Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

View attachment 2525791
Haya mavyama yote yanatengenezwa na chama......
 
Hata kama wana azma hiyo sidhani kama watahamia hivi karibuni, jinsi Mdee anavyoupenda ubunge hawezi kuuwachia kizembe kizembe. Atahamia karibia na uchaguzi.

Uko sahihi, hakuna uwezekano wa Mdee kuhamia ACT kwa sasa maana bado ni mbunge, na hana uwezo wa kupata pesa nyingi nje ya madaraka. Ifahamike kuwa Mdee ni msomi wa vyeti, lakini hajawahi kufanya kazi ya elimu yake, na wala haiwezi.

Akina Mdee na covid wenzake kwa vyovyote watahamia chama kingine hasa hasa ACT, kwani sioni wakiweza tena kubaki ndani ya CDM kutokana na walichokifanya. Na ni haki yao kuhamia chama chochote. Wasiwasi wangu ni wao kupata mvuto nje ya CDM, kwani wengi wa wafuasi wao kwa sasa wameshaipuuza siasa.
 
Haya mavyama yote yanatengenezwa na chama......

Sio kweli, ni kwakuwa wanasiasa wengi wanapigania maslahi binafsi, na kwakuwa CCM ndio imeshika hazina basi inapotokea kwenda kwenye maslahi lazima wakutane na CCM, hapo inaonekana CCM ndio wapanga mipango. Ngoja CCM itoke madarakani uone kama watapata sifa hiyo ya kudhania.
 
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

View attachment 2525791
hatimaye wametafutiwa hifadhi
 
Wewe na Raia Mwema ndio wajinga na malimbukeni. Kwani Mdee akihamia ACT - Wazalendo kinakuuma nini? Mbona Lissu anaunga mkono ushoga na hawaandiki?
Hawaandiki propaganda za kitoto zinazoendeshwa na chama cha majizi ya kura huku mitandaoni. Huo uzushi wa kitoto kuwa Lisu ana support ushoga, kaandikeni kwenye gazeti lenu la uhuru linalosomwa na wazee.
 
itahakikishwa Chadema na ACT wana nguvu zinazokaribiana ili kurahisisha mchakato wa Katiba mpya huko mbele ya safari

Chadema wakitaka kususa wahisi nafasi yao itachukuliwa na ACT na ACT wakitaka kususa wahisi nafasi yao itachukuliwa na Chadema

Znz huko ACT ilitishia kujitoa kwny Serikali ya umoja wa kitaifa ikakumbushwa CUF ya Nguli wa uchumi Duniani inasubiria hiyo chance, mkijitoa ombwe linajazwa

huku bara Mbowe ilibidi ajiongeze ili chombo kisiende mrama

Chadema wakigomea uchaguzi Mkuu ujao (ngumu sana kugomea ) ACT inaingiza Team na kina Mdee wanapewa majimbo kazi inaendelea, vivyo hivyo kwa ACT visiwani, ikigomea Prof anaingiza basi lake kinyume nyume
 
CHADEMA wanashtukiana wenyewe kwa wenywe...

...na wao kuwaita wenzao walioipaisha CHADEMA covid-19 hususani kwenye suala hili, yaani TETESI za wao kuhamia ACT...basi inadhihirisha yale ya boss wao, kuwa wana propaganda za kitoto!
Yote tisa, angalau watakuwa na wengine wa kuwadhihaki kwa muda kabla hawajarudi kuanza kuvua sanda za wafu!
 
Hawaandiki propaganda za kitoto zinazoendeshwa na chama cha majizi ya kura huku mitandaoni. Huo uzushi wa kitoto kuwa Lisu ana support ushoga, kaandikeni kwenye gazeti lenu la uhuru linalosomwa na wazee.
Ukweli unabaki kuwa ukweli hata uupinge vipi. Ndio maana Waingereza wana msemo, "If it walks like a duck, cries like a duck and resembles a duck, it's always a duck"!
 
Mimi ni jiniasi wa matukio ...ksma ni kweli wanajiunga ACT basi huo utakuwa mwisho wao kisiasa bora hata wangebaki chadema ...kama wangekuwa na akili basi walitakiwa wajiunge na chama chochote kipya au chama kidogo, au bora wangejiunga NCCR MAGEUZI
Wewe wa kumfundisha Siasa Halima James Mdee Mbunge wa vipindi vinne mfululizo, Mbunge wa viti maalum, Mbunge wa Jimbo wa kwanza Mwanamke wa jiji la Dsm kutokea upinzani, mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chama kikuu cha Upinzani, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa, Mwanasheria nguli aliesomea ndani na nje ya Nchi na kubwa zaid ni 'Mzalendo' tangu akiwa Udsm.

ikiamriwa arudi ndani ya Chadema na Chadema wamteuwe kuwa Mbunge itafanywa hivyo,

Zitto tangu 2009 ilipotangazwa ni msaliti, anatumiwa na Ccm, n.k lakini bado 2010 iliamriwa Chadema imeteuwe agombee Kigoma kaskazini na akagombea na pia Chadema ikafanywa kwny vikao vyake vya ndani baada ya uchaguzi wa 2010 kumteua Zitto kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ikamteua

This is united republic of Tanzania
 
55CB2AB3-6CA6-4298-8846-341B67E49403.jpeg
 
Back
Top Bottom