Mitandao yetu ya Bongo ina limit ya kutuma SMS kwa siku?

Moviez Tz

Member
Nov 18, 2023
87
66
Labda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms.
 
Kama hakuna mtu atakae kureport huwez kuwa scam
Hata bila kumreport wanampiga BAN kwenye laini, hatoweza kutuma mpaka awapigie huduma kwa wateja au aende ofisini kwao na awe na maelezo yaliyo na mashiko..
 
Labda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms .
Airtel wana maximum sms kwa siku.. ukivuka limit, wanakupa ban
 
Labda kuna limitation ya kwamba mwisho kutuma sms kadhaa au labda kutuma sms nyingi sana kwa mda mfupi unaweza onekana suspicious ukablokiwa, nauliza hili swali labda kama unatak kufanya matangazo kwa njia ya sms.
Kuna limit
Zaidi ya hapo unafungiwa hadi uende ofisini kwao
 
Naona makampuni mengi ni sio zaidi ya sms 500 per day.

Voda mwisho wa kuongea kwenye simu ni saa mbili, baada ya hapo inajikata kwahy unatakiwa kupiga tena.
 
Hata bila kumreport wanampiga BAN kwenye laini, hatoweza kutuma mpaka awapigie huduma kwa wateja na awe na maelezo..
Naona makampuni mengi ni sio zaidi ya sms 500 per day.

Voda mwisho wa kuongea kwenye simu ni saa mbili, baada ya hapo inajikata kwahy unatakiwa kupiga tena.

Yes kuna limitation due to security reason.

Kupiga simu mwisho 1hr inakata.
 
Back
Top Bottom