hizi pesa ndio zinatumika kuwalipa kina malaria sugu si unawaona walivyo na pumzi hapa.Bado DOWANS hawajalipwa. Dowans hii ya CCM inadai billioni 120:hat: kwa sasa. Ila wamevuna vya kutosha kwa miezi 21 ya mkataba na 152 millioni kwa siku. Unyonyaji huu unaendelea kupitia Symbioni, IPTL n.k.oa