jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 622
Habari MMU.
Mimi ni kijana wa makamo.
Kawaida yangu hufanya shughuli zangu zote on time! na niko accurate na kazi zangu.
Huwa siwezi kudanganya au kutoa fake promise kwani nafsi yangu hunisuta na kwangu ni dhambi kabisa kwa hiyo kama kitu Fulani sitakifanya au sina uwezo wa kukifanya lazima nimuambie mhusika ukweli kwa hiyo mimi mkweli hata kama ni mchungu kuliko kumdanganya.
Mambo yangu yapo logical yani yapo na mpangilio maalumu tena unaeleweka haswaa.
Tatizo langu ni kwamba mtu akiniahidi kufanya kitu Fulani halafu asifanye huwa na kasirika sana na mara nyingine naonekana na dharau! Labda kuwe na sababu ambayo nitakubaliana nayo ila kama ni sababu nitaiupilia mbali na automatically mhusika nitamuona useless!
Na nikisha mpiga mtu chini ndio imetoka hiyo sitapoteza muda wangu tena kwake.
Na mara nyingi huwa sirudi nyuma kama kitu nishakipiga chini. Simply kwa sababu kichwa changu kipo kama computer.
Mimi ni kijana wa makamo.
Kawaida yangu hufanya shughuli zangu zote on time! na niko accurate na kazi zangu.
Huwa siwezi kudanganya au kutoa fake promise kwani nafsi yangu hunisuta na kwangu ni dhambi kabisa kwa hiyo kama kitu Fulani sitakifanya au sina uwezo wa kukifanya lazima nimuambie mhusika ukweli kwa hiyo mimi mkweli hata kama ni mchungu kuliko kumdanganya.
Mambo yangu yapo logical yani yapo na mpangilio maalumu tena unaeleweka haswaa.
Tatizo langu ni kwamba mtu akiniahidi kufanya kitu Fulani halafu asifanye huwa na kasirika sana na mara nyingine naonekana na dharau! Labda kuwe na sababu ambayo nitakubaliana nayo ila kama ni sababu nitaiupilia mbali na automatically mhusika nitamuona useless!
Na nikisha mpiga mtu chini ndio imetoka hiyo sitapoteza muda wangu tena kwake.
Na mara nyingi huwa sirudi nyuma kama kitu nishakipiga chini. Simply kwa sababu kichwa changu kipo kama computer.