Habari za muda huu,
Niende kwenye kichwa cha thread, naona mkataba wa bandari utakua na faida nying sana mfano Kuongezeka kwa biashara ya Tanzania na nchi zingine Africa, hii na baada ya upanuzi wa bandari na kufanya meli kubwa zaid za mizigo kufika hapa hapa direct itafanya waafrika wengi nchi...
Chakula bora ni muhimu kwa afya ya akili ya mtoto. Lishe inayofaa ina jukumu kubwa katika maendeleo ya ubongo wa mtoto, ambao unaweza kuathiri kumbukumbu, umakini, na uwezo wa kufikiri. Chakula bora kinaweza pia kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya akili kama vile unyogovu na ugonjwa wa...
Do we have tanks no!
Do we have industry no!
Do we have advanced military no!
Do we have missile no!
Do we have money no!
Africa you should mind your own business and focus on economic independence.
Za weekend guys,
Niende kwenye mada wenye ndoa mbona wanateseka sana yaani unaoa then kupewa mbususu unaanza kuomba tena mara hadi umpe vizawadi sasa mtu unaolewa ili iweje?
Habari za muda huu:
Niende kwenye mada kabisa hivi mbona mimi kila siku stress za mizigo. Daah, biashara ni ngumu sana yaani. Mwezi huu nafurahi mwezi ujayo naanza stress yaani, hasa hizi za kuagiza nje cargo zinasumbua.
Msaada anae jua cargo nzuri nishachoka. Biashara za stress yaani, nawaza...
Nlikua naona urusi atashinda ila kwa hii stage aisee marekan n dubwan kubwa kabisa ambalo huwezi kushindana nalo kabisa wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji jana ICC wametoa amri akamatwe yaan anaishi kama digidigi biden alienda had uwanja wa vita ila putin hajaenda...
Katika harakati zangu nilikua naamin mtu ili afanikiwe na asiwe na changamoto lazma apitie magendo waganga n.k hii ilitokana na changamoto nilizo kua napitia kila ninacho fanya napata hasara kumbe maisha n process mambo huwa yanakuja kukaa vizuri.
Maskin tuache kuchukia watu walio fanikiwa na...
Niende kwenye mada
Maisha yang yote nimekua nikichunguza mamb haya ya uchawi waganga cha ajab mpaka leo sjawah kuyashuhudia nilienda kwa wataalamu kadhaa lkn kila ukienda mara wanakuambia mungu atasaidia ukitoka matokeo hakuna wanaanza kukwambia vitu huwa vinaenda taratib taratibu miaka na miaka...
Habari guys
Kuna kitu watu wengi huwa hawakisemi ila kwa utafiti wangu na bado najiuliza kwanini watu huwa hawakisemi
kufanya kazi kwa kuaminianaau makubaliano.
Unafanya biashara na watu unawapa pesa kisa unawaamnini no contract itakufanya uhisi unamikosi kila siku maana utavuna maumivu na...
Eti ndugu waislam wenzangu asalaam Aleykm,
Yaani kiumbe kimetengenezwa kwenye moto halafu tena kinarudishwa kwenye moto! Hii adhabu ya moto kwa majini naona haiwezi waumiza chochote.
Yaani wao wamepewa uwezo kuliko sisi halafu sehemu ya kuadhibiwa inafanana na sisi viumbe tusio na uwezo mkubwa?!
Habarin guys,
Najiuliza ikiwa Rais ama viongozi wa duniani wanakuwa wana muda wa kupitia kero za wananchi na hata kuongea nao na kuangalia sheria ambazo zimepitwa na wakati ila Mungu hana huo muda kabisa.
Hii inadhihirisha binadamu ni werevu kuliko Mungu? Kama Mungu hana ratiba ya kuja hata...
Kumekucha wana Jf,
Najiuliza tu hivi Mungu alisema wapi ukitaka kuandika jina lake uweke herufi kubwa mfano Mungu ukiandika mungu utakosolewa vibaya mno mungu anatetewa na binadamu kuliko anavyojitetea yeye
Za kazi wana Jf
Yaan nimekua nalichukia neno Mungu mtu akilitaja yaan hata awe anaongea point akiingiza neno MUNGU tu naona ameshaharibu kila kitu kwa sababu kiuhalisia mungu ndo shetan mwenyewe ukiwaza logically
Morning guys,
Lengo la kuandika hii nimepitia uzi mmoja jamaa anasema wanawake hata kazi wakifanya hela yao huioni, sasa maana ya 50/50 wanaidai vipi hawa wanawake?
Ili 50/50 iwe applicable wanawake mnatakiwa muanze na nyie kulipa bills za nyumbani kama mwanaume anavyotoa kama ni kodi 50/50...
Habari wadau,
Nimefanya uchunguzi na kuona masikini sisi ni watu ambao tuna muda mwingi wa kuongea yaani story sisi haziishi nyumbani utakuta watu wamekaa wanaongea mara kwenye simu mtu anaongea masaa halafu hana ishu ya muhimu ya kuongea marafiki zangu wenye pesa muda mwingi wana kazi yaani...
Hello guys nlikua najiuliza system ya umbaji kila kiumbe kinatengeneza kitu bora kuliko yeye angalia binadam tumeweza kutengeneza gari ndege redio simu vitu vinavo weza kufanya mambo mengi kuliko sisi hivyo hata Mungu huenda ametengeneza binadam ambao tunauwezo kuliko yeye.
Habari guys,
Hizi tozo sjui znafanya nini. Bima ya toto afya imeondolewa; hivi mama Samia anatonaje? Inapaswa tupate chama kingine kituongoze. CC mimi basi tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.