Hata asiposhinda uchaguzi cha msingi atakayeshika nchi ampe supportPutin Ni miongoni mwa big fishes in the world ngoja tuone itakuwaje, labda alazimishe kushinda uchaguzi unaofuata alafu asitoke nje ya mipaka ya Russia
Haya!Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.
=====
Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.
View attachment 2555625
Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
Walitaka kuwashutumu usa kwa kuua watoto Afghanistan wakanyamazishwaICC ni 🚮
Hakuna WW3 unafikiri Putin atakubali akamatwe na kudhalilishwa kama Sadam Hussein au Gadafi 🤣🤣🤣!Mkuu; Hakuna cha WW3. eneo la mapigano (frontline) itakuwa wapi? Urusi ndiye anayepigana na Mataifa hayo ambapo kwa sasa au hivi punde watakuwa ndani ya nchi ya Urusi. Akijichanganya basi atabomoa miundombinu yake mwenyewe, ataua raia wake mwenyewe yani atajiangamiza mwenyewe. Ni kama tuseme nyuki amepenyeza na kuingia ndani ya shati lako. Huwezi kumpiga au kumwua bila kujipiga kibao/kofi ww mwenyewe. Mrusi ameshasogezwa hadi kwenye kona. Ana shida ya Silaha, Askari, Mamluki wake ameshapishana nao (hawako tena in good terms), kuna askari wanagoma kuingia vitani, kuna vitendo vya hujuma vinavyo fanywa na makundi hasidi ndani ya Urussi. tTuseme tu kwamba kiukweli Putin inavyoelekea ana wakati mgumu sana.
Al bashir alidakwa na ICC au alidakwa na wanajeshi wake?
Teh mrusi mwenyewe anawashangaa maana hio mahakama hata haimhusuNi shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Unajua inapotokea kwamba umetuhumiwa kwa jambo baya halafu na ukawa unatafutwa ukamatwe ili upelekwe mbele ya Shera ukajibu Tuhuma(Sio hoja), inakuwa kama umepigwa Laana fulani hv. Mambo yako na mipango yako inakuwa haiendi tena vizuri. Hili unaweza kuliona vizuri linapokuwa ngazi ya Jamii kwamba kuna mtu ana RB yako na unafuatiliwa na Polisi au hata mgambo tu Inakuwa kama balaa fulani hivi. Unakosa amani rohoni mwako na unaona kama watu wote sio wema tena kwako.Hakuna WW3 unafikiri Putin atakubali akamatwe na kudhalilishwa kama Sadam Hussein au Gadafi 🤣🤣🤣!
Kita happen.
Teh mrusi mwenyewe anawashangaa maana hio mahakama hata haimhusu
Ama! hivi kumbe kama ww sio mwanachama hiyo kitu haikuhusu? Tutajifunza kitu hapo. Ngoja tutaona.Sasa wanatoaje amri wakati yeye si mwanachama wa ICC USA, RUSSIA na INDIA sio wanachama inakuwaje hapo
Urusi,usa na china ni miongoni mwa nchi ambazo haziitambui hyo mahakamaHahaha urusi kashaanza mchakato wa kujitoa kwenye hiyo mahakama uchwara.
Jicho la TaiThey’re going to be nuked very soon. Mlioko USA na Europa mjiandae, pia nadhani kuna umuhimu wa kuweka akina ya chakula na fedha. Hali ya dunia inaenda kuchafuka.
Kazi sasa ndio imeanza ukisha wekewa hati ya kukamatwa maana yake huna thamani ktk jamii na Taifa lako. Wachambuzi wa mambo wanasema Putin. Mwenyewe anajuwa siku zake zipo ukingoni kama all Dictator.Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.
=====
Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.
View attachment 2555625
Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
ahsante. lakini nahc kama haujajibu vizuri suali languOk nitajaribu kukufafanulia licha ya kuwa unaweza tafuta bibli ukasoma maana zipo hadi play store....
Hapo awali kulikuwa na mcha Mungu Ibrahim (abraham) siyo taifa, alikuwa na mke wake Sarah aliyefikisha hadi miaka 70 bila mtoto ila mwenyezi akamjalia akapata mtoto Isaka (Isaac), naye akampata watoto Yakobo (Israel) na Essau ndipo Israel ikazaliwa baada ya mchuano unaoufahamu wewe...
Hahaahahaaaa,Moscow wameiita hiyo warrant ", meaningless"!
Hiyo warrant mpaka Putin anaingia kaburini haitafanya kazi!