<br />Mkuu Kama upo dar,ni vyema ukafika ofisin kwao pale,utapata msaada tosha sababu hlo tatizo lako ni gumu na linahitaji vithibitisho kuwa wewe hukuwah pata mkopo hapo kabla.
<br /><br /><br />
<br /><br />
hata hvyo haitasaidia cz bodi weshasema wameishiwa pesa.