Kwa hili la gesi nimejifunza yafuatayo:-
1. Serikali inapenda kuburuza wananchi wake
2. Serikali inafanya maamuzi sahihi pale tu inaposhinikizwa
3. Wadanganyika wameanza kuamka kwenye "usingizi wa pono"
4. Kuna mikataba mingi tu ambayo wawekezaji wameshinikiza iwe ilivyo huku maslahi ya wazawa...
Miaka 51 ya uhuru! Tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. Je umewahi kufikiria tumethubutu kufanya nini? Tumeweza nini? Na tunasonga mbele kwenda wapi?
1. Miaka 30 ilopita tulikuwa na viwanda leo ni kama hatuna(tunasonga mbele)
2. Kumshtaki fisadi wa mabilioni na kumhukumu kifungo miaka...
Kumekuwa na tabia ya wanasiasa walioko kwenye nafasi zao kama mawaziri kufanya mabadiliko yasioyokuwa na kichwa wala miguu kwenye tasnia muhimu kama elimu bila kuwashirikisha wadau au kujali madhara yake, mfano wa mabadiliko hayo ni:-
1. Kubadili mihula ya A- Level kama homa za vipindi...
Jana waislamu waliandamana kudai kuachiwa kwa wenzao walioshikiliwa kwa kukataa kuhesabiwa waachiwe, swali langu ni kuwa waliomba kibali? sensa ilikuwa imeisha?
Toa maoni yako kwenye huu uzi kuhusu chochote ambacho ungependa kiwepo au kisiwepo kwenye katiba mpya ili tutakapokutana na Tume tutoe maoni yanayofananafanana.
JK katika 'mhadhara' wake kwa 'wazee' amedai kuwa hali ya afya si mbaya nchini na serikali imejitahidi sana kuboresha na mabo ni mazuri, ndo najiuliza
Ina maana madaktari walikuwa wanadai uongo?
Mbona viongozi wenyewe wakiugua hata kama ni malaria mfano Zito wanakimbizwa nje?
Wodini kila mtu...
:bump2:Kumbe ukiharibu ofisini unaweza ukasingizia umeibiwa kila kitu ili isemekane document zimeibiwa kupoteza ushahidi! mwizi gani ataiba document , hela, nguo na pete aache silaha? changa la maco hilo!:lock1:
Inakuwaje inapotokea ajali ikaua watu kumi utamsikia JK katuma salamu za rambirambi na kwenda kuwasalimia majeruhi ila madaktari wakigoma wakafa mamia anakaa kimya, basi hata kuwatembelea hao wagonjwa, ni sawa hiyo?
Kutokana na mazingira magumu ya kazi ya walimu, madai yasiyosikilizwa, walimu wameanza mgomo kimyakimya kwa kile kinachosemekana kuwa wanaogopa kupigwa virungu. Ukifuatilia utendaji kazi wao hauleti matumaini ( hawafanyi kazi kwa moyozaidi ya kuigiza) matokeo ya kidato cha nne ni ushahidi wa...
Wanafunzi 45 wametimuliwa shuleni hapo kwa makosa ya kusababisha vurugu na walipokaguliwa walikutwa na silaha kama visu na bisibisi kwenye masanduku yao
sijui naota ma ni kweli, hivi hii nchi inapelekwa wapi jamani? hivi kweli kuna matumaini yoyote ya sasa na baadae?
ina maana tumeridhika na haya mateso?
uporaji wa rasilimali zetu bila ya woga
wizi uliokithiri wa matrilioni unaofanywa na hao wanaojiita viongozi
kutokuwajibika kwa viongozi...
Wanafunzi saba wa kidato cha nne shule ya sekondari umbwe wametimuliwa kwa makosa ya uvutaji bangi na wizi uliokithiri. hiyo imeamuliwa leo na bodi ya shule hiyo. imesemekana wamepewa adhabu hiyo baada ya kuonywa sana lakini wakashindwa kujirekebisha
Ni miaka 50 sasa tangu tupate uhuru wa bendera ila tulidhani tumeponyoka kwa wakoloni ila tukaingia kwenye makucha ya ccm. Ingawa kwa sasa watu wameamka wanaanza kudai haki zao bado wameng'ang'ania kutukandamiza, kwa jinsi kasi ya kuamka kisiasa ilivyoongezeka, watakiona!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.