Mwekezaji asema Vijana wa Singida ni Wavivu inamlazimu akachukue vijana wa Mwanza

Mwekezaji wa Shamba kubwa la alizeti huko Ikungi Singida amemwambia Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo kwamba Vijana wa eneo hilo ni Wavivu sana

Mwekezaji amesema hulipa ujira wa tsh 10,000 kwa siku so kwa wiki kibarua anapata 50,000 sasa hawa Vijana wa Ikungi wakishalipwa wanapotea hadi waishiwe

Hivyo imlazimu mwekezaji huyo awe anaagiza Wasukuma kutoka Mwanza ambao ni wachapakazi kweli kweli

Source ITV habari
Sema sio wavivu ni wajanja ukishalipwa unasubiri nini tena shambani wakati wewe shida yako ni hela.
 
huyo jamaaa ni ms*nge tuuu yaani anataka kuwafanya ndugu zetu maskini wa kumtumikia yeye??? sasa hivi ni masika ukalime shamba la mtu kuanzia asubuhi mpaka jioni alafu kwako nani atalima??? anataja elfu 10 as if ni hela kubwa sana kwa siku. shenzy type zake, akatafute hao manamba kutoka usukumani
Shenzi type zake😁😁😁
 
Hivi kipindi hiki ca msimu wa Kilimo , utampateje kijana mwenye akili timamu, umuajiri Kwa Sh. 10,000 Kwa siku , ilhali vijanqmida hii wanapalilianalizeti, mtama mahindi na wanalima viazi, wanaandaa mashaba ya viazi,
 
huyo jamaaa ni ms*nge tuuu yaani anataka kuwafanya ndugu zetu maskini wa kumtumikia yeye??? sasa hivi ni masika ukalime shamba la mtu kuanzia asubuhi mpaka jioni alafu kwako nani atalima??? anataja elfu 10 as if ni hela kubwa sana kwa siku. shenzy type zake, akatafute hao manamba kutoka usukumani
Hiyo elfu 10 unayoiponda kwa pale singida ni sawa na million moja. Mkoa wenu una dhiki ule sijawahi kuona..
 
Hiyo elfu 10 unayoiponda kwa pale singida ni sawa na million moja. Mkoa wenu una dhiki ule sijawahi kuona..

Elfu kumi singida unatoa mahali na inapokelewa kabisa, ni singida pekee jamaa yangu alitoa mahali ikabaki kama laki mbili eti baada ya mwezi Baba mkwe akaanza kumpigia jamaa kudai ile laki mbili iliobaki na akawa anafunga na safari kabisa kwenda kudai mahali iliobaki nikajua watu hawa wavivu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom