Wafahamu Wavuvi hawa Mashuhuri waliokuwepo kwe Noti ya Shilingi Mia Mbili

Teko...
Mpashaji wangu kanieleza:
"Waziri akaniambia inanihitaji tusafiri pamoja twende Ulaya ya Mashariki kuna kozi inafungwa na sisi tumealikwa kwenye ufungaji.

Basi mimi na Waziri wangu tumekwenda.

Nilipata mshtuko mkubwa sana.

Katika kundi lile lililohitimu kozi ile niliwaona jamaa ambao mimi wakiniuzia samaki pale Ferry."
Ulipo tupo

Zamani watu wengi wa Idara walifanya kazi yao kuwa weledi mkubwa pasi na kujulikana. Siku hizi wanakunywa Bia na kuweka zana zao za kazi mezani huku wakijitapa
 
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.

Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.

Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.

Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.

Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.

Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.

Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.

View attachment 2549333

My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Kama umetumia hiii pesa na bado ujaoa au ujaolewa au una mtoto jipange kabla ujapangwa
 
mzee MOHAMEDI. naomba nikuambie jambo moja. kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi tuliyozaliwa darusalaam, na wale waliyokuja darusalaam. maneno na majibu kama hayo utayapata kwa wale waliyokuja darusalaam. sisi tuliyozaliwa na kukulia jijini darusalaam tunayajua na tumeyashuhudia mengi katika machache unayoyasimulia. wengi wanaokupinga, ukiangalia uzao wao unaanzia miaka ya 90 kuja 2000. hawana walijualo ktk unayoyasimulia. tena huko mashuleni, wengi wao walikuwa wanakaa madawati ya nyuma. lakini kwavile wanamiliki smartphone, wana haki yaku....... wanachokiamini
Mjomba...
Taratibu tutasomeshana.
Hekima na upole ni muhimu sana.
 
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.

Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.

Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.

Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.

Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.

Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.

Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.

View attachment 2549333

My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Mfumo Kristo uliwafifisha WaIslam Mohamed Said hadi waefeso wakatiwa katika fedha zetu.
 
Teko...
Mpashaji wangu kanieleza:
"Waziri akaniambia inanihitaji tusafiri pamoja twende Ulaya ya Mashariki kuna kozi inafungwa na sisi tumealikwa kwenye ufungaji.

Basi mimi na Waziri wangu tumekwenda.

Nilipata mshtuko mkubwa sana.

Katika kundi lile lililohitimu kozi ile niliwaona jamaa ambao mimi wakiniuzia samaki pale Ferry."
Hao jamaa walikuwa majasusi ?
 
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.

Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.

Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.

Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.

Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.

Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.

Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.

View attachment 2549333

My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Nyerere wale wazee wazee Waswahili/ Wamakonde wa Msasani pale alikuwa anakaa nao anacheza nao bao majirani zake.

Na wale walikuwa wanampa stories nyingi sana za mtaani maisha yanavyoendelea, alikuwa anapata nafasi ya kusikiliza maisha yanavyokwenda bila kutegemea washauri wake tu, ambao wengine walikuwa hawajui maisha ya mtaani yanavyokwenda, au walikuwa wanajua lakini wana interests zao tofauti hivyo wanamficha mambo rais.

Ilikuwa ni njia yake moja ya ku bypass officials channels za kupata habari.

Kuna wakati kulikuwa na mgogoro wa ardhi pale, matajiri wakataka kununua ardhi wawaondoe wale wazee, Nyerere akasema hawa wazee wengine wamenikaribisha hapa nimewakuta, waacheni.

Na pale Msasani kuna wavuvi wengi tu.

Kwa hivyo siwezi kushangaa habari hizi.
 
Endelea kubwabwaja tu ukifikiri darusalaam au kuzaliwa huo mji ndio kila kitu nchi hii.
mzee MOHAMEDI. naomba nikuambie jambo moja. kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi tuliyozaliwa darusalaam, na wale waliyokuja darusalaam. maneno na majibu kama hayo utayapata kwa wale waliyokuja darusalaam. sisi tuliyozaliwa na kukulia jijini darusalaam tunayajua na tumeyashuhudia mengi katika machache unayoyasimulia. wengi wanaokupinga, ukiangalia uzao wao unaanzia miaka ya 90 kuja 2000. hawana walijualo ktk unayoyasimulia. tena huko mashuleni, wengi wao walikuwa wanakaa madawati ya nyuma. lakini kwavile wanamiliki smartphone, wana haki yaku....... wanachokiamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom