Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Wenye taarifa naomba mtujuze kuhusu lile sakata la kutaka kumpeleka mahakamani Mzee wa Vijisenti, ambapo Hosea alidai kwamba faili lipo mezani kwa AG at the same time AG akadai kwamba faili halijapelekwa kwake na TAKUKURU!
Je mnaofuatilia hii movie ipo kwenye Episode ya ngapi?
Je mnaofuatilia hii movie ipo kwenye Episode ya ngapi?