Wakuu naombeni msaada.
Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu inajirestart, nimejaribu kure install na kuinstall app mpya ila shida iko palepale. Apps zingine ziko poa...
Naombeni msaada, Nina simu aina ya AQUOS zero 801SH, nadhani Kuna settings nilifanya bila kujua, Sasa hivi nikiwasha data simu inakuwa inajirestart mara Kwa mara, mpaka inaboa. Naomba mwenye ujuzi anisaidie. Pia nakumbuka niliingia kwenye build namba kama developer. Pia naona Kuna kialama...
Mimi ni kijana wa makamo, nimehamishiwa Dodoma kikazi, sasa nimejikuta nipo huku camp nje kabisa ya mji, nimekuwa mpweke sana maana huku tupo midume mitupu mpaka,
Na ninavyojiona si muda mrefu nitaanza kuchekacheka mwenyewe hovyo maana nimekosa huduma kwa muda mrefu(jocking) naomba mdada...
Nawasalimu wana jamii wenzangu.
Nina tatizo la usafiri toka Moshi kwenda Dodoma. Kwa yeyote mwenye connection ya either Lori au gari yeyote ya kusafirisha mizigo ya nyumbani kama sofa, fridge vitanda nk. tafadhali nijulishe. Au ushauri wa njia bora mbadala ya kuhamisha mizigo pia nakaribisha...
Nilitaka kuinstall App mpya kwenye simu yangu ila kila nikijaribu inaniandikia "insufficient storage" nikajaribu kufuta App moja nikajaribu kuinstall tena ikagoma. Nikafuta nyingine bado ikagoma. Nikafuta App zingine mbili bado inaandika insufficient storage! Ok nikajaribu basi nirudishe zile...
Kuna alama flani hivi zipo sehemu mbalimbali, ila mfano mzuri ni katika vitambulisho vya kura. Ni ile alama nyeusi ina viboksi na mikunjo mingimingi, nasikia kuna simu zi a uwezo wa kusoma alama hizo. Nadhani hata yangu pia ina uwezo huo pia ila tatizo sijui kutumia. Kuna sdhemu nikigusa katika...
Habari zenu wan jf. Nina mtoto wa kiume umri miezi tisa sasa, amezaliwa hana tatizo lolote la kifua ila leo nimeshangaa kifua kimembana usiku mida ya saa tano hivi , nimeshindwa nimsaidieje maana sina uzoefu na matatizo ya kifua kwakuwa hajawahi kuwa na tatizo hilo kabla. Kikimbana anaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.