Habari,
Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli. Ningependa kupata mawaidha kutoka kwenu ya nifanyeje ili nianze Pata mauzo.
Hivi ukiachana na maswala ya VPN coz huwaga yanazingua sana, Kuna njia yoyote nyingine ya kupata Free internet data.
Mwenye ujuzi aniuzie, nataka niifanye fursa
Nina ndoo zangu mbili magetoni, nilizibebanisha nikazifanya kiti kwa muda wa two weeks. Zote zilikuwa na maji yamejaaa. Saivi nafungua mifuniko zimegoma kata kata.
Nasolvuje hili tatizo?
Niko kwenye market research, Nataka nitengeneze application inayo offer service flani. Service gani inahitajika sana Tanzania ? Mwana JF mmoja kaniambia iwe ya ajira na Tenda
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo Mwanza. Sasa nataka nivute laki tano chapu kwenye mfuko wa mauzo yake, niipromote hii app na ndani ya...
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo Mwanza. Sasa nataka nivute laki tano chapu kwenye mfuko wa mauzo yake, niipromote hii app na ndani ya...
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo Mwanza. Sasa nataka nivute laki tano chapu kwenye mfuko wa mauzo yake, niipromote hii app na ndani ya...
Digital product ni vitu kama mziki, video, movie, games, documents au file lolote lile ambalo lina access Mtandaoni tu. Nataka nisakue watu 1000 wakununua Digital product ya 10k niingize hiyo 10M mfukoni [emoji23], wazungu mbona Hua wananunua kwa mbongo nitauza nn jamani ?
Kama unahitaji website kwa ajili ya Biashara yako au app kama vile za movie, mziki, kubet, social media na vingine vyote. Malipo ni baada ya kazi. Karibu 0692782826
Kama unahitaji website kwa ajili ya Biashara yako au app kama vile za movie, mziki, kubet, social media na vingine vyote. Malipo ni baada ya kazi. Karibu 0692782826
Kama unahitaji kutengenezewa website ya Biashara yako au website mbalimbali kama za mziki, movie, kubet, social media na vingine vyote. Wasiliana nami 0692782826 malipo ni baada ya kazi
Nilikua nauliza kama naweza pata Chumba maeneo ya upanga, posta au eneo lolote Karibu na chuo cha CBE. Kwa Tsh.100,000/Mwezi. Kama ikiwa ngumu, Basi Fremu yenye sehem ya Biashara na kachumba kadogo kwa ndani ambapo naweza lala
Nichek 0749220083
Labda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.