Ha Ha Ha Ha Ha umenichekesha sana mkuuWanayanga mavi yanagonga chupi.
Mtajinyea muda si mrefu.
Umetumia takwimu gani?Kila nikimtizama Rally Bwalya najiuliza kwanini Shiboub asisajiliwe kuziba nafasi ya Bwalya? Yule Msudani amemzidi kila kitu huyu dogo mzambia.
Uzi tayari.
View attachment 2065478
Bwalya-Mechi 10
Assist 0
Goal 0
Feisalum-mechi 12
Assist 3
Goals 4
Tutazame na wa ndani kwanza huyo shiboub hafikii hatu nusu ya uwezo wa mkandala..hata Tepsie evance angechezea timu za kariakoo asingeonekana kitu ila wangepambwa kina monster duncan
me simuelewi kabisa yaan, ivi lile gori la penati akufunga kwenye league?|
Ile game na kaizer chiefs ya 4 - 0. Bwalya alikuwa mzigo sana. Mechi ya dar sikumbuki kama alipangwa first 11.
Bwalya mechi ngumu hawezagi
Hata game 2 za simba na galaxy japo alifunga goli dar. Ila alikuwa mzigo sana upande wa kukaba ama kufanya maamuzi ya kuleta magoli haraka.
Huwezi kupiga soft touch kwenye game ya mtoano hata siku moja.. mpira ni kazi ya nguvu. Game serious zinahitaji watu serious. Ndio maana al ahly wakambeba miqquissone na kuwaacha kina chama na wengineo tunaowaona wakali
bwally ni mzito hana pass za hela, kiungo huna assist me hapo ndo napo muona taka taka. Inshot sijamuelewa kabisa yaani
Ni kweli muda si mrefu atamzidi bamboHa Ha Ha Ha Ha umenichekesha sana mkuu
Ronaldo pia asingerudi man uLukaku asingerudi pale darajani.
MmelogwaKwa kifupi tu ukiachana na ujio wa Shiboub a.k.a Zenadine Zidane Zaizou,huyu Raly Bwalya likipatikana soko auzwe au atolewe kwa nkopo uyu ntu.