Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Nimekua namfuatilia sana Waziri mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa, kauli zake nyingi zimekua vice versa.
Je anapokua anazitamka hua yupo siriazi au anatania?
Mfano kauli yake ya mwisho hivi karibuni ni kwamba "Watanzania Milioni 24 wameajiriwa."
Nyingine ile "Tanzania tuna nafasi kubwa ya kucheza World Cup Qatar"
Nyingine nadhani mnazikumbuka hasa ile "mnataka azurule Kariakoo..."
Waziri Mkuu hatukuamini tena
Je anapokua anazitamka hua yupo siriazi au anatania?
Mfano kauli yake ya mwisho hivi karibuni ni kwamba "Watanzania Milioni 24 wameajiriwa."
Nyingine ile "Tanzania tuna nafasi kubwa ya kucheza World Cup Qatar"
Nyingine nadhani mnazikumbuka hasa ile "mnataka azurule Kariakoo..."
Waziri Mkuu hatukuamini tena