Ipo huduma ya bulk smsLabda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms .
Hata bila kumreport wanampiga BAN kwenye laini, hatoweza kutuma mpaka awapigie huduma kwa wateja au aende ofisini kwao na awe na maelezo yaliyo na mashiko..Kama hakuna mtu atakae kureport huwez kuwa scam
Airtel wana maximum sms kwa siku.. ukivuka limit, wanakupa banLabda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms .
Kuna limitLabda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms.
Hata bila kumreport wanampiga BAN kwenye laini, hatoweza kutuma mpaka awapigie huduma kwa wateja na awe na maelezo..
Naona makampuni mengi ni sio zaidi ya sms 500 per day.
Voda mwisho wa kuongea kwenye simu ni saa mbili, baada ya hapo inajikata kwahy unatakiwa kupiga tena.
Voda kupiga simu mwisho 2hrYes kuna limitation due to security reason.
Kupiga simu mwisho 1hr inakata.