wailer hov
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 280
- 394
Ndugu Wanajamii habari, karibuni sana kwenye mdahalo unaohusu historia ya Afrika ilipotoka, Ilipo na Inapoelekea.
Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel Chongolo
Siku: Jumapili 05/03/2023
Muda: Saa nane mchana
Chakula: Kitakuwepo kwa watakaowahi
Kiingilio: Bure, kwa Mtanzania na mzaliwa wa Afrika.
Mgeni(Foreigner) atalipia Shilingi 10,000/=
Karibuni sana wanaJamii.
Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel Chongolo
Siku: Jumapili 05/03/2023
Muda: Saa nane mchana
Chakula: Kitakuwepo kwa watakaowahi
Kiingilio: Bure, kwa Mtanzania na mzaliwa wa Afrika.
Mgeni(Foreigner) atalipia Shilingi 10,000/=
Karibuni sana wanaJamii.