Nilikua na type kazi kwenye Ubuntu ghafla file likawa corrupted sahivi halifunguki kabisa.
Nimechange kuwa docx lakini wapi sijafua dafu pamoja na kufungulia kwa window OS.
Nisaidieni powerful way ya kurecover hi kazi kwani ni muhimu mno.
Tukisoma historia ya mkoa wa Kilimanjaro tunaona kuna kabila maarufu sana la wachaga ambalo kimsingi lilikua na tawala mbali mbali za kichaga kila chifu na eneo lake.
Machifu hao waliitwa mangi.
Mangi maarufu ni mangi rindi na mamngi meli wa old moshi, mangi sina wa rombo, mangi horombo wa keni...
Ni kitu ambacho nime experience baada ya kuumizwa na first love wanawake wengine waliofuata ilikua easy sana kuwa nao na kufanya move pale ilipohitajika.
Why inakua hivi?
Habari wakuu.
Nimewahi sikia hizi habari kwamba zipo nyumba na majumba ya kifahari chini ila sijawahi kuyaona.
Naomba mnijuze yalipo japo nikayaone.
Naomba kujuzwa gharama za ujenzi name niachie mjengo wangu humo.
La mwisho inawezekanaje kushusha tofali na cement ndani ya maji halafu nyumba...
Wakuu nimeteseka sana, hakika huyu shetani kanitesa.
Sikuweza kufanya chochote wala kuendelea na masomo yangu. Kuanzia mwaka January 16, 2016 nilijawa na huzuni, maisha yangu yalikua ya taabu na mateso hali iliyonifanya nihame chuo na kuamia kingine na hali ikawa hiyo hiyo nikaamua kuachana na...
Kuna watu waovu sana hii dunia tena hawapaswi kuitwa watu bali ni shetani waliovalia sura za binadamu utawasikia huku wakisema ngoja uowe halafu tutembee na mke wako wakati wao ndio wanaotembea na wake za watu lakini utawasikia watakavyolalamika kuchapiwa wake zao.
Sasa kama mnajua maumivu ya...
Ni msemo uliopata umaarufu miaka michache iliyopita sijui tena kama unatumiwa ila ni kitu halisi amabacho kinafanyika.
Nimpe pongezi aliebuni hilo wazo kwani kwa mtu mwenye kudadisi mambo atakua kafaidika vya kutosha so ata stay safe daima.
Huwa najiuliza sana na kukwazika pale ninapoona wachezaji vijana wa Tanzania vijana kabisa damu inachemka wanastaafu wakifikisha miaka 30!
Sijui tatizo ni nini ila ningetegemea wakipige mpaka 38-40 ndio wastaafu.
Tatizo ni nini hasa?
Watu kama kaseja, musa hassan mgosi na wengineo walistaafu na...
Maisha yetu ni reflection ya akili zetu, (We Become What Think About) tunachowaza akilini mwetu ndicho kinachojionesha katika maisha yetu ya kawaida.
Hakuna yeyote ninayemfahamu aliyepata maendeleo ya maana kwa kupitia ushirikina. Wengi wanaoamini ushirikina wana maisha ya chini na ya...
Hii dunia ina mengi na ubaya mambo mengi mazito yapo katika ulimwengu usioonekana au ulimwengu wa kiroho.
Kuna watu hawasongi mbele kimaendeleo au wanakuwa watumwa wa watu Fulani miaka na miaka na ubaya Zaidi wanaambulia mishaara kidogo sana.
Watu hawa huwa wamenasa haswa kwani ukiwaambia...
Vijana acheni ubishi uchawi upo....every person on earth has a spiritual identity inayo eleza destiny ya mtu itakuaje mpaka mwisho wake.
Soma Mathew 2 : 1 - 5 uta note baada ya Yesu kuzaliwa wale mamajusi (wale ni astrologers na wanajimu kuna baadhi ya bible versions wametambuliwa hvyo)...
Hakuna kitu kibaya duniani kama kuchukua au kudhulumu haki ya mtu.
Kuna watu hawastahili lakini wanatumia nguvu kupata hicho wakitakacho kwa mtu kwa namna yeyote ile isiyo halali.
Matokeo huipata hiyo haki ambayo hawastahili huku kumuacha huyo mtu walimdhulumu akiwa katika ukiwa na majonzi...
Habari MMU.
Mimi ni kijana wa makamo.
Kawaida yangu hufanya shughuli zangu zote on time! na niko accurate na kazi zangu.
Huwa siwezi kudanganya au kutoa fake promise kwani nafsi yangu hunisuta na kwangu ni dhambi kabisa kwa hiyo kama kitu Fulani sitakifanya au sina uwezo wa kukifanya lazima...
Biblia ni kitabu kinachojumuisha vitabu mbalimbali vilivyoandikwa na watu mbalimbali katika nyakati tofauti na sehemu tofauti.
Biblia ni mkusanyiko wa hivi vitabu ambavyo viliandikwa na waandishi mbalimbali kisha vikapangwa katika mtiririko unaofaa kuanzia miaka ya mwanzo kabisa hadi ya mwisho...
Habari wanasheria.
Naomba mnijuze taratibu za ndoa za mitala kuhusu urithi.
Kwa wanawake wanne kila mama ana watoto watatu.
Nyumba zipo mbili kila wanawake wawili kwa kila nyumba.
Wataalamu wanasema hivyo.
Hiyo ni kwa sababu kila rafiki ulie nae au unaeishi nae atakuja kuondoka kwenda kutafuta maisha yake! Marafiki wengine watafuata mwishowe utabaki mwenyewe ila familia ndio marafiki zako wa milele mpaka kifo kwani utakua nao.
Ni vyema binadamu tukawa na mawazo ya kesho...
Habari MMU.
Binafsi husikia watu waliooa wake wawili, watatu, wanne na kuendelea ila sijui nana wanavyoishi.
Je kila mwanamke ana nyumba yake? je wanaishi ndani ya nyumba moja?
Mengine
1/Hao wake hawaoneani wivu labda Fulani anapendwa Zaidi, au ni mzuri Zaidi?
2/Kugawana mali, gharaa za...
Hivi ile mikataba iliyosainiwa baada ya vita ya pili ya dunia haiwezi kuvunjwa?
Nasema hivi kwa sababu japani yupo occupied kijeshi na marekani pia ujerumani yupo occupied na allied (Uingereza, ufaransa, marekani) wakiongozwa na marekani ila wao hawakusaini mkataba.
Sidhani kama Russian wana...
Hii ni kweli pale mwanaume anapooa basi uhuru wake unapotea maana yake anakua kafungwa na mkewe na mke anapoolewa uhuru wake unapotea kwani anakua chini ya mwanaume. Matatizo mengi ya ndoa hutokea pale mume au mke anapovunja miiko yake.
Mwanaume yakupasa kutenda jukumu lako na mwanamke pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.