rfa

RFA Fort Rosalie was the lead ship of her class of Royal Fleet Auxiliary fleet replenishment ships. Fort Rosalie was originally named RFA Fort Grange, but was renamed in May 2000 to avoid confusion with the now-decommissioned RFA Fort George, a change which was not universally popular.
On 31 March 2021, the ship was withdrawn from service.

View More On Wikipedia.org
  1. Kindeena

    Magazeti RFA: Makamu yupo ziarani nje ya nchi

    Kipindi cha RFA Magazeti asubuhi kimemnukuu Waziri Mkuu akisema ya kwamba Makamu wa Rais yupo ziarani nje ya nchi.
  2. orangutan

    TANZIA Aliyekuwa Mtangazaji wa Kiss FM na RFA Dee7 afariki dunia

    Dee7 (jina lake maarufu) aliekuwa mtangazaji wa radio Kiss FM ya jijini Mwanza amefariki dunia hapo jana tarehe 23.09.2023. Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kipindi cha African Beats pale Kiss FM mtakuwa mnaikumbuka vyema sauti yenye mamlaka ya huyu ndugu yetu na bila kusahau mchango wake mkubwa...
  3. MAPITO Mwanza

    Hongereni RFA kurejea kwa matangazo

    Sisi watoto wa bisimark rock aka watoto wa rock city tulimisi sana MATANGAZO yenu leo nafungulia radio kitu inatiki tunakuomba bwana Dialo acha ubabaifu lipa wafanyakazi, ni hayo tu .
  4. TODAYS

    AIBU: Mzee Dialo unasuburi nini kuuza hivi vyombo Star TV, RFA na Kiss FM?

    Miaka mitatu iliyopita tuliweka hili bandiko kwa kinachoendelea pale Mwanza kuhusu RFA, Kiss FM na StarTV palipokuwa na mgomo baridi. https://www.jamiiforums.com/threads/maskini-rfa-ndiyo-kwaheri-hivyo.1594488/ Week hii kabla ya kufunga mwaka nashangaa tena, ni full gospel na muziki aina...
  5. Hadrianus

    Tatizo nini Clouds FM, Radio Free & Star TV?

    Takribani wiki karibia 5 Clouds fm, wiki 2 RFA na Star tv siku ya 2 hawarushi matangazo baadhi ya mikoa. Tatizo nini hali hii, wahusika kupitia mitandao yao ya kijamii hawatoi taarifa yoyote kutopatikana matangazo baadhi ya mikoa nchini!
  6. M

    Ndugu zetu RFA!!

    Tunayapenda saaana matangazo yenu, lakini tunaomba mjali muda. Hata habari za kimataifa tunazipenda saaàna pia!!
  7. Idugunde

    TANZIA Aliyekuwa Mtangazaji wa RFA, Juma Ahmed Baragaza afariki Dunia

    Aliyewahi kuwa Mtangazaji maarufu wa Radio free Afrika na Star Tv, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7. Atakumbukwa zaidi katika vipindi mbali mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo Mambo Mambo na RFA pamoja na Asili ya Mtanzania kupitia Star Tv.
Back
Top Bottom