Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,110
- 2,735
- Thread starter
- #101
Nimeipokea bosiMronge ni bonge moja la dawa nishasikia kwa watu wengi sana ushuhuda wa mronge unatibu magonjwa mengi sana!!
Mtoa mada usipuuze hili!
Asante kunitia moyoKazini kwetu kuna dada ana huu ugonjwa
Ana miaka 27 na ana mtoto.
Hivyo matumaini yapo.
#YNWA
Bro Pole sana.Wakuu Salaam,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.
Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?
Nimenyongea kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Aishi maisha marefu IJN!!🙏
Pole brother, siku hizi damu za wazazi hupimwa ili kujua kama ni carriers kabla ya kuzaa ili wapate njia za kumlinda mtoto asipate shida hiyo.Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.
Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.
Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, nimeshudia pia.Atumie mlonge kwenye chakula. Kijiko Kimoja cha chai kwenye chai asubuhi, mchana achanganye kwenye mboga au juice na jioni pia. Itachukua muda ila atapona. Huu ni ushuhuda kwa watoto wa kaka yangu walikuwa nayo toka udogoni ila sasa hivi na boarding wanasoma.
Asante mkuuBro Pole sana.
Sina chochote cha kusema kuhusu huu ugonjwa ila kama mzazi naelewa unachopitia mana ni njia ambayo nimepita na ninaipita mpaka sasa
Mungu akupe nguvu. Imani yangu utapata suluhu tu siku moja
Asante kakaPole brother, siku hizi damu za wazazi hupimwa ili kujua kama ni carriers kabla ya kuzaa ili wapate njia za kumlinda mtoto asipate shida hiyo.
Nakusihi, nenda hospital utapata muongozo sahihi zaidi.
Ni sawa na mtu aliyezaliwa na ualibino, ukifuata maelekezo kila kitu kitakaa sawa
Usikute Mtoto wa mchepuko, documents zimechakachuliwaAsante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.
Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.
Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana usimtirie mashaka mkeo Kwa loloteAsante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.
Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.
Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ramli chonganishi hii.mtoto siyo wako, mbane mke atoe majibu
Pole sana mkuu. Fuata maelekezo ya wataalam na funguka kama hapa. Mbona mtafanikiwa tiba na kulea mtoto. All the bestWakuu Salaam,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.
Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?
Nimenyongea kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Akifanikisha kuvuka 20s ndio huwa unaishiwa nguvu kabisaPole.
Naona huku juu umeshapata ushauri wa kuweza kusaidia.
Hilo la DNA isiwe kipaumbele sana, mtoto ameshazaliwa kwako ni wako hasa kipindi hiki cha ugonjwa usianze kuweka maulizo akilini mwako.
Zamani walikuwa wakisema baada ya miaka saba huo ugonjwa unapungua nguvu.
Pia tafuta waombaji, hata akiwa anatumia dawa na maombi yawepo, Mungu anapenda watoto, atamponya.