Mjadala huru kuhusu Afrika ilipotoka, ilipo na inapoelekea

wailer hov

JF-Expert Member
Aug 30, 2018
280
394
Ndugu Wanajamii habari, karibuni sana kwenye mdahalo unaohusu historia ya Afrika ilipotoka, Ilipo na Inapoelekea.

Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel Chongolo
Siku: Jumapili 05/03/2023
Muda: Saa nane mchana
Chakula: Kitakuwepo kwa watakaowahi
Kiingilio: Bure, kwa Mtanzania na mzaliwa wa Afrika.
Mgeni(Foreigner) atalipia Shilingi 10,000/=

Karibuni sana wanaJamii.

IMG_20230224_093419_223.jpg
 
kwa sisi wa mikoani jeee, si mtupe nondo humu gumu kwenye forum.
 
Back
Top Bottom