Nilikua na type kazi kwenye Ubuntu ghafla file likawa corrupted sahivi halifunguki kabisa.
Nimechange kuwa docx lakini wapi sijafua dafu pamoja na kufungulia kwa window OS.
Nisaidieni powerful way ya kurecover hi kazi kwani ni muhimu mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.