wanyamwezi family pande za tegeta. mpiga kinanda kamongo manjarino, alikuwa anapiga kinanda hata bendi ya jaguar. sasa hivi ni teja choka mbaya. anapiga debe stendi ya tgt kariakoo. muimbaji chipukizi dogo mau, naye ni teja na pia ni pusha pande za tgt. sheshi junior a k a kapita naye ni hivyo...
labda unisaidie nini0tofauti kt ya nchi ya ahadi na nchi ya asili.? Yakobo alipompiga mungu, huyu mungu alimuambia kuanzia leo taifa lako litaitwa israel. Kabla ya hapo hilo taifa lilikuwa linaitwaje?
mzee MOHAMEDI. naomba nikuambie jambo moja. kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi tuliyozaliwa darusalaam, na wale waliyokuja darusalaam. maneno na majibu kama hayo utayapata kwa wale waliyokuja darusalaam. sisi tuliyozaliwa na kukulia jijini darusalaam tunayajua na tumeyashuhudia mengi katika...
hilo libunge la kawe gwajima. mimi sitaki hata kulisikia. halina impact yoyooote, bora lirudi kanisani kwake kuendeleza na uongo wake wa ufufuo na uzima. nitashangaa sana kama 25 ataukwaa tena ubunge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.