Bima ya afya ya mtoto imeondolewa rasmi

Muccigang

JF-Expert Member
Apr 9, 2022
1,293
1,870
Habari guys,

Hizi tozo sjui znafanya nini. Bima ya toto afya imeondolewa; hivi mama Samia anatonaje? Inapaswa tupate chama kingine kituongoze. CC mimi basi tena.
 
Kama ni mabaya yoyote yanafanyika sio yeye ni watendaji wake..., ila kama kuna zuri lolote hata lile ambalo hatulifahamu tafadhari tueleze ili tuongeze kwenye sifa zake za kuupiga mwingi
 
Tatizo kubwa la hizi taasisi za umma uwa zinakulupuka kuanza kutoa huduma fulani bila kufanya utafiti baadaye wakiona wamezidiwa wanasitisha huduma na matokeo yake watu wanalalamika.
 
Back
Top Bottom