wana JF hawa wanafunz wamepata kwa sababu wengi wao walipeleka barua za malalamiko na vithibitisho mbalimbali mapema. nadhani wataongeza majina mengine kwa wale waliochelewa kupeleka barua hizo.
wale waliokua wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa wazr wa elimu saa 1 asubuh, kiongoz ameniambia ni2me kwa wa2 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefka kwa wa2 zaid ya 10, naomba mumpe ushirikiano
Wale waliokuwa wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa waziri wa elimu saa 1 asubuhi, kiongozi ameniambia nitume kwa watu 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefika kwa watu zaid ya 10.
Naomba mumpe ushirikiano
mimi ni mtoto, wa mfugaj nakuomba bro ridhi hela aliyopewa mkeo uirudishe isaidie wanyonge, najua unafaham mkeo hakustail mkopo lkn amepata kwasababu bodi imewekwa na dingi yako. wa JF ndio malengo ya milenia haya au ndicho 2lichokuagiza kuzungumza na mshua.
2liochaguliwa udsm bila mkopo, napenda kufaham wenzangu mna mikakat gan? au 2naenda kuripot kibabe, je hawatatunyanyapaa? hebu 2wekane sawa wana JF wenzangu.
Kwa anaefaham chochote kuhusu hiyo kozi inayotolewa na UDSM naomba anipe mawazo, kuhusu usomaji wake, field, na future.
Karibun wana JF wenzangu!
Soma zaidi:
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Hivi tatizo kupinda kwa uume husababishwa na nini?
Je, wanawake huwa mnafeel nini wakati wa tendo na uume wa namna hii?
Je, hii hawezi kusababisha ugumba?
---
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA TATIZO HILI
Kupinda Kwa Nyeti Ya...
mi naona kama bajet kweli haitosh, Serikal izame kitengo cha maafa wacsubir mpaka mel izame au mabom yalipuke, hata watu elfu 14 kukosa mikopo mi naona ni maafa pia kwan haijawah kutokea.
hv hawa HESLB wanadhan kuwanyima equivalent mkopo ndio soln. mbona kuna equivalent weng wajanja tena waliopo kazini wame aply direct TCU na vyet vya fom 6 wakapata mkopo? nawashaur equivalent waaply direct TCU mwakan watapata mkopo hata kama mna mshahara, vigezo vya HESLB vyote vina kasoro.
wana JF naomba kuuliza, hiv kama m2 hajapata mkopo kabisa kwa sababu ya PRIVIOUS LOANEES anaweza ku appeal? kama anaweza, Je ?utaratib wa ku appeal ukoje? maana nlckia wanao appeal ni wale waliopunjwa.
kuna mazingra ya rushwa kati ya heslb, tcu dhidi ya vyuo visivyo na umaarufu, ambavyo kwa mfumo huu wa tcu ni vigumu kupata wanafunz hapo ndipo dili zinachezwa, ndio maana m2 ana E E F kapewa chuo na mkopo tena kwa koz isiyo ya kipaombele. huo ni mtazamo wangu, mnalionaje hli wana JF?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.