Todays wealth is not found in things like land and such, its in KNOWLEGDE, maarifa, na hii ndio watanzania hawana, kuwa na ardhi, maji hakuwezi tu kukufanya uwe tajiri, maarifa ndio inaongoza dunia siku hizi, na watanzania wengi ELIMU BORA hawana, hio ndio tatizo namba moja
Natarajia mko wazima wakuu. Naomba musaada, kama kuna mtu ambae ametoka mkoa wa njombe na iringa tafadhali niadikia,niko na mambo muhimu sana nataka kujua toka njombe na iringa. Natangulia shukrani wakuu.
Habari wakuu, natarajia kila moja wenu ako salama. Nimekuja kwenu nikitaka msaada kaa zile kichwa kinajieleza, ningetaka kujua ni mikoa au wilaya gani zinakuza ngano kwa wingi au ina ardhi ambayo ngano inaweza kuzwa kwa wingi?
Nitashukuru sana kwa msaada wa majibu huyu wapenda, natanguliza...
ambie marafiki, jamaa na watu wa ben saa nane, azory gwanda na wengine wengi ambao waliuawa na huyu katili wa ajabu magufuri, mimi ni mkristo lakini nashukuru mungu kwa kumuondoa huyu muuaji na kumutupa kwa shetani, magufuri hakuwa na tofauti na shetani
Germany former chancellor, angela markel, ameolewa, alikuwa mkuu wa taifa lenye uchumi mkubwa europe, na alikaa madarakani miaka 16, na bado ako poa na mume wake, sasa hao wetu wa bongo na tujivisenti twao, wanajiona wakuu sana, hawana lolote,ni ujinga tu kufikiria hela tu ndio inahitajika...
Nawasalimie yote kwa jina la muungano wa jamuhuri ya tanzania, kaa kichwa kinaposema, naomba msaada kwenu wakuu, je ni mikoa gani au wilagi gani ukulima wa pamba (cotton) uko kwa wingi sana hapa nchini.
Natanguliza shukrani zangu.
Asanteni sana,
Mimi wenu, dr tajiri tumbo kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.