Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
ITV wanafanya live coverage ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki asubuhi hii. Kipindi kipo hewani
Yaaap na wameshatangaza CCM wameanza uchakachuaji, kituo cha usa wamekamata mifuko iliyofungwa ndani ya kituo cha kura. Peoples Power tusongembele
Yaaap na wameshatangaza CCM wameanza uchakachuaji, kituo cha usa wamekamata mifuko iliyofungwa ndani ya kituo cha kura. Peoples Power tusongembele
atii!
Mifuko ilikua na nin?
ITV wanafanya live coverage ya uchaguzi wa Arumeru Mashariki asubuhi hii. Kipindi kipo hewani
KARIBU NA tv mtujulishe