Hakuna tena wa kuwazuia kipiga Rafah... Duh Gaza ndio kwa heri tena.
Two Israeli hostages rescued during an overnight mission in Rafah.
During a joint operation between the IDF, ISA, and Israel Police, two Israeli hostages from Kibbutz Nir Yitzhak were rescued: Fernando Simon Marman (60) and...
Duh, pole sana... Kuna jamaa mmoja nilimuona nae alikuwa hivyo hadi nywele hazioti. Nikampa dawa moja ya Kimasai, inaitwa Oltemwai au Ndemwai... Akaja kunitafuta kwa shukrani. Tafuta hiyo dawa, ukikosa nitafute nikuuzie... Usisahau kuleta mrejesho.
Ungeweka na bei. Pia useme hiyo bei inahusisha au haihusishi nini.
Kwa mfano
Ninauza rozella kwa bei ya Tsh 5000 kwa kilo. Bei inajumuisha na gharama za kupeleka mzigo sehemu ya kutumia. Gharama za kutuma mzigo ni za mteja.
Au bei ni .... ukinunua kuanzia kilo... nitakutmia bure.
Mtu...
Kutokujua nafasi ya Israel katika mambo ya kiroho, siasa za dunia, na uchumi ni shida kwako na hao una waona wewe mazwazwa. Lakini kutokujua hakuondoi ukweli, kwamba Israel itabaki kitovu cha mambo ya kiroho, kisiasa na kiuchumi ya dunia. Na hii ikawe ishara kwamba yupo Mastermind nyuma kila...
Nisikilize....
Wewe kunywa vidonge vya Vitamin C, kama 100gm kila siku, kwa muda mwezi mmoja, unaweza kuendelea. Mkeo akishika mimba aanze progestrone tablets sio chini ya miezi mitatu ya kwanza.
Mungu sio mwanadamu, mtapata watoto. Kila la heri
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro.
Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini, ukiwa unaelekea Dodoma. Hilo eneo linajulikana kama Nguvu Kazi. Baadhi ya Majirani wameshajenga...
Habari za waungwana.
Pamoja na kuwa kuna msemo kuwa samaki mmoja akioza basi wote wameoza, inaweza ikawa tofauti.
Naomba kuuliza je, kuna wakati umekutana na afisa/askari wa polisi akakutendea kwa utu, heshima na huruma?
Kuna mifano mingi, ikiwemo kuwapa chakula mahabusu ambao huwa hawajaletwa...
Kinaweza kisimteme... lakini akafeli hadi kupiga factor matokeo ikashindikana. Lakini hata waibaji nafsi zinawasuta mtu kutoka pande zile akae pale juu.
Ukweli mchungu...
Hatachaguliwa, sio kwa sababu ya uongozi mbaya, au jinsia yake... lakini ni kwa sababu ya Uzanzubar wake... na hawa wanazidi kuchochea hilo. Time will tell.
Poleni sana... Kuna dawa ya Asili, nimetumia, Nina rafiki zangu kadhaa wametumia, imewasaidia sana. Huyu mwingine alikuwa amefanyiwa operation mara mbili. Lakini ametumia amepona kabisa. Kama bado hujapata msaada, unaweza kusema nikakutumia ujaribu. Pole sana
Unatembea kwenye nadahria yangu. Nahisi ni kweli Urio na Mbowe wameshawahi kusaliana na labda Urio ndio aliyempa Mbowe idea ya kuwa na walinzi. Akijua anatenda wema Kwa ndugu yake Mbowe lakini anawatafutia washkaji zake wanaoteseka mtaani kazi. Siamini kama alimaanisha kuwachoma. Ila katikati...
Ninavyoona Urio ni mhanga... Anatia huruma sana. Hasa pale Aliposema Kibatara kuwa hatokei kwake wala Hotelini. Nahisi anahitaji kuonewa huruma pia. Kwa alivyokuwa na ushikaji na hao washtakiwa wengine, anaonekana amelazimishwa. Namuombea kwa Mungu, ameyafanya haya kutunza uhai wake maskini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.