Search results

  1. D

    Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, ufanye nini cha kuzingatia?

    Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua kuhakikisha kuwa unapata haki yako stahiki. Hapa kuna miongozo kadhaa: Thibitisha Malipo:Hakikisha kuwa unapokea malipo yote kama ilivyokubaliwa kwenye makubaliano ya fidia. Angalia kwa makini kiasi cha...
  2. D

    Kero gani umewahi kukutana nazo kwenye nyumba za kupanga?

    Watu kufungulia Sauti kubwa ya mziki na kusumbua majirani
  3. D

    Umewahi kuuziwa Ardhi mara 2, au kuuziwa eneo la uvamizi?

    Vizuri kabla ya kununua kiwanja au shamba ukawashirikisha wataalam, mbona mkinunua magari mnatafuta mafundi? uanogopa kutoa Tsh 50,000 wakati unatapeliwa milion 10? Karibuni Danvast Land and Property kwa Huduma ya kuhakiki eneo unalotaka kununua kabla hujatapeliwa tutakusaidia kufanya uchunguzi...
  4. D

    Mwongozo wa utoaji ardhi kwa raia- ardhi isiyomilikiwa kiasili

    (fungu la 24 - 30) UTANGULIZI Mwongozo huu wa umiliki kwa ajili ya raia wa Tanzania unatokana na fungu la 24 - 30 la sheria ya ardhi Na. 4 ya mwaka 1999. Aidha, ardhi inayoombewa milki inaweza kuwa kwenye mojawapo ya makundi yafuatayo kwa maeneo ya mijini hapa Tanzania. Ardhi inayotolewa...
  5. D

    Je, kwa hali hii Ardhi yangu imepotea?

    Ingawa umeeleza sio kwa undani sana, kuna maswali ya kujiulizakabla ya kwenda kokote 1. Je una hati miliki? 2. Je wakati unauziwa ulijiridhisha yeye ndio mmliki? 3. Je kuna viashiria kuwa huyo ndugu alikutapeli na hakuwa mwenye eneo? Kumbuka ukiuziwa eneo kwa kutapeliwa haimanishi wew ndio una...
  6. D

    Je, unajua hati yako ya kumiliki ardhi inaweza batilishwa akapewa mwingine?

    Je eneo lako limeshapimwa? Kama bad, mtaalamu wetu atafika na kufanya ukaguzi wa mwanzoni, ikiwa n pamoja na kujua kama pana mchoro wa mipango miji au laa, atafika na GPS. Halafu tutakushauri hatua za kufanya. Wasiliana nasi kwa 0742991105 au 0678880578 kwa ushauri zaidi.
  7. D

    Je, unajua hati yako ya kumiliki ardhi inaweza batilishwa akapewa mwingine?

    Katika muktadha wa ardhi na mali isiyohamishika, hati ya umiliki wa ardhi inaweza batilishwa au kubadilishwa mwenendo kwa mujibu wa sheria na mazingira fulani. Hata hivyo, mchakato huu unaweza kuwa na masharti na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika. Hapa kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza...
Back
Top Bottom