Wanabodi,
Kama kuna matukio makubwa ambayo yametokea juma hili na kupelekea kumshusha binadamu toka kwenye sifa aliyoitegemea mpaka kwenye aibu ya karne basi ni hili suala la ZZK na lile la Mkalimani wa Lugha za alama kwenye msiba wa Madiba.
Wote wawili wameshiriki kwa kiasi kikubwa kuleta...
Ndugu Wanabodi,
Kama kuna yeyote miongoni mwenu anayefanya biashara ya samaki aina ya SATO na SANGARA wa jumla kwa ajili ya Wafanyabiashara wa rejareja wenye viosks hapa Dar, tafadhali ani-PM.
NB:
Nina uwezo wa kuchukua kuanzia Tani moja kwa wiki.
Naomba kuwakilisha.
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais mambo ya Muungano, Samia Suluhu ameelezea kuwa kwa sasa Zanzibar ni ruksa kukopa nje kwa kutumia jina la Muungano bila kuwa na haja ya kuishirikisha Serikali ya Muungano.
MY QUESTION:
Je deni hilo halitakuwa linaingia kwenye deni la Taifa ambalo hata...
Kama itatoke, JK amelivunja baraza la Mawaziri kutokana na tuhuma za baadhi ya Mawaziri kuiibia nchi, na kisha akamshitaki hata mmoja wapo wa Mawaziri husika(hata kimagumashi tu kama ilivyo kwa akina Mramba na Mahalu), naahidi kwamba nitakwenda kukata kadi za CCM mimi na familia yangu na...
Tumekuwa tukishuhudia matumizi mengi yasiyo na lazima yakiwamo ya safari za nje za rais, huku Serikali ikiwa inashindwa kugharamia sekta muhimu ikiwapo kuwalipa mishahara yenye hadhi stahiki Ma-Dr.
Kwa kutokuwepo ofisini kwa zaidi ya miezi mitatu, Naibu Waziri wa Miundombinu, Dr. Mwakyembe na...
Nimekuwapo kwenye viwanja vya Karimjee katika kumuaga Shujaa wetu Mh. Regia Mtema. Ni viongozi wengi walikuwapo, kuanzia wa Serikali pamoja na Waziri Mkuu ni Makamu wa Rais. Pia Mawaziri, Wabunge, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Wakuu wa Majeshi ya Polisi, n.k n.k.
Kilichonishangaza ni pale...
Imekuwa ikishuhudiwa misururu ya watu wa kada mbalimbali ikienda kumtembelea Zitto kabwe hospitalini na wengi wetu tukiumia na kumwombea ili apone haraka kutokana na maradhi yanayomsumbua. Na laiti kama kungekuwa na uwezo wa kubadilishana afya, basi mimi binafsi ningeshauri hii afya ya Zitto kwa...
Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.
Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku...
Wenye taarifa naomba mtujuze kuhusu lile sakata la kutaka kumpeleka mahakamani Mzee wa Vijisenti, ambapo Hosea alidai kwamba faili lipo mezani kwa AG at the same time AG akadai kwamba faili halijapelekwa kwake na TAKUKURU!
Je mnaofuatilia hii movie ipo kwenye Episode ya ngapi?
Kampuni ya Mabasi iliyokuwa imeahidiwa Tenda ya Usafirishaji abiria Jijini Dar mara baada ya Uda kuuzwa kwa Simon Group ni ya Idd Simba?
Naomba mwenye data za kampuni hii atumwagie hapa jamvini.
Tanzania bila Matukio, haiwezekani.
Kuna Tetesi kwamba Wabunge wa CCM wamepigwa Mkwara na Chama chao kutokutaka Ushahidi toka kwa Wabunge wa Upinzani pale wanapowasilisha madai yao dhidi ya Serikali.
Kwani kwa kutaka ushahidi kumepelekea Wabunge hao wa Upinzani kuleta Ushahidi ambao umekuwa ukiumbua Serikali na Viongozi wake...
Wanajukwaa nimesikia kupitia mapitio ya magazeti kupitia East African Radio kwamba Mh. Lyatonga amemwandikia Spika barua kuwashtaki Wanakamati wake kwamba toka kuanza kwa vikao vinavyoendelea vya Bunge, hajawahi kukutana na Wanakamati wake!
Kama hivyo ni kweli, inaonekana Wanakamati hawa...
Nilikuwa kwenye harusi ya Jaquline Mjengwa, binti wa Kanali Mjengwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Rujewa, Kanali Joel Ramadhan Mjegwa.
Kituko nilichokiona kwenye harusi ile ambayo ilikuwa ikiendeshwa na MC Ephrahim Kibonde (Mtu wa Kujipendekeza sana kwa viongozi wa CCM), akaanza kuwaita Martin...
Imetokea asubuhi hii pale kwenye Supu kwa Bonge, Kinondoni, jamaa wamezichapa kavukavu, kisa eti jamaa kamwambia mwenzie kwamba kwa upeo wake wa akili hana tofauti na Mbunge wa CCM. Jamaa aliyeambiwa hivyo uvumilivu ukamfika kikomo wakaanza kuzichapa kavukavu kabla wasamalia hatujaingilia kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.