Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.
Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije...
Nimeelewa sana huu ujumbe
[emoji3578]```Jana Dr.Mpango alienda bungeni akiwa Waziri wa fedha. Kufumba na kufumbua akawa VP, akaondoka na ving'ora, msafara na ulinzi mkali. Maisha ndivyo yalivyo. Nothing is permenent in life. Kila kitu unachokiona kwenye maisha ni cha kupita tu. Hivyo jifunze...
Wakati wa Uvamizi wa Benkii nchini fulaniii majambazi waliwaambia kwa sauti watu waliopo Mule benki "Musisogeee hata kidogo maana Pesa ni mali za serikali ila uhai wako ni ni mali yako "
Basi kila mtu alilala chini kwa haraka na kila mmoja alikaaa kimya Hii inaitwa " KUMBADILISHA MTU AKILI "...
Wakuu habari za asubuhi, Ni matumaini yangu mko poa na weekend inaenda kama Allah alivyopanga
Namshukuru Allah niko poa. Nirejee kwenye kichwa cha tangazo hili hapo juu. Nahitaji mfanyakazi wa ndani umri kuanzia 18 kuendelea hadi 29 na awe muislamu kwa sababu familia yetu ni ya kiislamu wacha...
#Kabila la Hamer linalopatikana kusini mwa nchi ya Ethiopia ndilo kabila linalosifika kudumisha "uvumilivu" ndani ya ndoa! Inasemekana mwanaume kabla hajatoa mahali inabidi ampime mwanamke anayetaka kumuoa kama atakuwa na uvumilivu wa shida na raha katika ndoa!
Kipimo hicho ni kwamba mwanamke...
Wakuu habari za asubuhi?
Nimesikia tetesi kwamba lile fao la kujitoa lililokuwa limezuiliwa awali kwamba hadi mwanachama afikishe miaka 55 ndipo anaruhusiwa kwenda kuchukua fao lake
Wakuu hapa kuna ukweli wowote?
Nina kiasi pale NSSF kimekwama kikisubiria nifike miaka 55 Mola akijaalia na sasa...
Poleni sana wakati wa Dsm mnaoishi Wilaya ya Ubungo mnaotumia barabara ya Morogoro
Tangia mishale ya saa 12 jioni hadi sasa pameshona hapataki hata kuachia
Assalamu’alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada kama wewe ni mcha Mungu tafadhali njoo kwa mcha Mungu mwenzako tuyajenge na hatimaye tuishi kama mke...
Kwa mahitaji ya chumba,vyumba vya kupangisha kuanzia 35000, 40000, 50000,60000 kwa mwezi maeneo ya ubungo, riverside, kibangu,external, makuburi, garage na mabibo,
Ni rahisi sana piga no: 0656 505066 / 0744 222526. Pia kwa wanaohitaji kununua vyumba na Viwanja karibuni sana
#Dalali #wa #kitanga
Wakuu natumai mmeaka vyema
Pamoja na family friends majirani kwa ujumla
Simkumbuki kwa jina,ila kuna member mmoja ali graduate UDSM pale kwenye electronic and Telecom engineering akawa anatafuta ajira
Nikamshauri awe anapitisha cv yake pale ofisi ya NOKIA airtel building 2nd floor
So now...
Wakuu habari za saa mzito?
Nimejitokeza kwenu kuuliza
Ndani ya siku 2 hizi zilizopita nimepanda magari ya UDART niaona TV channel imeandikwa BUS TV
Maana yake ni kuwa wameanzisha channel au?
Wakuu habari za saa mzito?
Nimejitokeza kwenu kuuliza
Ndani ya siku 2 hizi zilizopita nimepanda magari ya UDART niaona TV channel imeandikwa BUS TV
Maana yake ni kuwa wameanzisha channel au?
Wakuu natumai mko poa
Je wewe ni mjasiriamali na ungependa twende nao sawa?
Usisite nafasi ya pekee ya kujiendeleza kiuchumi na mali
Karibu whatapp group
TUONGEE UWEKEZAJI FORUM
Sent using Jamii Forums mobile app
WAJUE WANAWAKE 10 WAJINGA.
SAMAHANI KWA WALE NITAKAO WAKWAZA KWA POST HII..
(1)..Anaebadili jina mtandaoni na kujiita majina ya watu maarufu...Huyo NIMJINGA.
(2)Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo NIMJINGA
(3)Anaedate na mume wa mtu miaka nenda rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo...
kuna mwanamke humu nilimtongoza akanijibu utumbo eti sina hadhi ya kuwa na yeye, nimemfuatilia kama safar mbili bado majibu yake yakawa niyakejeli, nikaamua kumpotezea, siku moja kanikuta dukani kwangu akaanza kuchagua nguo, alivyooniona kwa aibu na kurembua akaniuliza eti kumbe kaka angu...
Osama bin Laden ndo Gaidi wa kwanza duniani kuzikwa kwa heshma na jeshi la Marekani huku akifunikwa Bendera ya taifa ya nchi hiyo.
Osama alifutwa Uraia wa Saudia na Kupokonywa pass yake ya kusafiria kwa mujibu wa vyombo vya habari vya magharibi vili ripoti Hakuna chombo cha kiarabu kili ripoti...
VVU huathiri sehemu nyingi za mwili wa mtu. Vinaweza kufanya hivyo kwa
njia mbili. Njia ya kwanza ni kwa kushambulia moja kwa moja viungo mbali
mbali, njia nyingine ni kwa kudhoofisha mfumo wa kinga na kuruhusu viini
au vimelea vinavyosababisha magonjwa mengine kuingia mwilini. Katika sura...
Ni jioni yapata saa kumi na mbili kijana mtanashati,mkarimu,mwenye mvuto wa sura hata mwili kwani amejijenga mwili mithiri ya yule mwanamieleka wa marekani(wwe)john cena,si mwingine ni Abdul ramadhani kijana wa kindamba aliyekua anaishi magomeni pamoja na wazazi wake,alikua anaongea na mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.