Mbona ka vile ukweli fulani hivi mkuu....[h=6]:bump2:Kumbe ukiharibu ofisini unaweza ukasingizia umeibiwa kila kitu ili isemekane document zimeibiwa kupoteza ushahidi! mwizi gani ataiba document , hela, nguo na pete aache silaha? changa la maco hilo!:lock1:[/h]
Mbona ka vile ukweli fulani hivi mkuu....
Nami naamini....!Ni mpango uliobuniwa ili kuwapoteza maboya wadanganyika!Hivi mtu umepanga hotelini,umekwenda katika kikao,unarudi unaishia sebuleni kuandika MINUTES za kikao,then unalala hapo hapo bila kuingia chumbani kwako!!Mwizi anaiba documents!