Hadi sasa Simba anaongoza, tuendelee kupeana updates.
Credit: Azam tv
Haya ni matokeo ya 05/06/2022 saa tatu kamili usiku.
06/06/2022 saa 8.00 asubuhi
Tarehe 06/06/2022 saa 7.00 mchana
Saa 3.00 usiku tarehe 06/06/2022
07/06/2022 saa 2.50 asubuhi.
07/06/2022 saa 5 asubuhi...
Baada ya "semaji" kuvurugana na Barbra sasa ni zamu ya Kassim Dewji.
“Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao. Bodi haina nguvu ya kuwawajibisha waajiriwa wao. CEO wa Simba ni kama yupo juu ya Bodi kwa sasa” Kassim Dewji Mjumbe wa Bodi ya Simba SC
#EFM
Kuna shida pale Simba Sc...
Tetesi ni kua kuelekea mwisho wa mkataba wa udhamini wa miaka mitano kati ya Simba Sc Tanzania na kampuni ya kubet Sportpesa ni kwamba Simba Sc ipo kwenye mazungumzo na TIK TOK kuja kuwa mdhamini mkuu wa klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi.
Amani ya Mungu iwe nawe.
Naomba kufahamishwa sifa ya kujiunga na chuo kinachofundisha Plant Mechanics pia vinapatikana mikoa gani kwa hapa Tanzania.
Asante.
Habari wanamichezo.
Kwa miaka ya hivi karibuni tangu kurejea kwa michuano hii ya F.A. Tanzania bara, nimeiona haina tija kwa soka la Tanzania bara sana imekaa kufaidisha kikundi cha watu wachache.
Sababu kubwa inayonifanya niamini hii michuano ipo "kimchongo" zaidi ni upangaji wa droo wa mechi...
Amewahi kuhudumu Sahara Media & Azam Media
Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki.
Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano. #NguvuMoja
Kila nikimtizama Rally Bwalya najiuliza kwanini Shiboub asisajiliwe kuziba nafasi ya Bwalya? Yule Msudani amemzidi kila kitu huyu dogo mzambia.
Uzi tayari.
#TotalEnergiesCAFCC
Grp A
Pyramids FC
CS Sfaxien
Zanaco FC
Ahli Tripoli
Grp B
JS Kabylie/Royal Leopards
Orlando Pirates
JS Saoura
Al Ittihad SC
Grp C
TP Mazembe
Cotonsport FC
Al Masry SC
AS Otoho d'Oyo
Grp D
RS Berkane
Simba SC
ASEC Mimosas
US Gendarmerie
Nimekua namfuatilia sana Waziri mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa, kauli zake nyingi zimekua vice versa.
Je anapokua anazitamka hua yupo siriazi au anatania?
Mfano kauli yake ya mwisho hivi karibuni ni kwamba "Watanzania Milioni 24 wameajiriwa."
Nyingine ile "Tanzania tuna nafasi kubwa ya...
Takribani wiki karibia 5 Clouds fm, wiki 2 RFA na Star tv siku ya 2 hawarushi matangazo baadhi ya mikoa.
Tatizo nini hali hii, wahusika kupitia mitandao yao ya kijamii hawatoi taarifa yoyote kutopatikana matangazo baadhi ya mikoa nchini!
Ukizoea vya kunyonga...
Baada ya kusota kwa muda mrefu wakiwa Ligi daraja la kwanza hatimaye wakapanda Ligi kuu Tanzania bara maarufu kama NBC PREMIER LEAGUE (Ligi yetu kivyetu vyetu).
Misimu waliyocheza Ligi daraja la kwanza Geita Gold FC walitumia viwanja viwili, kimoja ni cha Shule ya...
Nawaza sana John Bocco anachezeshwa Simba na kuitwa Taifa stars kwa kiwango kipi?
John Bocco huyu wa sasa ambaye hata kutuliza mpira imekua kazi kwake.
John Bocco huyu kupiga shuti kwake ni changamoto sana afu unategemea akufungie magoli?
John Bocco huyu anamuwekaje benchi Reliant Lusajo au...
Inawezekana leo Oktoba 7, 2021 waarabu wa Saudia wakainunua Newcastle United.
Uwekezaji unategemewa kua mkubwa zaidi ule wa City, hii italeta vita kubwa sana kuwania nafasi 4 za juu kushiriki UEFA.
Tutegemee kua na Top 7 au tutabaki na Top 6?
Habari wanamichezo!
Ndani Sports extra ya clouds fm kila ijumaa kulikua na kitu kinaitwa "NGUMU KUMEZA".
Mtangazaji wa clouds ninaye mfahamu kwa jina moja la Adamu alikua akisoma makala za ngumu kumeza zilizoandaliwa na Farhan Kihamu.
Kiukweli huyu Farhan Kihamu ni mwandishi mzuri sana wa...
Soka letu la Tanzania bara (Tanganyika) linahitaji uwekezaji (wawekezaji).
Ila mwekezaji kama Mohammed Dewji (Mo Dewji) hawatakiwi kabisa kwenye soka letu, hawafai wanatufedhehesha sana.
Kwa ufupi sana...
"Who feeds you, control you".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.