wauzaji

  1. guzman_

    JamiiForums Tanzania Msaada Wauzaji wa Pump za maji za Hydram

    Habari ndugu wana JF Naombeni msaada wa kujua muuzaji wa hizi pump kwa hapa Tanzania. Nimejaribu kusearch online sijapata muuzaji kwa hapa Tanzania. Mwenye kujua naombeni msaada wa maelekezo.
  2. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Fursa Kwa mafundi, clients na wauzaji wa vifaa vya Ujenzi......Kuna link kujiunga na sisi

    🏗️ FURSA YA UJENZI & CONNECTIONS TANZANIA NZIMA! 🇹🇿 Je, wewe ni Fundi stadi, Muuzaji wa vifaa, au Mwenye nyumba unayetafuta huduma bora? Huu ndio mchongo wako! Tumeanzisha Group la UJENZI & CONNECTIONS TZ kwa lengo la kuunganisha wataalamu na fursa nchi nzima. 🛠️ KWA MAFUNDI (Fani Zote)...
  3. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania Mpango wa Bakery 2026 na Ombi la Mawasiliano ya Wauzaji wa Mashine za Kukanda Unga

    Ndugu na mdau wa jukwaa hili ninatumia nafasi hii kuwasilisha wazo langu la biashara kwa mwaka huu wa 2026, nikiwa na matumaini ya kupata mrejesho, ushauri wa moja kwa moja, na hasa mawasiliano ya wadau wanaohusika na uuzaji wa mashine za kuoka na kukanda unga. Nina mpango wa kuanzisha biashara...
  4. S

    JamiiForums Tanzania For sale: Kwa mafundi simu na wauzaji wa vifaa vya simu

    Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu, nitumeni , niko tayari kufanya delivery.Nitawauzia mzigo kwa Bei ya China , Bei ya Soko la Huangshangbei Electronic Market pale Shenzhen,China. Mzigo tulionao ni kama ifuatavyo; Vioo vya iPhone OLED (Original Display) iPhone Battery Model zote -iPhone Backlass...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Arusha kumekuwa na tabia ya wauzaji wa Vitu sana sana Viatu na nguo kuwauzia wateja vitu feki

    Hii imenikuta mimi nikiwa Arusha kuuziwa Viatu feki. Niwaombe mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa Arusha wafanye uchunguzi kwa wauzaji wa viatu maeneo ya kariakoo ya Arusha. Wauzaji tukiwaambie watupatie risiti hawafanyi hivyo badala yake wanatuzungusha na kuwa hawatoi. Ukijaribu kufuatilia...
  6. Mkongwe03

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa jezi za timu mbalimbali

    Habari.? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu natafuta wauzaji wajumla wa jezi za timu mbalimbali hasa jezi za msimu huu, yeyote mwenye kujua wapi naweza kupata namomba anisaidie..
  7. V

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa balo za mtumba

    KARIBUNI SANA VUNJABEIMTUMBAGRADE1 WAUZAJI WA BALO ZA MTUMBA GRADE 1 KUTOKA CHINA UK CANADA'S DUBAI WHATAPP GROUP LETU UJIFUNZE ZAIDI VUNJABEI 🔥BALO ZA MTUMBAGRADE 1 Mawasiliano 0657710078 TUNAPATIKANA ILALA DAR ES SALAAM MIKOANI TUNAFANYA DELIVERY
  8. Acehood

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa jezi

    Samahani wakuu yeyote mwenye jezi hizi za Manchester united au mojawapo naomba nijue nizipate.
  9. cacutee

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa geosynthetics Tanzania

    Habari zenu wapendwa katika ujenzi wa nchi? Ninaomba kwa wale wataalamu wa Mambo ya ujenzi wanisaidie ni wapi hizi material za geosynthetics zinapatikana kwa dar (yani maduka ya na you za hizi material) Asanteni
  10. V

    JamiiForums Tanzania Wauzaji balo za mtumba grade 1 quality

    WHATAPP GROUP LA MITUMBA Vunjabei balo za mtumba grade1 group 3 Karibuni sana jaman mjipatie balo za mtumba grade1 kutoka china uk Canada Dubai Korea Tuna balo za nguo aina mbalimbali na Kila balo Lina nguo yake na bei yake mfano balo la shati ni shati tu t-shirt ni t-shirt tu Jean's...
  11. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Wauzaji suruali aina ya boss kariakoo

