Hata mm nina cku ya pili no star tv! Hadi mida hii nimeamua kuangalia tuu channel ten ! Sina namna.Takribani wiki karibia 5 Clouds fm, wiki 2 RFA na Star tv siku ya 2 hawarushi matangazo baadhi ya mikoa.
Tatizo nini hali hii, wahusika kupitia mitandao yao ys kijamii hawatoi taarifa yoyote kutopatikana matangazo baadhi ya mikoa nchini!
OoojhooHata mm nina cku ya pili no star tv! Hadi mida hii nimeamua kuangalia tuu channel ten ! Sina namna.
Hata mm nina cku ya pili no star tv! Hadi mida hii nimeamua kuangalia tuu channel ten ! Sina namna.
Uko kwa 40's au una akili za kizee zee hivi?Hata mm nina cku ya pili no star tv! Hadi mida hii nimeamua kuangalia tuu channel ten ! Sina namna.
Za chini ya kapeti ni kuwa vyombo vingi vya habari vinapumulia mashine, Hakuna matangazo ambazo wengi ndio hutegemea ili kuendesha kampuni. Ndio maana mnaona vyombo vya habari wanachezesha kamali na kupunguza wafanyakazi. Kutopatikana mikoa mingi ni kuwa wanashindwa kulipia Minara ya kila mkoa.
Tuwapeleke matangazo wapate pesa. Kila kitu kinahitaji pesa.Aiseee inasikitisha sana,Sipati starTv tangia Jumamosi ,nilitaka kuweka Tuongee asubuhi ikabuma,usiku nikataka niweke MS Chief Odemba napo olaa ,leo nataka niweke BBC hola nataka niangalie The Big Agenda napo olaa!
Hata hawaseme jamani kulikoniTuwapeleke matangazo wapate pesa. Kila kitu kinahitaji pesa.
Vife kabisaaaa,vimechelewa sana.Za chini ya kapeti ni kuwa vyombo vingi vya habari vinapumulia mashine, Hakuna matangazo ambazo wengi ndio hutegemea ili kuendesha kampuni. Ndio maana mnaona vyombo vya habari wanachezesha kamali na kupunguza wafanyakazi. Kutopatikana mikoa mingi ni kuwa wanashindwa kulipia Minara ya kila mkoa.
Tunamiss Dira ya DuniaTakribani wiki karibia 5 Clouds fm, wiki 2 RFA na Star tv siku ya 2 hawarushi matangazo baadhi ya mikoa.
Tatizo nini hali hii, wahusika kupitia mitandao yao ya kijamii hawatoi taarifa yoyote kutopatikana matangazo baadhi ya mikoa nchini!
MKUU DIAMOND HUYO NA WASAFI YETU NDO AMEHUSIKA,MAANA SIKU HIZI KILA TUHUMA ANAPEWA YEYE
Matangazo siyo hisani, tutapeleka matangazo pale tunapoona yatawafikia walengwa. Muhimu waboreshe vipindi na muonekano/usikivu wa matangazo yao.Tuwapeleke matangazo wapate pesa. Kila kitu kinahitaji pesa.
Kwani WASAFI na CLOUDS si ni baba mmoja na mama mbalimbali...MKUU DIAMOND HUYO NA WASAFI YETU NDO AMEHUSIKA,MAANA SIKU HIZI KILA TUHUMA ANAPEWA YEYE