Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
Nawaza sana John Bocco anachezeshwa Simba na kuitwa Taifa stars kwa kiwango kipi?
John Bocco huyu wa sasa ambaye hata kutuliza mpira imekua kazi kwake.
John Bocco huyu kupiga shuti kwake ni changamoto sana afu unategemea akufungie magoli?
John Bocco huyu anamuwekaje benchi Reliant Lusajo au Meddie Kagere? Yaani timu ikiwa inacheza na mmeanza na John Bocco mnakua kama mmeanza 9 uwanjani badala ya 10.
NB: Tukipunguza ushikaji na kujuana kwenye mambo muhimu tutafika mbali sana mfano mwingine pale Simba kuna namba 6 yupi wa kumuweka benchi JONAS MKUDE?
John Bocco huyu wa sasa ambaye hata kutuliza mpira imekua kazi kwake.
John Bocco huyu kupiga shuti kwake ni changamoto sana afu unategemea akufungie magoli?
John Bocco huyu anamuwekaje benchi Reliant Lusajo au Meddie Kagere? Yaani timu ikiwa inacheza na mmeanza na John Bocco mnakua kama mmeanza 9 uwanjani badala ya 10.
NB: Tukipunguza ushikaji na kujuana kwenye mambo muhimu tutafika mbali sana mfano mwingine pale Simba kuna namba 6 yupi wa kumuweka benchi JONAS MKUDE?