bwana) yeye na KIZAZI CHAKE CHA 10!!

Kumbukumbu la TORATI 23:1-2

1Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa Bwana.
2 MWANA WA HARAMU asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.

NA ktK UISLAMU kauli ya KUDHALILISHA Watoto wa nje ya ndoa Na KUWABAGUWA namna Hii HAKUNA hatta sehemu Moja.

MNashindwa Kuangalia Uchafu Uliomo Kwenu Mnakuja uliza Maswali ya kipuuzi hapa.

Makatonta watu wa ajabu sana.
 
Ni udhalilishaji wa kukemewa kwa nguvu zote!! Shosti mie hakuna uharamu hata kwa wazazi maana baadhi ya hao watoto ndio huwa ndio wanakujaga kuokoa jahazi mbele ya safari. So eventually, unaishia kumshukuru Mungu aliekujalia kupata huyo mtoto, regardless of circumstances.
ndiyo mkuu aisee ni kukosa kubwa sana
 
Kwahiyo (ALLAH) hahusiki kwenye uumbwaji wake tumboni mwa *****?
Kwahiyo (ALLAH) hahusiki kwenye uumbwaji wake tumboni mwa *****?
Kabla ya kuhoji uhusika wa ALLAH,kwenye suala la mtoto wa haramu unatakiwa utoe aya au hadithi inayowataka waislamu wawaite watoto wa nje ya ndoa watoto wa haramu.

Unalizungumziaje andiko la 23:2 kumbukumbu la torati?
 
Wapi UISLAMU umemuita mtoto wa ZINAA kuwa ni Mtoto wa HARAMU?

Wagalatia km kawaida yenu mnaropoka bila kufikiri.

Na unapouliza Swali jaribu kushirikisha Kichwa japo siku moja.
Toka lini chanzo cha Kuzaliwa kwa mtoto kikahusishwa na Imani yake?

Kwaya na ulaji wa kiti moto vinawadhuru nyie.

Kitabu kilichotaja MTOTO WA HARAMU ni BIBLIA ambacho Kimepiga Marufuku Watoto hawa HATA Kuingia KANISANI (makutano ya Bwana) yeye na KIZAZI CHAKE CHA 10!!

Kumbukumbu la TORATI 23:1-2

1Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika mkutano wa Bwana.
2 MWANA WA HARAMU asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.

NA ktK UISLAMU kauli ya KUDHALILISHA Watoto wa nje ya ndoa Na KUWABAGUWA namna Hii HAKUNA hatta sehemu Moja.

MNashindwa Kuangalia Uchafu Uliomo Kwenu Mnakuja uliza Maswali ya kipuuzi hapa.

Makatonta watu wa ajabu sana.
Mbona unatokwa na povu jingi? Haya maneno kila kukicha mnayatunia mitaani.
Hata wewe unatabia ya kutumia haya maneno (Mtoto wa Zinaa) kumaanisha kuwa ni mtu asiyefaa.
 
Kabla ya kuhoji uhusika wa ALLAH,kwenye suala la mtoto wa haramu unatakiwa utoe aya au hadithi inayowataka waislamu wawaite watoto wa nje ya ndoa watoto wa haramu.

Unalizungumziaje andiko la 23:2 kumbukumbu la torati?
Ndio
 
Mbona unatokwa na povu jingi? Haya maneno kila kukicha mnayatunia mitaani.
Hata wewe unatabia ya kutumia haya maneno (Mtoto wa Zinaa) kumaanisha kuwa ni mtu asiyefaa.
Tazama sasa mgalatia unavyoendelea kuropoka ovyo.
Hapo Juu umedai WAISLAMU wanaita watoto wa haramu.
Hapa unadai Unayasikia mitaani!

Make your mind up nincompoop.

Mimi nimekupa ANDIKO LAKO kutoka ktk BIBLIA LINALO LAANI WATOTO Waziwazi na Kuwapiga MARUFUKU kuingia hata KANISANI.

Umekaa kimyaaa! Manake maandiko km haya Huwa hamsomewi.
Mnachosomewa nyie ni ile Mistari ya kutoa Sadaka tu na Kunywa DIVAI ya bwana. Ili mkishalewa Mumnunulie Gwajima Gari la milion 200 wakati nyie mnashindia Mihogo mikavu.


Narudua kwa mara ingine UISLAMU HAUJAWAI kuita MTOTO Yyt kuwa HUYU NI WA HARAMU Lkn UKRISTO UMEWAITA WATOTO WA HARAMU SEHEMU NYINGI MNO KTK BIBLIA.

Ogezea na hili ANDIKO hapa la kudhalilisha WATOTO wasio na Hatia.

WAEBRANIA 12:8.

8.Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.

Sasa umeona eee!
Imani inayoita WATOTO WA HARAMU sio Uislamu bali ni UKRISTO.

Siku nyingine kabla ya kuanzisha Uzi jipange kidogo.
Sasa tazama Unavyo uharibu UKRISTO Mbele ya kadamnasi.
 
Leo ningeomba kupewawa ufafanuzi kuhusu mtoto haramu.

Katika dini ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa huwa anaitwa mtoto haramu.

Kwa hoja hii huwa napata maswali kadhaa, yakiwemo haya.
1. Je, hawa watoto haramu huwa wanaumbwa na Mungu (Allah).
2. Je, mtoto alizaliwa nje ya ndoa (haramu), ambaye mamaye na babaye ni waislamu japo ni nje ya ndoa, huyu mtoto haramu akuwa ni mwislamu au siyo Mwislamu?

Karibu mnaojua hii kitu mnipe ufafanuzi.
Ni tafsiri tu ya kiimani.....kwa Mungu na hata kibailogia hakuna kitu kama hicho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom