Mambo Lyamungo,mzima wewe?vipi tujuze bwana Lyamungo Secondary Maputo bado ipo na je duka la shule vipi?Wanafunzi saba wa kidato cha nne shule ya sekondari umbwe wametimuliwa kwa makosa ya uvutaji bangi na wizi uliokithiri. hiyo imeamuliwa leo na bodi ya shule hiyo. imesemekana wamepewa adhabu hiyo baada ya kuonywa sana lakini wakashindwa kujirekebisha
swiming ni mbovu, hajafa ypo mjini moshi anakula gd time na gari yake, shoo yupo shule ya jirani ni mkuu wa shule.Ahaaaaahhh vipi swimmin pool,2linunuliwa Tv na Mbowe ipo?dah long sana/najua wengi hawapo Kilaza Shoo yupo?Nasikia bwana Mr Lyaruu alifariki"poleni sana wakuu"the guy was gud man.
haumnyaki nani sasa? unamkumbuka nani wa mwaka huo? mimi namkumbuka ignatus mosten, gadiel, manase, salvatory, emmanuel ebenezer, kadio, eliezer rwekiza, fadhili lyamuya, mathias mosha, lugano nk. wewe je?Mmmmhhh! Mi 1997 form four. Cwanyaki kabisa! Hata kw sura.
<br />Ahaaaaahhh vipi swimmin pool,2linunuliwa Tv na Mbowe ipo?dah long sana/najua wengi hawapo Kilaza Shoo yupo?Nasikia bwana Mr Lyaruu alifariki"poleni sana wakuu"the guy was gud man.
<br />Wanafunzi saba wa kidato cha nne shule ya sekondari umbwe wametimuliwa kwa makosa ya uvutaji bangi na wizi uliokithiri. hiyo imeamuliwa leo na bodi ya shule hiyo. imesemekana wamepewa adhabu hiyo baada ya kuonywa sana lakini wakashindwa kujirekebisha