    Habari wana jamii kama kichwa cha uzi kinavyojieleza kama kuna wafanyabiashara wa kariakoo mnaouza suruali za vitambaa aina ya boss naomba tufahamiane kwa lengo la kufanya biashara pm yangu iko wazi wakuu muda wowote
  12. M

    JamiiForums Tanzania Soko la ushindani kikabila,wateja wajumla wanaenda kununua kwa wauzaji wa jumla wakabila zao

    Habar wakuu msaada wenu kimawazo ,mim nimefanya biashara wa jumla vyakula na vinywaji Sasa Niko katika changamoto ya ushindani,hapa tupo masupply wa jumla kama wanne wa vyakula na vinywaji,Sasa kati yetu Kuna wawili kabila moja,Sasa wateja wooote wengi wale wanaokuja kununua jumla wakauze ktk...
  13. Mike Moe

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa suruali za vitambaa(boss na kampuni zingine)

    Niaje wakuu kwa wauzaji wa suruali za vitambaa kampuni ya boss na kampuni zingine tuonane pm kwa mawasiliano zaidi nashida na suruali hizo
  14. D

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza pata wauzaji wa Gas Grills za majumbani hapa Dar

    Wakuu poleni na majukumu. Nahitaji gas grill kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Wengine wanaziita tabletop gas grills. Nishaulizia sana madukani ila naonyeshwa vitu sio. Ni jiko maalum la kuchomea nyama na vyakula vingine lakini linatumia gas badala ya mkaa au umeme. Naombeni mwongozo...
  15. Knock life

    JamiiForums Tanzania Mitaaa wanayotoka masikini ndo hutakuta kuna Madanguro, vilabu vya pombe, na wauzaji wa madawa hii ipo planned

    Binadamu ni Bidhaa ya mazingira yake . Wazungu walishamsoma MTU mweusi na kujua udhaifu wake kuwa ni ngono, pombe , na madawa bangi pombe na sigara. Unapozungumzia Anasa means is endless shit . So ukimjengea MTU danguro , vilabu vya pombe n.k usitegemee huyo MTU akafanikiwa kwa lolote He or...
  16. V

    JamiiForums Tanzania Wauzaji balo za mtumba grade 1

    KARIBUNI SANA balo safi za mtumba wauzaji balo za mtumba grade 1 kutoka China uk Canada uingeleza Dubai na korea Tuna balo za nguo aina zote Viatu mabegi shuka pazia Mawasiliano 0657710078 Tunapatikana ilala dar es salaam mikoani tunafanya delivery
  17. J

    JamiiForums Tanzania Tume ya madini kuendelea kuwasaidia wasambazaji na wauzaji baruti

    TUME YA MADINI KUENDELEA KUWASAIDIA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI BARUTI. Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa ushirikiano na kuwasaidia wasambazaji na wauzaji wa baruti nchini ili wafanye shughuli zao kwa mujibu wa Sheria na kanuni za baruti zilizopo. Mkaguzi Mkuu wa Migodi Mhandisi Hamisi...
  18. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa rizla mkoa wa Mwanza kwa bei ya jumla

    Habari wakuu. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, natafuta wauzaji wa rizla mkoa wa mwanza kwa bei ya jumla. Pm iko wazi. Njoo tufanye biashara. N.B uwe mwaminifu kama wauza nafaka walivyo waaminifu
  19. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nahitaji wauzaji Terrazo floor materials

    Habari naomba nipate wauzaji wa material ya terrazzo floor
  20. Wauzaji wa Aluminium

    JamiiForums Tanzania Mafundi pamoja na wauzaji wa Aluminium wa rejareja karibu ujipatie Aluminium pamoja na accesories kwa bei ya kiwandani.

    Karibu ofisini kwetu ujipatie Accessories na Aluminium Kwa bei ya kiwandani. Bei zetu ni rafiki sana , Kwa DSM ukinunua mzigo utapata free delivery na Kwa mikoani ukinunua mzigo tutaupeleka hadi kwa transporter wako. Kuhusu bei huwa zinapanda na kushuka hivyo ukitupigia tutakupa bei ambazo...
Back
Top Bottom