Ipo hostel ila ni watu wawiliwawiliNilikua nauliza kama naweza pata Chumba maeneo ya upanga, posta au eneo lolote Karibu na chuo cha CBE. Kwa Tsh.100,000/Mwezi. Kama ikiwa ngumu, Basi Fremu yenye sehem ya Biashara na kachumba kadogo kwa ndani ambapo naweza lala
Nichek 0749220083
Basi uko vizuri, kama ungeweza kulipa chumba Cha laki 3 kwa mwezi mmoja sasa unashindwaje kuzoea hizo nauli ambayo hata laki 1 haifiki kwa mweziIngekua tunalipa kwa mwezi tungekaa hata vyumba vya laki 3 basi tu ni kuanzia miezi 6, mil 1+ kutoka kwa mara moja sio poa
😂Siku Ile nakwambia usiaply CBE ukaniona mi wa rorya Sana haya sasa kakae tegeta nyuki 😄
Sijasema nimeshidwa nauli, kiongozi uchovu, maswala ya kwenda na kurudi sio mchezo, wengine hapa wavivu. Weh! Nipe icho chumb cha laki3 niishi, hela nazo c zinatafutwaBasi uko vizuri, kama ungeweza kulipa chumba Cha laki 3 kwa mwezi mmoja sasa unashindwaje kuzoea hizo nauli ambayo hata laki 1 haifiki kwa mwezi
Naona kuna kitu hakipo sawa kidogo!!Sijasema nimeshidwa nauli, kiongozi uchovu, maswala ya kwenda na kurudi sio mchezo, wengine hapa wavivu. Weh! Nipe icho chumb cha laki3 niishi, hela nazo c zinatafutwa